constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
80<br />
imefikia hapo.<br />
Com. Lethome: Mtu akiuliwa na mnyama alipwe na K.W.S.<br />
Philip Mosot: Ilipwe na K.W.S. kwa sababu ni Serikali.<br />
Com. Lethome: Na sasa umesema, unataka Tsavo na Amboseli irudi kwa Wa-Maasai. Kwa hivyo iwe ni ya Wa-Maasai?<br />
Philip Mosot: Ya Wa-Maasai.<br />
Com. Lethome: Sasa ikiwa ni yao, ikiwaua nani atawalipa?<br />
Philip Mosot: Wakiuawa sasa sisi ndio tutakaa ya kwamba wale watu wanashikilia hapo sasa, kwa sababu wanyama wako<br />
Amboseli, sisi tutakaa na viongozi kuamua ya kwamba, huyu mnyama wetu, kwa sababu ni mnyama wetu, italipwa ng’ombe<br />
ngapi au itakuwa namna gani. Kama vile watu wanalipwa.<br />
Com. Lethome: Asante sana. Noah Rapwetu. Halafu afuatwe na Julius Kole. Julius Kole yuko? Koyan Masunga? Endelea<br />
Noah.<br />
Noah Rapwetu: Majina yangu naitwa Noah Rapwetu. Nataka sehemu ya Kuku. Ningependa kuongea kwa Ki-Maasai. Ore<br />
na sinye maoni ai tena olong tenkaraki engibele<strong>kenya</strong>re e Katiba.<br />
Translator: Anadai kwamba maoni yake kwa siku hii ya marekebisho ya Katiba.<br />
Noah Rapwetu: Na kalo aimaki nkuti.<br />
Translator: Anataka kusema hivi;<br />
Noah Rapwetu: Naiteru te nchoto olaiguenak.<br />
Translator: Angetaka kuzungumzia mamo ya Chiefs,<br />
Noah Rapwetu: Ore tenchoto olaiguenak.<br />
Translator: Mambo ya Ma-Chiefs,<br />
Noah Rapwetu: Kadol sinanu ajo eisidai ake teneshukoki meta raia nagelu.<br />
Translator: Ni vizuri sana raia wawe wakichagua Chiefs.<br />
Noah Rapwetu: Amu kidol oshi ajo ebaiki na pooki tunganak oshi ogelu ashu teda wueji egeluni.