19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>SALA</strong> <strong>YA</strong> CHAKULA<br />

14<br />

Chakula cha asubui<br />

1. Mbele ya chakula<br />

Utukufu kwa Baba na kwa Mwana na kwa Roho Mtakatifu. Sasa na siku zote hata<br />

milele na milele. Amina. Bwana hurumia (mara tatu). Rabi mtakatifu barikia:<br />

Ee Bwana Yesu Kristu, bariki chakula na kinywaji cha watumishi wako, kwani<br />

wewe peke yako ni Mtakatifu daima, sasa na siku zote hata milele. Amina.<br />

Kama hakuna padri tunasema paka sala ya padri bila kubariki.<br />

Kisha chakula cha asubui tunasema ivi:<br />

Kwa maombezi ya Wapadri wetu Watakatifu.. .<br />

Chakula cha katikati ya muchana (midi)<br />

Mbele ya chakula<br />

Baba yetu.. . Utukufu kwa Baba.. . Sasa na siku zote.. . Bwana hurumia<br />

(mara tatu). Ee Rabi mtakatifu barikia.<br />

Padri: Ee Bwana Yesu Kristu, bariki chakula na kinywaji.. .<br />

Kisha hii chakula tunasema:<br />

Ee Kristu Mungu wetu, tunakushukuru kwa maana ulitushibisha na vitu nyako vya<br />

inchi; usikatae kutupatia na ufalme wako wa mbinguni, lakini kama ulivyokuwa katikati<br />

ya wafwasi wako kwa kuwapa amani, vile, ee Mwokozi, kuja pia na kwa sisi na utuokoe.<br />

Amina.<br />

Utukufu kwa Baba.. . Sasa na siku zote.. . Bwana hurumia<br />

(mara tatu). Ee Rabi mtakatifu barikia:<br />

Padri: Ee Kristu Mungu wetu, bariki mabaki ya hii chakula iliyo mezani, uiongeze<br />

kwa hii nyumba na kwa dunia yote, wewe ni Mungu Mwema, Mrahimu na Mpenda<br />

Wanadamu. Kwa maombezi ya Wapadri wetu.. . .<br />

Kama hakuna padri, kisha Bwana hurumia (mara tatu), tunasema:<br />

Kwa maombezi.. .<br />

Chakula cha mangaribi<br />

Mbele ya chakula<br />

Maskini watakula na kushiba, wenye kumutafuta Bwana watamusifu na mioyo yao<br />

iishi kwa milele. Utukufu kwa Baba.. . Sasa na siku zote.. . Bwana hurumia

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!