19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

57<br />

nifunguwe milango iliyo paka wewe peke uliumba kwa kuingia na mapendo yako<br />

imara. Utaingia na kwangaza mawazo yangu mabaya, ninasadiki kweli haukufukuza<br />

muke mtenda zambi aliyekuja kwako na machozi mbele yako, haukusukuma nyuma<br />

mkosefu anaotubu, wala haukumkatalia mwivi wakati walipotambua ufalme wako; ama<br />

haukumzarau aliyekuja kutubu haukumwacha, lakini wote waliyekuja kwako kutubu,<br />

uliwaweka fasi ya warafiki wako, wewe mbarikiwa pekee wakati wowote, sasa na milele<br />

bila mwisho. Amina.<br />

<strong>SALA</strong> 5<br />

<strong>YA</strong>LE<strong>YA</strong>LE <strong>YA</strong> MTAKATIFU YOANNE KRISOSTOMO<br />

Bwana Yesu Kristu, unisafishe mimi mkosefu na mtumishi mwovu. Sahau na<br />

unisamehe makosa na zambi niliyokutukana nayo tangu utoto wangu mpaka siku ya leo<br />

na saa hii: Isipokuwa kwa akili ao kwa upiswa, kwa sauti kwa vitendo ao kwa mawazo,<br />

kwa zoezo ao maana yangu yote. Kwa maombezi ya yule aliyekuzaa bila mbegu, Bikira<br />

Maria Mama yako, yeye peke kitumaini chetu kisichochanganyikwa, msaada na wokovu<br />

wangu; unirudishe mstahilivu nikomunike bila hukumu ku maisha yasiyo mwisho, yenye<br />

uzima na maumbo ya maondoleo ya zambi zangu, na uzima wa milele kwa utakaso,<br />

mwangaza, utunzo na afya ya moyo na mwili wangu kwa maondoleo na maangamizi ya<br />

mawazo yangu mabaya, ya kusudi na kwa mawazo yangu ya ngiza ililetwa na roho za<br />

ngiza na kali. Kwa kuwa kwako ni utawala, uwezo na sifa; Utukufu na ibada kwa Baba<br />

na kwa Mwana na kwa Roho Mtakatifu, sasa na siku zote hata milele na milele. Amina.<br />

<strong>SALA</strong> 6<br />

<strong>YA</strong> MTAKATIFU YOANNE DAMASCENI.<br />

Ee Rabi, Bwana wetu Yesu Kristu, Mungu wetu, wewe peke una uwezo wa<br />

kuondoa zambi, wewe rafiki wa wanadamu, unisamehe zambi zangu zote ninazofahamu<br />

na nisizofahamu, nistahili bila kuhukumiwa, niungane na mafumbo yako Matakatifu ya<br />

bumungu yenye kuleta uzima. Bila kuvuta azabu, masumbuko na kuongeza zambi zangu,<br />

nitakaswe na niwe rahani ya uzima wa ufalme utakayokuja, ukingo na msaada zitawanye<br />

wadui zangu na ziondoe zambi zangu nyingi. Kwa sababu uko Mungu Mwema, wa<br />

huruma na wa mapendo ya wanadamu na tunakushukuru na Baba, na Mwana na Roho<br />

Mtakatifu, sasa na siku zote, hata milele na milele. Amina.<br />

<strong>SALA</strong> 7<br />

<strong>YA</strong> SIMEONI MUTHEOLOGO MUP<strong>YA</strong><br />

Kwa midomo iliochafuka, kwa roho mubaya, kwa ulimi ulioambukizwa, kwa<br />

moyo muchafu, kamata sala, ee Kristu wangu, usinifukuze mbali nawe, kwa vitendo na<br />

mifano yangu mibaya, hata kwa ukosefu wangu wa haya, unisaidie niseme kwa uhodari,<br />

ee Kristu wangu, yote yaliyo ndani ya roho yangu, lakini ni vizuri zaidi unifundishe,<br />

yaliyo ya kutenda na yaliyo yakunena. Nilifanya zambi kuliko zile za mzinifu, ambaye<br />

aliposikia wapi unapoikala, alinunua manukato, alipofika akapakaa kwa uhodari, miguu<br />

yako, Kristu wangu, ya Rabi na ya Mungu wangu.<br />

Kama vile haukumufukuze yule, aliyejikaribia kwa haraka kwa haraka. Pamoja<br />

nami mwana, usinifukuze mbali nawe, unipe miguu yako nitakayogusa na kuyabusu, na<br />

kwa mitoni mingi ya machozi, kama manukato ya bei mingi, nitakuja kwa uhodari<br />

kukupakaa. Kwa machozi yangu unisafishe mwana, unitakase, ee Bwana. Uniachilie<br />

ukosefu wangu; unipe rehema yako. Unapojua idadi ya zambi zangu, unajua madonda<br />

yangu; na unajua maumivu yangu; lakini unapojua imani yangu, unajua haraka yangu, na

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!