You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
31<br />
Kila siku Kanisa yetu inashangilia Mtakatifu moja ao wengi. Hawa ni<br />
Maaskofu, Matawa, Mashahindi, Manabii, mitume na weingine. Kila Kundi yao hapa<br />
chini iko na na Apolitikion yake. Basi, kwa sala ya Mangaribi kisha Sala: «Sasa Bwana<br />
umuache mtumishi wako.. . » na kisha Trisagion tunaweza kusoma ao kuimba<br />
Apolitikion ya ule Mtakatifu ya hii siku ya leo. Kisha tunaimba Utukufu.. . Sasa.. . na<br />
Theotokion ya Mzazi-Mungu. HIvi tunaweza kusoma ao kuimba na asubui kisha<br />
Eksapsalmos na kisha ma shairi.<br />
APOLITIKIA <strong>YA</strong> WATAKATIFU<br />
APOLITIKION <strong>YA</strong> ASKOFU<br />
Sauti ya Ine (Kanona pisteos)<br />
Haki ya matendo yako ilikufanya wewe kuwa kanuni ya imani ya kundi lako la<br />
kondoo, mfano wa upole, rabi kwa kiasi; ndiyo maana katika unyenyekevu wako ulipata<br />
utukufu na katika umasikini wako ulipata utajiri. Baba Mtakatifu.. . (jina lake). . .<br />
umuombe Kristu Mungu wetu aokoe roho zetu.<br />
APOLITIKION <strong>YA</strong> SHAHIDI<br />
Sauti ya Ine (O martis su Kirie)<br />
Shahidi wako,. . . (jina lake). . . ee Bwana, kwa mashindano aliyoshindana<br />
alipokea kwako, Mungu wetu, taji ya milele; aliposukumwa na nguvu yako, uliangusha<br />
wazalimu na kuondoa nguvu ya mashetani; kwa maombezi yake okoa roho zetu, ee<br />
Kristu Mungu wetu.<br />
APOLITIKION <strong>YA</strong> MASHAHIDI WENGI<br />
Sauti ya Ine (I Martires su Kirie)<br />
Mashahidi wako, ee Bwana, kwa ajili ya mashindano walioshindana walipokea<br />
kwako, Mungu wetu, taji ya milele, waliposukumwa na nguvu yako waliangusha<br />
wazalimu na kuondoa nguvu ya mashetani; kwa maombezi yao okoa roho zetu, ee Kristu<br />
Mungu wetu.<br />
APOLITIKION <strong>YA</strong> PADRI NA SHAHIDI (Ieromartis)<br />
Sauti ya Ine<br />
(Ke tropon metohos)<br />
Ulipokuwa na hali ya uzima wa Mitume na ulipokuwa halifa wa kiti yao, ulipata<br />
katika zoezi ya fazila njia yenye kwenda ku mawazo ya umungu; ndio maana, ulipoeneza<br />
na ibada neno la ukweli, ulishindana mpaka ku damu sababu ya ulinzi wa imani.. . . . .<br />
(jina lake). . . , Shahidi Mutakatifu umwombe Kristu Mungu wetu aokoe roho zetu.