19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

WIMBO<br />

Nami nitamutumainia, naye ataniokola.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

Tazama, mimi pamoja na watoto niliopewa na Mungu.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

Watu waliotembea katika giza, wameona nuru kubwa.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

Tuliokala katika inchi na kivuli cha kifo nuru imengala.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

Maana kwa ajili yetu mutoto amezaliwa, tumepewa mutoto mwanaume.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

Kwake utawala wake, yulu ya bega lake.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

Na salama yake haina mwisho.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

Na jina lake linaitwa: Mujumbe wa shauri kubwa.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

Mushauri wa ajabu.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

Mungu Mwenyezi, mutawala, Mukubwa wa salama.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

Baba ya uzima milele.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

Utukufu kwa Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

Sasa na siku zote, hata milele na milele. Amina.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

Mungu yuko pamoja nasi, yueni mataifa, na kushindwa.<br />

Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />

80<br />

Kufika mwisho wa siku ya leo, Bwana, nakutukuza. Nakuomba, Mwokozi, unipe<br />

mangaribi moja na usiku moja wasipo zambi, na uniokoe.<br />

Utukufu kwa Baba.. .<br />

Kufika mwisho wa siku ya leo, nakutukuza, Bwana Mkuu, unipe, Mwokozi<br />

wangu, mangaribi moja na usiku moja pasipo faraza la anguko, na uniokoe.<br />

Sasa na siku zote.. .<br />

Kufika mwisho ya siku ya leo, nakuimba, Mtakatifu sana, unipe, Mwokozi,<br />

mangaribi moja na usiku moja wasipo mitego, na uniokoe.<br />

Sauti ya sita<br />

Hali isiyo na mwili ya wamalaika inakutukuza kwa mimbo isiyo mwisho.<br />

Wenye uzima wa mabawa sita, maserafim, wanakusifu pasipo mapumuziko kwa<br />

nyimbo zao.<br />

Na jeshi la wamalaika wanakushangilia kwa wimbo: Mtakatifu, Mtakatifu,<br />

Mtakatifu.<br />

Sababu wewe uko mbele ya vitu vyote, Baba, na Mwana wako, wasipo mwanzo.<br />

Pakuonyesha roho ya uzima yenye sifa sawa wewe, unaonyesha umoja wa utatu<br />

takatifu.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!