Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
WIMBO<br />
Nami nitamutumainia, naye ataniokola.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
Tazama, mimi pamoja na watoto niliopewa na Mungu.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
Watu waliotembea katika giza, wameona nuru kubwa.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
Tuliokala katika inchi na kivuli cha kifo nuru imengala.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
Maana kwa ajili yetu mutoto amezaliwa, tumepewa mutoto mwanaume.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
Kwake utawala wake, yulu ya bega lake.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
Na salama yake haina mwisho.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
Na jina lake linaitwa: Mujumbe wa shauri kubwa.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
Mushauri wa ajabu.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
Mungu Mwenyezi, mutawala, Mukubwa wa salama.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
Baba ya uzima milele.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
Utukufu kwa Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
Sasa na siku zote, hata milele na milele. Amina.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
Mungu yuko pamoja nasi, yueni mataifa, na kushindwa.<br />
Maana Mungu yuko pamoja nasi.<br />
80<br />
Kufika mwisho wa siku ya leo, Bwana, nakutukuza. Nakuomba, Mwokozi, unipe<br />
mangaribi moja na usiku moja wasipo zambi, na uniokoe.<br />
Utukufu kwa Baba.. .<br />
Kufika mwisho wa siku ya leo, nakutukuza, Bwana Mkuu, unipe, Mwokozi<br />
wangu, mangaribi moja na usiku moja pasipo faraza la anguko, na uniokoe.<br />
Sasa na siku zote.. .<br />
Kufika mwisho ya siku ya leo, nakuimba, Mtakatifu sana, unipe, Mwokozi,<br />
mangaribi moja na usiku moja wasipo mitego, na uniokoe.<br />
Sauti ya sita<br />
Hali isiyo na mwili ya wamalaika inakutukuza kwa mimbo isiyo mwisho.<br />
Wenye uzima wa mabawa sita, maserafim, wanakusifu pasipo mapumuziko kwa<br />
nyimbo zao.<br />
Na jeshi la wamalaika wanakushangilia kwa wimbo: Mtakatifu, Mtakatifu,<br />
Mtakatifu.<br />
Sababu wewe uko mbele ya vitu vyote, Baba, na Mwana wako, wasipo mwanzo.<br />
Pakuonyesha roho ya uzima yenye sifa sawa wewe, unaonyesha umoja wa utatu<br />
takatifu.