19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

95<br />

Ni tangu Siku Kuu ya kuzaliwa kwake Bwana Yesu Kristu tarehe 25<br />

Desemba mpaka tarehe 6 Januari. Tunakula vyakula vyote, paka siku moja mbele ya<br />

Epifania ya kristu tunafunga sana.<br />

2. Juma ya Diakenisimos. Ni Juma kisha Ufufuo wa Bwana Yesu; inaanza siku ya<br />

Ufufuo wa Kristu mpaka siku ya Bwana ya Mtume Thomas.<br />

3. Tangu siku ya Bwana ya Pentikosti mpaka siku ya Bwana ya Watakatifu wote.<br />

4. Juma tatu za wakati wa Triode: Juma ya kwanza ni makumbusho ya Mtoza-<br />

Kodi na Mfarisayo; tunakula vyakula vyote kila siku. Juma ya mbili ni makumbusho ya<br />

Mwana Mpotevu; tunakula vyakula vyote. Mu Kazi Tatu na mu Kazi Tano tunafunga,<br />

hatukule mafuta.<br />

Juma ya Tatu ni makumbusho ya Jivini (Tirofagi); tunakula yote, lakini hapana<br />

nyama. Tumekuisha kula nyama mpaka JUma ya Apokreo. Tokea hii Juma mpaka Juma<br />

ya Jivini hatukule nyama, lakini tunakula chakula ingine yote.<br />

Kama tulivyosema, kifingo cha mu Kazi tatu na mu kazi tano ni cha mwaka<br />

mzima, nikusema haipaswe kula chakula na mafuta. Lakini kama tuko na shangilio<br />

kubwa mu hii masiku tutakula ao samaki, ao paka mafuta na vinyo.<br />

Tunakula samaki wakati wa siku Kuu za mashangilio ya Mzazi-Mungu na ya<br />

Yoane Nabii Mtangulizi na Mbatizaji. Makumbusho ya Watakatifu wengine<br />

tunashangilia na mafuta na vinyo.<br />

Tena tunakula samaki mu Kazi Tatu kwa Siku Kuu katikati ya Pentikosti, na mu<br />

Kazi Tatu ya Sindikizo ya Ufufuo wa Bwana Yesu Kristu, siku moja mbele ya Siku Kuu<br />

ya kupenda kwake Bwana Yesu Kristu mbinguni.<br />

Kisha tutaonyesha vizuri kila mwezi siku gani tutafunga na chakula gani tutakula.<br />

MWEZI <strong>YA</strong> JANUARI.<br />

Tarehe 6: Ni Epifania ya Kristu. Tunakula yote.<br />

Tarehe 7: Baraza ya Yoane Mtangulizi. Tunakula samaki.<br />

11 Makumbusho ya Mt. Theodosios. Tunakula mafuta na vinyo.<br />

16. Usujudu ya monyororo ya Mtume Petro. Tunakula mafuta na vinyo.<br />

17. Ya Mtakatifu Antonios. Tunakula mafuta na vinyo.<br />

18. Ya Watakatifu Athanasios na Kirillos. Mafuta na vinyo.<br />

20. Ya Mtakatifu Efthimios mukubwa. Mafuta na vinyo.<br />

22 Ya Mutume Timotheos na Mushahindi Anastasios ya Persia. Mafuta na vinyo.<br />

25 Ya Mtakatifu Askofu Grigorie mutheologo. Mafuta na vinyo.<br />

27. Kuhamisha Mifupa ya Mt. Yoane Krisostomo. Mafuta na vinyo.<br />

30. Makumbusho ya Maaskofu Wakubwa tatu, Basile Mkuu, Grigorie na Yoane<br />

Krisostome. Mafuta na vinyo.<br />

MWEZI <strong>YA</strong> FEBRUARI<br />

2. Mapokeleo ya Bwana Yesu Kristu mikononi mwa Mt. Simeoni. Tunakula<br />

samaki.<br />

8. Mtakatifu Mshahidi askari Mkubwa Theodoros. Mafuta na vinyo.<br />

10. Mt. Haralambos Askofu na Shahindi. Mafuta na vinyo.<br />

11. Mtakatifu Askofu Vlasios. Mafuta na vinyo.<br />

17. Mt. shahindi Theodoros wa Tironi. Mafuta na vinyo.<br />

24. Kupata Kichwa cha Mt. Yoane Mutangulizi. Mafuta na vinyo.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!