19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

85<br />

WIMBO INGINE<br />

Sauti ya sita<br />

Utuhurumie, ee Bwana, utuhurumie; Kwa kuwa sisi watu wenye zambi, hakuna<br />

tena yoyote kukutolea, ila ombi hii tunatoa kwako, uliye Rabi, utuhurumie.<br />

Utukufu kwa Baba na kwa Mwana.. .<br />

Ee Bwana, utuhurumie kwa kuwa tunatengemea kwako. Utukaribie sana wala<br />

kuzikumbuka zambi zetu, lakini hata sasa utwangalie kama mwenye huruma, ukatuokoe<br />

na madui zetu. Wewe, u Mungu wetu, tena sisi ni watu wako, sisi wote ni viumbe vya<br />

mikono yako na jina lako tunaliita.<br />

Sasa na siku zote.. . THEOTOKION<br />

Utufungulie lango wa huruma yako, ee Mzazi Mungu Mbarikiwa.<br />

Tunayokutumainia wewe, hatutaanguka. Kwako tutaepuka mateso, kwa kuwa wewe ni<br />

wokovu wa amini wa wa Kristu.<br />

Bwana hurumia (Mara makumi Ine).<br />

Utukufu kwa Baba.. . Sasa na siku zote.. . Uliye wa tamani.. .<br />

Mungu, Rabi, Baba Mwenyezi; Mwokozi, Mwana wa pekee, Yesu Kristu na Roho<br />

Mtakatifu, umungu moja, nguvu moja, unihurumie; wakati wa mwisho uniokoe mimi<br />

mukosefu wako, kwani umetukuzwa milele na milele. Amin.<br />

Njooni tumwinamie na tumusujudu Mungu Mfalme wetu.<br />

Njooni tumwinamie Kristu aliye Mfalme wetu.<br />

Njooni tumwinamie yeye Kristu aliye Mfalme na Mungu wetu.<br />

ZABURI 69 (70).<br />

Ee Mungu, uniokoe; unisaidie mbio, ee Bwana. Wapate haya na kufazaishwa<br />

wanaotafuta nafsi yangu; warudishwe nyuma na kuzarauliwa wanaofurahi kwa kuumia<br />

kwangu. Warudishwe nyuma kwa ajili ya haya yao wanaosema: Ewe, ewe. Wote<br />

wanaokutafuta washangilie na kukufurahia; nao wanaopenda wokovu wako waseme<br />

daima: Mungu atukuzwe. Lakini mimi ni masikini na mwenye hitaji unisaidie mbio, ee<br />

Mungu; wewe ni musaidia wangu na mwokozi wangu; ee Bwana, usikawie.<br />

ZABURI 142 (143)<br />

Sikia maombi yangu, ee Bwana, usikilize kusihi kwangu; katika uaminifu wako<br />

unijibu, katika haki yako. Usihukumu mutumishi wako; maana machoni mwako hakuna<br />

mutu aliye hai atahesabiwa haki. Maana adui amefuata nafsi yangu; amepiga uzima<br />

wangu chini hata udongo. Amenikalisha katika pahali pa giza, kama wale waliokufa<br />

zamani. Kwa hivi roho yangu imezimia ndani yangu; Moyo wangu ndani yangu ni ukiwa.<br />

Ninakumbuka siku za kale; ninafikili matendo yako yote; ninawaza kazi ya mikono yako.<br />

Ninakunyoshea mikono yangu; nafsi yangu inaona kiu kwa wewe, kama inchi<br />

inayochoka. Fanya mbio kwa kunijibu, ee Bwana; roho yangu inazimia; usinifichie uso<br />

wako; nisiwe kama wao wanaoshuka shimoni. Unifanye kusikia wema wako asubui; kwa<br />

maana ninakutumainia wewe; unijulishe njia nitakayoikwenda; kwa maana<br />

ninakunyanyulia nafsi yangu. Uniponyeshe, ee Bwana, na adui zangu, ninakukimbilia<br />

unifiche. Unifundishe kufanya mapenzi yako; kwa maana wewe ndiwe Mungu wangu;<br />

Roho yako ni mwema; uniongoze katika inchi ya haki. Unipatize uzima, ee Bwana, kwa<br />

ajili ya jina lako; kwa haki yako utoe nafsi yangu katika taabu. Na kwa wema wako

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!