19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

37<br />

SIKU KUU <strong>YA</strong> MAGEUZO SURA <strong>YA</strong> YESU KRISTU<br />

MWOKOZI WETU<br />

Apolitikion , Sauti ya Saba.<br />

Uligeuza sura mlimani, ee Kristu Mungu wetu, uliwaonyesha wanafunzi wako<br />

utukufu wako kama walivyoweza: Utuangazie pia sisi wenye zambi na mwangaza yako<br />

ya milele kwa maombezi ya Mzazi-Mungu, ewe muletaji wa Nuru, utukufu kwako.<br />

Kondakion, Sauti ya Saba.<br />

Mlimani ulijigeuza, na kama inavyowezekana wanafunzi wako waliona, ewe<br />

Kristu Mungu, utukufu wako; wakati walikuona Msalabani, na walisikia mateso yako<br />

kwa mapenzi yako na, watahubiri duniani, ya kama ndiwe kweli Mtukufu wa Baba.<br />

APOLITIKIA NA KONDAKIA ZA SIKU KUU ZA MZAZI-<br />

MUNGU<br />

SIKU KUU <strong>YA</strong> KUZALIWA KWA MAMA MZAZI-MUNGU<br />

Apolitikion, Sauti ya Ine.<br />

Katika kujaliwa kwako, ewe Mzazi-Mungu, furaha ilifunuliwa ulimwenguni yote,<br />

kwani kwako kulitokea Jua la haki, Kristu Mungu wetu ambaye, alipotukomboa ku laana,<br />

akatuletea baraka, na aliposhinda mauti, akatupatia uzima wa milele.<br />

Kondakion, Sauti ya Ine<br />

Yoakimu na Anna ku utasa wa haya, Adam na Eva ku mauti ya uharibifu<br />

waliombolezwa Bikira Safi, kwa ajili ya kuzaliwa kwako; hivi mataifa yake<br />

wanakushangilia, kwa maana walikombolewa ku utumwa wa zambi na wanaimbia tasa<br />

aliyezaa Mzazi-Mungu na mlinzi wa uzima wetu.<br />

SIKU KUU <strong>YA</strong> KUINGIA KWAKE MZAZI-MUNGU<br />

HEKALUNI

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!