Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
37<br />
SIKU KUU <strong>YA</strong> MAGEUZO SURA <strong>YA</strong> YESU KRISTU<br />
MWOKOZI WETU<br />
Apolitikion , Sauti ya Saba.<br />
Uligeuza sura mlimani, ee Kristu Mungu wetu, uliwaonyesha wanafunzi wako<br />
utukufu wako kama walivyoweza: Utuangazie pia sisi wenye zambi na mwangaza yako<br />
ya milele kwa maombezi ya Mzazi-Mungu, ewe muletaji wa Nuru, utukufu kwako.<br />
Kondakion, Sauti ya Saba.<br />
Mlimani ulijigeuza, na kama inavyowezekana wanafunzi wako waliona, ewe<br />
Kristu Mungu, utukufu wako; wakati walikuona Msalabani, na walisikia mateso yako<br />
kwa mapenzi yako na, watahubiri duniani, ya kama ndiwe kweli Mtukufu wa Baba.<br />
APOLITIKIA NA KONDAKIA ZA SIKU KUU ZA MZAZI-<br />
MUNGU<br />
SIKU KUU <strong>YA</strong> KUZALIWA KWA MAMA MZAZI-MUNGU<br />
Apolitikion, Sauti ya Ine.<br />
Katika kujaliwa kwako, ewe Mzazi-Mungu, furaha ilifunuliwa ulimwenguni yote,<br />
kwani kwako kulitokea Jua la haki, Kristu Mungu wetu ambaye, alipotukomboa ku laana,<br />
akatuletea baraka, na aliposhinda mauti, akatupatia uzima wa milele.<br />
Kondakion, Sauti ya Ine<br />
Yoakimu na Anna ku utasa wa haya, Adam na Eva ku mauti ya uharibifu<br />
waliombolezwa Bikira Safi, kwa ajili ya kuzaliwa kwako; hivi mataifa yake<br />
wanakushangilia, kwa maana walikombolewa ku utumwa wa zambi na wanaimbia tasa<br />
aliyezaa Mzazi-Mungu na mlinzi wa uzima wetu.<br />
SIKU KUU <strong>YA</strong> KUINGIA KWAKE MZAZI-MUNGU<br />
HEKALUNI