You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
82<br />
Ee Bwana Mungu wangu, tia nuru macho yangu nisilale usingizi wa mauti,<br />
adui yangu asiseme: Nimemushinda.<br />
Utukufu kwa Baba.. .<br />
Saidia roho yangu, ee Mungu, kwa sababu natembea katikati ya mitego mingi,<br />
unichunge, na uniokoe, ewe Mwema, Mpenda-wanadamu.<br />
Sasa na siku zote.. .<br />
THEOTOKION:<br />
Kwa sababu hatuna na matumaini juu ya zambi zetu nyingi, hurumia huyu<br />
aliyezaliwa kwako ee Mzazi-Mungu, Bikira, sababu ombi la mama iko nguvu kwa kupata<br />
wema wa Rabi. Usizarau maombi ya wenyi kutenda zambi, ee Mtukufu, kwani yeye ni<br />
mwenyi rehema na nguvu ya kuokoa, kwa sababu anachukua mateso yetu mwilini<br />
mwake.<br />
Hii Tropari ni ya siku ya kazi Mbili na kazi Ine.<br />
Bwana, unajuwa ya kama adui zangu wasioonekana wanakaa kila siku macho<br />
wazi, tena unajuwa uzaifu wa mwili wangu, wewe uliniumba, na naweka roho yangu<br />
mikononi mwako. Unifunike mu mabawa ya wema wako, kwa sababu nisilale mu mauti.<br />
Uangazie macho ya roho yangu kwa raha kubwa ya maneno yako ya umungu.<br />
Uniamushe wakati wenye kweneya ili nikukutuze mwema na mpenda-wanadamu.<br />
Angalia upande wangu, unihurumie, juu ya uhaki wako kwa yule anapenda jina<br />
lako.<br />
Maamzi yako yenyi kuogoppesha, ee Bwana, wakati malaika watakuwapo, watu<br />
watakusanika, vitabu wavi, vitendo vyenyi kufunuliwawangalia, mawazo yenye kuwa<br />
wazi.<br />
Maamzi yangu mimi mwenye kuumbwa mu zambi itakuwa je? Nani atanizimia<br />
moto? Nani ataniangazia giza? Kama wewe, Bwana haunihurumie, wewe Mpendawanadamu.<br />
Utukufu kwa Baba.. .<br />
Unipe machozi, ee Mungu, ulivyomutenda zamani nitenda za, bi ili nistahili,<br />
kusafisha miguu yako ilionitosha njiani mwa uwongo, na kukutolea manukato ya harufu<br />
nzuri na uzima safi, uliyofanywa katika toba; na nisikie, mimi vilevile, neno pendelevu:<br />
Imani yako inakuokoa, wende na amani.<br />
Sasa na siku zote.. . THEOTOKION.<br />
Ee Muzazi-Mungu, nakutumainia wewe. Nikiwa na furaha ya msaada wako, ee<br />
Mama mtakatifu, sitaogopa kitu; nikiwa na ulinzi wako, kama silaha, nitafukuza adui<br />
zangu na nitawasambaza; kwa kuomba msaada wako wa uwezo na isio na mipaka,<br />
nakulalamikia: Ee Mkuu, uniokoe kwa maombezi yako; uniamushe toka usingizi wa giza,<br />
kusudi nikutukuze kwa uwezowa huyu alipata mwili kwako, ndiye Mwana wa Mungu.<br />
Bwana hurumia (Mara makumi Ine) (40). Utukufu kwa Baba.. . Sasa na siku<br />
zote.. .<br />
Uliye wa tamani kuwa shinda waKeruvi, uliye na utukufu.. .<br />
Kwa maombezi ya Mapadri Watakatifu wetu, ee Bwana Yesu Kristu Mungu wetu,<br />
utuhurumie na utuokoe.<br />
Sala ya Mtakatifu Bazile Mkubwa<br />
Bwana, Bwana, ulitukomboa toka mukuki wenyi kuruka muchana, utuokoe tena<br />
toka tendo lenyi kutembea mu giza. Upokee kuinua kwa mikono yetu sawa sadaka ya