19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

82<br />

Ee Bwana Mungu wangu, tia nuru macho yangu nisilale usingizi wa mauti,<br />

adui yangu asiseme: Nimemushinda.<br />

Utukufu kwa Baba.. .<br />

Saidia roho yangu, ee Mungu, kwa sababu natembea katikati ya mitego mingi,<br />

unichunge, na uniokoe, ewe Mwema, Mpenda-wanadamu.<br />

Sasa na siku zote.. .<br />

THEOTOKION:<br />

Kwa sababu hatuna na matumaini juu ya zambi zetu nyingi, hurumia huyu<br />

aliyezaliwa kwako ee Mzazi-Mungu, Bikira, sababu ombi la mama iko nguvu kwa kupata<br />

wema wa Rabi. Usizarau maombi ya wenyi kutenda zambi, ee Mtukufu, kwani yeye ni<br />

mwenyi rehema na nguvu ya kuokoa, kwa sababu anachukua mateso yetu mwilini<br />

mwake.<br />

Hii Tropari ni ya siku ya kazi Mbili na kazi Ine.<br />

Bwana, unajuwa ya kama adui zangu wasioonekana wanakaa kila siku macho<br />

wazi, tena unajuwa uzaifu wa mwili wangu, wewe uliniumba, na naweka roho yangu<br />

mikononi mwako. Unifunike mu mabawa ya wema wako, kwa sababu nisilale mu mauti.<br />

Uangazie macho ya roho yangu kwa raha kubwa ya maneno yako ya umungu.<br />

Uniamushe wakati wenye kweneya ili nikukutuze mwema na mpenda-wanadamu.<br />

Angalia upande wangu, unihurumie, juu ya uhaki wako kwa yule anapenda jina<br />

lako.<br />

Maamzi yako yenyi kuogoppesha, ee Bwana, wakati malaika watakuwapo, watu<br />

watakusanika, vitabu wavi, vitendo vyenyi kufunuliwawangalia, mawazo yenye kuwa<br />

wazi.<br />

Maamzi yangu mimi mwenye kuumbwa mu zambi itakuwa je? Nani atanizimia<br />

moto? Nani ataniangazia giza? Kama wewe, Bwana haunihurumie, wewe Mpendawanadamu.<br />

Utukufu kwa Baba.. .<br />

Unipe machozi, ee Mungu, ulivyomutenda zamani nitenda za, bi ili nistahili,<br />

kusafisha miguu yako ilionitosha njiani mwa uwongo, na kukutolea manukato ya harufu<br />

nzuri na uzima safi, uliyofanywa katika toba; na nisikie, mimi vilevile, neno pendelevu:<br />

Imani yako inakuokoa, wende na amani.<br />

Sasa na siku zote.. . THEOTOKION.<br />

Ee Muzazi-Mungu, nakutumainia wewe. Nikiwa na furaha ya msaada wako, ee<br />

Mama mtakatifu, sitaogopa kitu; nikiwa na ulinzi wako, kama silaha, nitafukuza adui<br />

zangu na nitawasambaza; kwa kuomba msaada wako wa uwezo na isio na mipaka,<br />

nakulalamikia: Ee Mkuu, uniokoe kwa maombezi yako; uniamushe toka usingizi wa giza,<br />

kusudi nikutukuze kwa uwezowa huyu alipata mwili kwako, ndiye Mwana wa Mungu.<br />

Bwana hurumia (Mara makumi Ine) (40). Utukufu kwa Baba.. . Sasa na siku<br />

zote.. .<br />

Uliye wa tamani kuwa shinda waKeruvi, uliye na utukufu.. .<br />

Kwa maombezi ya Mapadri Watakatifu wetu, ee Bwana Yesu Kristu Mungu wetu,<br />

utuhurumie na utuokoe.<br />

Sala ya Mtakatifu Bazile Mkubwa<br />

Bwana, Bwana, ulitukomboa toka mukuki wenyi kuruka muchana, utuokoe tena<br />

toka tendo lenyi kutembea mu giza. Upokee kuinua kwa mikono yetu sawa sadaka ya

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!