Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
55<br />
NAMNA <strong>YA</strong> KUKARIBIA<br />
KOMONYO TAKATIFU.<br />
SIMEONI MFASIRI<br />
Ee Wewe menyi lujitayarisha kuwa kuonja mwili wa Bwana, karibia na woga<br />
kusudi usiungue: Ni moto. Kwa kunywa Damu ya ushirika, mbele ya upatano vema na<br />
wao walikukosea, kisha jongeo uonje chakula cha fumbo.<br />
INGINE VILEVILE<br />
Mbele ya kukomunika sadaka ya woga, mwili wa Rabi, wenye kuleta uzima, sala<br />
hivi namna yafuatayo na matetemeko:<br />
<strong>SALA</strong> 1 <strong>YA</strong> MTAKATIFU BAZILE MKUBWA<br />
Bwana Yesu Kristu, Mungu wetu, chemchem ya uzima na ya uzima usiyo kufa,<br />
Muumba wa ulimwengu unaoonekana na usiyoonekana, Mwana wa milele pamoja na<br />
Baba bila mwanzo na Wewe Mwenyewe usiye mwanzo: Wewe ambao katika ziada ya<br />
wema, ulikamata mwili, wewe ulisulubiwa na kuwekwa kaburini kwa ajili yetu sisi wasio<br />
shukrani na wapotevu ambao kwa ajili ya damu yako ulitupatanisha na hali yetu ya<br />
zambi, wewe mwenyewe, Mfalme wa milele, ulikubali majuto yangu, mimi mukosefu;<br />
inamisha sikio lako kwangu na usikie chochote ninapotaka kusema. Nilikosea mbingu na<br />
Wewe Mwenyewe na sistahili tena kunyanyua macho yangu juu kulio sifa yako, kwani<br />
nilikasirikisha wema wako nilipovunja amri zako na kukataa kutii amri zako. Lakini,<br />
Rabi, uko mvumilivu na mwenye huruma; tena wakati unapogonja ubadilisho wangu,<br />
haukuniacha kupotea na zambi zangu. Wewe, ee rafiki wa binadamu, uliyesema<br />
mwenyewe kwa kinywa cha manabii wako: Hakuna hata kamwe ginsi yangu mimi<br />
kuachilia mukosefu, lakini ninataka abadilike na awe hai, hautaki, ee Rabi, kupoteza kazi<br />
ya mikono yako na haukupenda uharibifu wa wanadamu, lakini unataka kama wote<br />
waokolewe na wafike kwa kujuwa ukweli. Tena mimi ninapokuwa mwovu, wa mbingu,<br />
wa dunia na wa maisha ya kidunia, mimi ninayetii kamili ku zambi na kuwa mtumwa wa<br />
tamaa zangu, mimi nilichafusha sura yako, nikuwapo lakini jambo la mkono wako na<br />
muumbwa wako, sikukati tumaini ya wokovu wangu, mimi maskini mzima, kwani mimi<br />
niko mtumaini katika rehema yako yasiyo mpaka na ninakukaribia. Unipokee basi, ee<br />
Kristu, rafiki wa wanadamu, sawa bibi mkosefu, mwivi, mtenda zambi na mtoto mpotevu<br />
na uniokoe ku zambi zangu zote. Wewe unaondoa zambi za dunia na kuponya magonjwa<br />
ya wanadamu, wewe unaoita na kutuliza wao wanaoteswa na wanaolemewa, wewe<br />
ulikuja kuwaita ku majuto, hapana wenye haki, lakini wakosefu, unitakase uchafu wa<br />
mwili na wa roho. Unifundishe kutenda vitendo vitakatifu katika oga yako. Ninapokua na<br />
ushahidi mwema wa zamiri, na ninapokea upaji wako takatifu, nitaungana na mwili na<br />
damu, utakuwa ndani yangu mkaaji na Baba na Roho Mtakatifu, ndiyo, ee Bwana Yesu<br />
Mungu wangu, ushiriki huo ku mistiri zako takatifu na zileta uhai zisiwe nami upatilivu<br />
wala hukumu na nisiwe munyonge wa moyo na wa mwili kwa kuyashariki bila<br />
ustahilivu. Lakini unipatie kuyapokea daima mpaka mwisho wa pumzi yangu vipaji<br />
vyako vitakatifu, bila kupatikana na upatilivu; uwe nami upasho wa Roho Mtakatifu,<br />
ukaristia wa mwisho ku uzima wa milele, uhakikisho unaokubaliwa mbele ya hukumu<br />
yako ya hofu, kusudi pamoja na wateule wako wote, niwe nami mshariki wa mali isiyo