19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

55<br />

NAMNA <strong>YA</strong> KUKARIBIA<br />

KOMONYO TAKATIFU.<br />

SIMEONI MFASIRI<br />

Ee Wewe menyi lujitayarisha kuwa kuonja mwili wa Bwana, karibia na woga<br />

kusudi usiungue: Ni moto. Kwa kunywa Damu ya ushirika, mbele ya upatano vema na<br />

wao walikukosea, kisha jongeo uonje chakula cha fumbo.<br />

INGINE VILEVILE<br />

Mbele ya kukomunika sadaka ya woga, mwili wa Rabi, wenye kuleta uzima, sala<br />

hivi namna yafuatayo na matetemeko:<br />

<strong>SALA</strong> 1 <strong>YA</strong> MTAKATIFU BAZILE MKUBWA<br />

Bwana Yesu Kristu, Mungu wetu, chemchem ya uzima na ya uzima usiyo kufa,<br />

Muumba wa ulimwengu unaoonekana na usiyoonekana, Mwana wa milele pamoja na<br />

Baba bila mwanzo na Wewe Mwenyewe usiye mwanzo: Wewe ambao katika ziada ya<br />

wema, ulikamata mwili, wewe ulisulubiwa na kuwekwa kaburini kwa ajili yetu sisi wasio<br />

shukrani na wapotevu ambao kwa ajili ya damu yako ulitupatanisha na hali yetu ya<br />

zambi, wewe mwenyewe, Mfalme wa milele, ulikubali majuto yangu, mimi mukosefu;<br />

inamisha sikio lako kwangu na usikie chochote ninapotaka kusema. Nilikosea mbingu na<br />

Wewe Mwenyewe na sistahili tena kunyanyua macho yangu juu kulio sifa yako, kwani<br />

nilikasirikisha wema wako nilipovunja amri zako na kukataa kutii amri zako. Lakini,<br />

Rabi, uko mvumilivu na mwenye huruma; tena wakati unapogonja ubadilisho wangu,<br />

haukuniacha kupotea na zambi zangu. Wewe, ee rafiki wa binadamu, uliyesema<br />

mwenyewe kwa kinywa cha manabii wako: Hakuna hata kamwe ginsi yangu mimi<br />

kuachilia mukosefu, lakini ninataka abadilike na awe hai, hautaki, ee Rabi, kupoteza kazi<br />

ya mikono yako na haukupenda uharibifu wa wanadamu, lakini unataka kama wote<br />

waokolewe na wafike kwa kujuwa ukweli. Tena mimi ninapokuwa mwovu, wa mbingu,<br />

wa dunia na wa maisha ya kidunia, mimi ninayetii kamili ku zambi na kuwa mtumwa wa<br />

tamaa zangu, mimi nilichafusha sura yako, nikuwapo lakini jambo la mkono wako na<br />

muumbwa wako, sikukati tumaini ya wokovu wangu, mimi maskini mzima, kwani mimi<br />

niko mtumaini katika rehema yako yasiyo mpaka na ninakukaribia. Unipokee basi, ee<br />

Kristu, rafiki wa wanadamu, sawa bibi mkosefu, mwivi, mtenda zambi na mtoto mpotevu<br />

na uniokoe ku zambi zangu zote. Wewe unaondoa zambi za dunia na kuponya magonjwa<br />

ya wanadamu, wewe unaoita na kutuliza wao wanaoteswa na wanaolemewa, wewe<br />

ulikuja kuwaita ku majuto, hapana wenye haki, lakini wakosefu, unitakase uchafu wa<br />

mwili na wa roho. Unifundishe kutenda vitendo vitakatifu katika oga yako. Ninapokua na<br />

ushahidi mwema wa zamiri, na ninapokea upaji wako takatifu, nitaungana na mwili na<br />

damu, utakuwa ndani yangu mkaaji na Baba na Roho Mtakatifu, ndiyo, ee Bwana Yesu<br />

Mungu wangu, ushiriki huo ku mistiri zako takatifu na zileta uhai zisiwe nami upatilivu<br />

wala hukumu na nisiwe munyonge wa moyo na wa mwili kwa kuyashariki bila<br />

ustahilivu. Lakini unipatie kuyapokea daima mpaka mwisho wa pumzi yangu vipaji<br />

vyako vitakatifu, bila kupatikana na upatilivu; uwe nami upasho wa Roho Mtakatifu,<br />

ukaristia wa mwisho ku uzima wa milele, uhakikisho unaokubaliwa mbele ya hukumu<br />

yako ya hofu, kusudi pamoja na wateule wako wote, niwe nami mshariki wa mali isiyo

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!