19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

61<br />

<strong>SALA</strong> 3<br />

<strong>YA</strong> SIMEONI MFASIRI<br />

Wewe uliyenipa kwa masudi, mwili wako mu chakula, wewe unaokua moto<br />

unaonguza waovu usinichome, ee Mwumba wangu; Lakini ingia katika maungu yangu,<br />

Mu vingo vyangu vyote, mu utumbo wangu na mu roho yangu. Choma miiba ya makosa<br />

yangu. Safisha roho yangu, takasa mawazo yangu. Sabitisha viungo na mifupa yangu.<br />

Angazia vifungu vyangu tano vya mwili. Unilinde siku zote, unikinge na unilinde ku<br />

vitendo vyote ao ku sauti ya mauti juu ya roho yangu, unisafishe na unioshe, unipambe,<br />

unitengeneze, unifundishe na uniangaze. Unifanye makao ya roho moja tu, na isiokua<br />

makao ya zambi. Na, ninapokua nyumba yako ulinipoingia kwa komonyo, roho mubaya<br />

na ya tamaa inikimbiye sawa moto, ninaomba usimamizi ya wale wote wanaotakaswa,<br />

majeshi ya wasio mauti, Mtangulizi wako, Mitume wako wa arifa, na hata kuliko vyote,<br />

Mama wako Mtakatifu na bila doa, Ee Kristu wangu, kubali kupokea na huruma maombi<br />

yao, na fanyizia Mwana wako kwa mtumishi wa mwangaza. Kwa sababu uko Mungu<br />

mwema Mtakasa wa pekee na mwangazaji wa mioyo zetu na wote tunakukuza namna<br />

inayofaa , wewe Mungu wetu na Rabi wetu. Amina.<br />

<strong>SALA</strong> 4<br />

Mwili wako na damu yako, ee Bwana Yesu Kristu, inipe uzima wa milele, na<br />

damu yako ya bei iwe nami maondoleo ya zambi. Na ukaristia huo unijalie furaha, afya<br />

na heri. Wakati wa ujio wako wa pili wenye hatari, unistahilishe, mimi mkosefu, kukaa<br />

kuume kwako kutukufu, kwa maombezi ya Mama wako Mtakatifu kabisa na ya<br />

Watakatifu wote. Amina.<br />

<strong>SALA</strong> 5<br />

KWA BIKIRA MZAZI-MUNGU.<br />

Ee Malkia Mtakatifu kamili, Mama wa Mungu, Mwangaza wa moyo wangu<br />

uliotiliwa gizani, tumaini langu, tegemeo yangu, kimbilio langu; faraja na heri zangu,<br />

ninakushukuru pakunistahilisha mimi mwovu kwa kukumunika mwili takatifu na damu<br />

heshimiwa ya Mwana wako. Wewe uliyezaa nuru ya kweli, angazia macho ya kiroho ya<br />

moyo wangu. Wewe uliyezaa chemchem ya uzima wa milele, unirudishiye uzima, mimi<br />

niliyeuwawa na zambi. Wewe Mama wa Mungu wa huruma moyoni mwangu,<br />

unihurumie, huzunisha na sikitisha moyo wangu, unyenyekevu ndani ya mawazo yangu<br />

na ufikiri katika akili yangu. Unistahilishe mpaka siku yangu ya mwisho, kwa kupokea<br />

bila hukumu utakaso wa siri zako takatifu, kwa uponya wa moyo wangu na wa mwili<br />

wangu. Unipe machozi ya majuto na ya ungamo, ili nikuimbie na kukusifu siku zote za<br />

uzima wangu, (kwa sababu uko mbarikiwa na mjaliwa na utukufu milele Amina). (Mara<br />

tatu).<br />

Sasa, Rabi, uruhusu mtumishi wako aende kwa utulivu kama ulivyosema, kwa<br />

sababu macho yangu yameona wokovu wako ulioweka tayari mbele ya macho ya watu<br />

wote; Nuru ya kwangazia mataifa, na kuwa utukufu wa watu wako Israeli (Luka 2, 29).<br />

Mungu Mutakatifu, Mweza Mutakatifu, Msiye kufa Mtakatifu, utuhurumie (Mara<br />

tatu).<br />

Utukufu kwa Baba. .. Sasa na siku zote. .. Utatu Mtakatifu kamili utuhurumie. ..<br />

Bwana hurumia (Mara tatu). Utukufu kwa Baba. .. Sasa na siku zote. ..<br />

Baba yetu uliye mbinguni, .. .

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!