91 <strong>SALA</strong> <strong>YA</strong> PASKA Kwa Jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. Amina. Kristu alifufuka katika wafu, kwa lufu alishinda mauti, kwa wale waliokuwa ndani ya kaburi, aliwapatia uzima. (Mara tatu) Tukipokwisha kufikiri ufufuo wa Kristu, tumsujudie Mtakatifu wetu Bwana Yesu aliye peke bila zambi. Ee Kristu, tunausujudu msalaba wako, tunaimbia na kuutukuza ufufuo wako takatifu, kwa sababu wewe ni Mungu wetu, hatumjue tena mwengine ila wewe, jina lako tunalitaja, njooni waaminifu wote tuusujudie Ufufuo Takatifu wa Kristu; na tazama, kwa msalaba wake furaha yanapenya ulimwengu kote, bila ukomo tumutukuze Bwana na tuimbie Ufufuo wake, kwani alipoteswa msalabani kwa ajili yetu amebadilisha mauti kwa kifo chake. (Mara tatu). Waliposafirii alfajiri, wakakuta jiwe limekwisha fingirishwa kaburini, Maria na wenzie wakasikia malaika aliyewauliza: Sababu gani munatafuta miongoni mwa wafu Yeye aliye hai katika nuru ya milele? Tazameni utepe: Nendeni mbiyo kuelezea wote ya kwamba Bwana amefufuka akishinda kifo, maana ni Mwana wa Mungu aokoaye wanadamu. Ulipolala kaburini, ee Bwana Msiyekufa ulivunja nguvu ya gehena na ulifufuka kwa ushindi, ee Kristu Mungu wetu, ukawaamuru wabebaji wa Manemane (Myrofore) kwa kufurahiwa; ukiwaangalia mitume wako ukawapa amani, ewe unayetuokoa na kutupa ufufuo. Kaburini na Mwili wako, Kuzimu na Roho, kama Mungu, Paradizoni na munyanganyi mwema, unakaa kitini na Baba na Roho, ee Kristu unayekuwapo popote na kuujaza ulimwengu. Utukufu kwa Baba na kwa Mwana na kwa Roho mtakatifu. Uliye na bei kuliko Paradizo, hakika, mwangavu kuliko makao ya mfalme, ee Kristu uliyetutokea, kaburi yako yaleta uhai: Yaliyo chemchem ya ufufuo wetu. Sasa na siku zote hata milele na milele. Amina. Salamu, ee makao iliyotakaswa, Hekalu kimungu ya Aliye-Juu sana, Mzazi- Mungu, ni kwa sababu yako ambako tumepewa furaha na tunakulilia ya kwamba: Umebarikiwa katika wanawake, Malkia bila doa. Bwana hurumia (mara 40) . Utukufu kwa Baba. .. Sasa na siku. .. Uliye wa thamani kuwashinda wakheruvi, uliye na utukufu kuwapita bila kiasi wa Serafi, uliye ukimuzaa Mungu Neno, umebaki bila kukuharibu, uliye Mzazi-Mungu kweli tunakutukuza wewe. Kwa maombezi ya Mapadri Watakatifu wetu, ee Bwana Yesu Kristu Mungu wetu, utuhurumie na utuokoe Amina.. Hii Ibada ile wakati ya Ufufuo wa Bwana Yesu kristu tunaisoma mangaribi mara tatu. Kisha ile mara tatu tunasoma na hii: Sala ya Mtakatifu Bazile: Ewe Rabi Mwenyezi Mubarikiwa, ewe Uliyeangaza muchana na mwangaza ya jua na uliangaza usiku na mwangaza ya moto. Wewe ulitustahilisha kupita siku nzima na kukaribia usiku. Sikia maombi yetu na ya watu wote na kutuhurumia makosa ya kujuwa ao ya bila kujuwa. Pokea sala zetu za Mangaribi na wingi wa rehema yako na wema wako kwa uriti wako. Malaika wako watakatifu watulinde. Utupe silaha yako ya haki, utuongoze na ukweli wako na nguvu yako. Utuokoe ku kila aibu na ku mutego ya shetani. Utupe mangaribi hii na usiku huu kamilifu, takatifu, amani yasiyo na zambi,
92 yasiyo mnaso, bila mawazo mabaya hata siku zote za maisha yetu, kwa maombezi ya Mzazi-Mungu na ya Watakatifu wote, wale walio kupendeza toka milele. Amin. Kristu alifufuka katika wafu, kwa lufu alishinda mauti, kwa wale waliokuwa ndani ya kaburi, aliwapatia uzima.
- Page 1 and 2:
KITABU YA SALA YA WA KRISTIANI WAOR
- Page 3 and 4:
2 3)Maombi ya kweli ni kuchunga aki
- Page 5 and 6:
Kama tuko na wakati mingi asubui, t
- Page 7 and 8:
6 SIMVOLO YA IMANI Nasadiki Mungu m
- Page 9 and 10:
8 mitego; nao wanaotafuta kuniumiza
- Page 11 and 12:
10 ZABURI I42 (I43). Sikia maombi y
- Page 13 and 14:
12 muchana, warizi wa mali zako za
- Page 15 and 16:
SALA YA CHAKULA 14 Chakula cha asub
- Page 17 and 18:
16 inayofurahisha moyo wa mutu, na
- Page 19 and 20:
tatu). 18 Mukazi moya Mangaribi. Sa
- Page 21 and 22:
20 Mungu Mutakatifu, Mweza Mtakatif
- Page 23 and 24:
22 SIMVOLO YA IMANI Nasadiki Mungu
- Page 25 and 26:
24 kusali tuwe wahodari mu amri zak
- Page 27 and 28:
26 APOLITIKIA NA THEOTOKIA ZA UFUFU
- Page 29 and 30:
28 THEOTOKION Siri ya kificho tangu
- Page 31 and 32:
30 IPAKOI Mirofori walipokuja kabur
- Page 33 and 34:
32 APOLITIKION YA MUTAKATIFU MUTAWA
- Page 35 and 36:
34 APOLITIKIA NA KONTAKIA ZA SIKU K
- Page 37 and 38:
36 SIKU KUU YA PASKA Apolitikion ,
- Page 39 and 40:
38 Apolitikion, Sauti ya Ine. Leo n
- Page 41 and 42: 40 ukweli katika furaha uliwahubiri
- Page 43 and 44: 42 KONTAKION. Sauti ya Mnane. Kwako
- Page 45 and 46: FUNGU 2 44 I K O S 7 Wachungaji wal
- Page 47 and 48: 46 Salamu, kwani kwa wafungwa unawa
- Page 49 and 50: 48 I K O S 21 Kama taa yenye kwanga
- Page 51 and 52: 50 Tangu mangaribi, kisha Apodipnon
- Page 53 and 54: 52 WIMBO 7 Utukufu kwako, ee Mungu
- Page 55 and 56: 54 milango ya milele; na mfalme wa
- Page 57 and 58: 56 wovu uliotengenezea wao wanaokup
- Page 59 and 60: 58 unasikia kite langu, bila kufich
- Page 61 and 62: 60 Na pia Sala hii: Rabi, rafiki ya
- Page 63 and 64: Apolitikion ya Mtakatifu Yoanne Kri
- Page 65 and 66: 64 Utukufu kwa Baba. .. Mara ingine
- Page 67 and 68: 66 Bibi-Arusi ya Mungu, sambaza kun
- Page 69 and 70: 68 Hakuna mutu aliyekimbilia kwako
- Page 71 and 72: 70 Mutangulizi wa Bwana na Mubatiza
- Page 73 and 74: 72 Maombi ya Saa ya saba ya Ibada y
- Page 75 and 76: 74 mbele yako, tukikataa kuja kwako
- Page 77 and 78: 76 6. Ee Bwana, unipe hamu ya kuung
- Page 79 and 80: 78 pasipo maana watapata haya. Unio
- Page 81 and 82: WIMBO Nami nitamutumainia, naye ata
- Page 83 and 84: 82 Ee Bwana Mungu wangu, tia nuru m
- Page 85 and 86: 84 na kunitupa. Siku zangu ni kama
- Page 87 and 88: ukatilie mbali adui zangu, na kuwah
- Page 89 and 90: 88 upendo wanadamu wako mimi mtu mu
- Page 94 and 95: WAKATI GANI NA NAMNA 93 CHAKULA GAN
- Page 96 and 97: 95 Ni tangu Siku Kuu ya kuzaliwa kw
- Page 98 and 99: 8. Kuzaliwa kwake Mzazi-Mungu. Sama