19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kama tuko na wakati mingi asubui, tunaweza kusoma hii sala<br />

ao sehemu yake.<br />

4<br />

yote ya asubui<br />

<strong>SALA</strong> <strong>YA</strong> ASUBUI<br />

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina<br />

Utukufu kwako, ee Mungu, utukufu kwako.<br />

Mfalme wa mbinguni, Wewe Mfariji, Roho ya ukweli, Uliye pahali popote, na<br />

kuvijaza vitu vyote, Wewe hazina ya mambo mema, tena Mpaji wa uhai, Njoo kukaa<br />

kwetu na kutusafisha kila doa, hata kuziokoa roho zetu, Mwema Wewe. Amina.<br />

Mungu Mtakatifu, Mweza Mtakatifu, Msiye kufa Mtakatifu, utuhurumie (Mara<br />

tatu).<br />

Utukufu kwa Baba, na kwa Mwana, na kwa Roho Mtakatifu. Sasa na siku zote,<br />

hata milele na milele. Amina. Utatu Mtakatifu kamili utuhurumie, Bwana utusamehe<br />

zambi zetu, Rabi utuondolee makosa yetu, Mtakatifu utukaribie na utuponye magonjwa<br />

yetu, Bwana hurumia, Bwana hurumia, Bwana hurumia.<br />

Utukufu kwa Baba na kwa Mwana na kwa Roho Mtakatifu. Sasa na siku zote, hata<br />

milele na milele. Amina.<br />

Baba yetu Uliye mbinguni, jina lako litukuzwe, ufalme wako uje, mapenzi yako<br />

yatimizwe, hapa duniani kama kule mbinguni. Utupe sisi leo chakula chetu cha kila siku,<br />

utusamehe deni zetu, kama sisi vilevile tunavyosamehe wadeni wetu. Na usitutie katika<br />

majaribu, lakini utuokoe na yule Mwovu.<br />

Kwa kuwa ufalme, uwezo na utukufu ni wako, wa Baba na wa Mwana na wa Roho<br />

Mtakatifu. Sasa na siku zote, hata milele na milele.<br />

Sasa tutasoma Wimbo ya Utatu Mtakatifu (Triadike).<br />

Tunapoamka pa usingizi, tunasujudu mbele yako, ee Bwana Mwenyezi na<br />

Mwema, na tunakutolea wimbo wa Malaika: Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu ni Wewe,<br />

Mungu wetu, kwa maombezi ya Mtakatifu Mzazi-Mungu, utuhurumie.<br />

Utukufu kwa Baba.. .<br />

Ee Bwana uliyeniamsha pa usingizi wangu, angaza moyo wangu na roho yangu,<br />

fungua midomo yangu kwa kuimbia, ee Utatu Mtakatifu: Mtakatifu, Mtakatifu,<br />

Mtakatifu, ni Wewe, MUngu wetu, kwa maombezi ya Mtakatifu Mzazi-Mungu,<br />

utuhurumie.<br />

Sasa na siku zote.. .

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!