You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
27<br />
THEOTOKION<br />
Siri zako zote, zinapita wazo lolote na zote ni utukufu sana, ee Mzazi-Mungu,<br />
wewe uliyewekwa alama ya safi, uliyelindwa kwa ubikira, ulijulikana kuwa Mama<br />
msema kweli, ulizaa Mungu kweli; umwombe aokoe roho zetu.<br />
IPAKOI<br />
Ee Kristu Mungu Wanawake wakaenda kaburini kisha mateso Yako kwa kuupakaa<br />
mwili wako manukato. Wakaona Malaika ndani ya kaburi na wakashikwa na woga,<br />
kwani wakasema: Bwana amefufuka kwa ajili ya kuleta duniani neema kubwa.<br />
APOLITIKION<br />
Sauti ya tatu<br />
Mbingu zifurahiwe, na inchi ishangilie, kwa sababu Bwana ametenda nguvu, kwa<br />
mukono wake; na kwa lufu alishinda mauti; na akawa muzaliwa wa kwanza katika wafu;<br />
akatuondosha katika tumbo la kuzimu, na akaleta ku dunia huruma kubwa.<br />
THEOTOKION<br />
Bikira Mzazi-Mungu tunakuimbia, wewe mupatanishi wa wokovu juu ya ukoo<br />
wetu; katika mwili alipata Kwako, Mwana wako na Mungu wetu, alitaka kuteswa<br />
msalabani, juu ya kutukomboa ku lufu, sawa Mpenda-wanadamu.<br />
IPAKOI<br />
Wa ajabu ku sura yake, Malaika mwenye kuangaa, kwa maneno yake akamwanga<br />
umande, akawaambia Mirofor: Kwa nini munamutafuta katika wafu huyu aliye hai?<br />
Alipotosha vyote kaburini, amefufuka! Na kwa mabadiliko yenye kufanyika kaburini<br />
mutambue huyu hawezi kugeuka na mumuambieni: Matendo yako ni ya ajabu, Bwana!<br />
Kwani uliokoa ubinadamu ku lufu.<br />
APOLITIKION<br />
Sauti ya tatu<br />
Wakati wanawake-wanafunzi wa Bwana, walipofundisha na Malaika kuhubiri<br />
habari ya furaha ya ufufuo, na walipotupa hukumu kwa mababu zetu, wakasema kwa<br />
Mitume kwa kujisifu: Mauti imenyanganywa, Kristu Mungu alisimama, kwa kuleta<br />
duniani rehema kubwa.