19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

2<br />

3)Maombi ya kweli ni kuchunga akili yetu na kuinyanyua juu. Wakati<br />

tunaomba, tunaondoa mu akili yetu kila wazo la hii dunia na kazi na jamaa yetu. Na,<br />

kama tutaepuka kila kitu chenye kutuuzi, tunaweza basi kunyanyua akili na roho yetu<br />

katika sala.<br />

Somo na vitabu vya roho vinatusaidia sana kwa kuomba muzuri. Kuwa watu<br />

mengi wenyi kutayarisha roho yao mbele ya kusoma fundisho ya roho ao ukurasa mbili<br />

ya Biblia Takatifu ao kitabu ingine.<br />

Pasopo mingi kwa wale watu weingine wenye kumuzarau Mungu. Mara mingi ile<br />

mawazo inakuja wakati wa maombi yetu. Sisi, kama wanavyotushauria Watakatifu wetu,<br />

tuzarau hii mawazo mbaya, kwani ni yetu, inatoka kwa shetani.<br />

4). Wakati tunaomba, tunajikaza kusikia nini tunafanya na nini tunasema.<br />

Haifai kurudisia maombi na wimbo bila kuisikia na akili na roho yetu.<br />

Haifai kusoma ao kuimba tu na ulimi wetu, lakini akili iko mbali na inazunguka<br />

fasi ingine.<br />

5) Kabisa, wakati tunaomba inafai kufanya mzuri alama ya Msalaba na heshima,<br />

woka na mapendo ya Mungu.<br />

Msalaba ni alama Takatifu kupita alama zingine zote za Kanisa zetu.<br />

Ni kitu cha wokovu wetu. Ni bunduki mbele ya Shetani.<br />

Kila mara na alama ya Msalaba tunaanza na tunamaliza maombi yetu. Tena<br />

tunafanya alama ya musalaba kila wakati tunataka kutukuza Nyuso tatu za Utatu<br />

Mutakatifu; wakati tunakumbuka jina la Mzazi-Mungu; wakati tunakumbuka jina la<br />

Mtakatifu mumoja.<br />

6)Maombi si kitu tunakumbuka paka saa fulani ya hatari ao wakati tuko na lazima<br />

ao tunateswa. Tunamuomba Mungu hapana juu ya ma siku fulani, lakini juu ya<br />

kumutukuza na kumutolea uzima yetu ya mapendo na utii. Tena tunaomba juu ya<br />

kumushukuru sana kwani Yeye alituumba; kwani alituokoa kwa Shetani na kwa kila<br />

zambi katika sadaka ya Mwana Wake wa pekee; kwani kila siku kwa baraka yake<br />

anatupatia vitu nyingi.<br />

Bila shaka, katika kila sala yetu kuwa maombi. Kwa kila sala yetu tunamutolea<br />

Mungu maombi na mahitaji yetu. YOte tunaitoa mikononi mwake. Hapana, kwa sababu<br />

Mungu hajui mambo yetu, lakini katika hii tunaonyesha kweli mapendo na imani yetu,<br />

tunakumbuka zambi zetu na tunajinyenyekeza kwa Baba yetu Mwenyezi na Mutukufu.<br />

Pasopo kwa maombi yetu: Haifai kuomba vitu vya bure na vya upumbafu; vitu<br />

haipatane na mafundisho ya Mungu; Tuombeni vitu vyenye kutupatia sisi utukufu.<br />

Kila cha kwanza kumuomba Mungu rehema na uwangaza wake. Tena inafaa<br />

kumuomba mapenzi yake yafanyika hapana yetu sisi.<br />

7)Unyenyekevu na kulilia zambi zetu ni msingi wa sala ya kweli; Basi tunaomba<br />

inamupendeza Mungu na anaipokea. Tukijua daima zambi zetu kama alivyofanya Mtoza-<br />

Kodi katika mfano wa Evangelio ya Kristu.<br />

Wakati wa sala yetu tusiweke akili yetu fasi ingine. Haifai kujivuna, wala<br />

kusimanga watu weingine, kama alivyofanya Mufarisayo.<br />

Inafaa kusali na mapendo na furaha katika roho yetu. Hakuna kitu nzuri kupata ile<br />

sala safi tunatoa kwa Mungu.<br />

Haifai kufanya sala na uzaifu na uvivu. Sala haiko kazi sawa kazi ingine, ile<br />

tunaweza kufanya na uvivu na kisha tutalala.<br />

Wakati tunamuomba tusiangalie saa yetu. Kama tunataka kuisha mbio sala yetu, ao<br />

tunasikia ndani yetu furaha sababu sala yetu inaisha, basi, inapaswa kusikia ya kama sala<br />

yetu ilifanyikwa muzuri na ilisaidia roho yetu.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!