19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

KOLWEZI KONGO<br />

1<br />

2000<br />

FUNDISHO <strong>YA</strong> <strong>SALA</strong> KATIKA MAPENDO <strong>YA</strong><br />

MUNGU<br />

Ee Ndugu yangu, kama unataka kuomba; kama unataka maombi yako yafike<br />

mpaka kwa Mungu; kama unataka hii maombi yako iwe chem-chem ya furaha na<br />

inyanyuliwe juu mbingu; inapaswa kusoma na kufuata hii mafundisho ifwatayo na<br />

kuitimiza kwa maombi yako.<br />

1)Kila wakati ni takatifu. Ni zawadi ya Mungu. Kila siku ile Mungu anaongeza<br />

kwa uzima yetu inafai kuitakasa na kuitumia kwa faida ya roho yetu, kwa utukufu wa<br />

Jina Lake, kwa wokovu wa roho yetu na kwa saidio ya roho za ndugu zetu.<br />

Tuliamuka asubui? Tulisimama? Tuko na kazi ya kusali. Kumutukuza Mungu na<br />

kuomba saidio Yake.<br />

Haifai kusikitika kwa sababu tutapoteza wakati wetu kwa kusali kwa Mungu ao<br />

tupoteza wakati wetu wa kulala usingizi.<br />

Kila siku tusitoke nyumbani wetu bila maombi.<br />

Kama siku moja mwaminifu hasali, anaanza hii siku yake bila baraka ya Mungu.<br />

Na hivi inafai kufanya na usiku, ku mwisho ya hii siku. Kama tumekuisha choka<br />

haifai kuacha maombi yetu, tusiache kumushukuru Mungu ya hii siku alitupatia, na<br />

kumuomba abariki usingizi wetu na kuondoa kila tendo mbaya la Shetani.<br />

2) Maombi ni mazungumuzo ya mutu na Mungu kweli. Wakati tunazungumuza<br />

na watu wakubwa, tunasimama na heshima na woga mbele yao, heshima gani inafai<br />

kusimama nayo mbele ya Mungu mwenyezi na Mwokozi wetu, wakati tunataka<br />

kuzungumuza naye?<br />

Basi, inafai kusimama na heshima mbele yake; kutayarisha roho zetu juu ya<br />

kuanza sala na kusikia ya kama tunasimama mbele ya Bwana, Muumba ya dunia yote na<br />

tunazungumuza naye.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!