Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
KOLWEZI KONGO<br />
1<br />
2000<br />
FUNDISHO <strong>YA</strong> <strong>SALA</strong> KATIKA MAPENDO <strong>YA</strong><br />
MUNGU<br />
Ee Ndugu yangu, kama unataka kuomba; kama unataka maombi yako yafike<br />
mpaka kwa Mungu; kama unataka hii maombi yako iwe chem-chem ya furaha na<br />
inyanyuliwe juu mbingu; inapaswa kusoma na kufuata hii mafundisho ifwatayo na<br />
kuitimiza kwa maombi yako.<br />
1)Kila wakati ni takatifu. Ni zawadi ya Mungu. Kila siku ile Mungu anaongeza<br />
kwa uzima yetu inafai kuitakasa na kuitumia kwa faida ya roho yetu, kwa utukufu wa<br />
Jina Lake, kwa wokovu wa roho yetu na kwa saidio ya roho za ndugu zetu.<br />
Tuliamuka asubui? Tulisimama? Tuko na kazi ya kusali. Kumutukuza Mungu na<br />
kuomba saidio Yake.<br />
Haifai kusikitika kwa sababu tutapoteza wakati wetu kwa kusali kwa Mungu ao<br />
tupoteza wakati wetu wa kulala usingizi.<br />
Kila siku tusitoke nyumbani wetu bila maombi.<br />
Kama siku moja mwaminifu hasali, anaanza hii siku yake bila baraka ya Mungu.<br />
Na hivi inafai kufanya na usiku, ku mwisho ya hii siku. Kama tumekuisha choka<br />
haifai kuacha maombi yetu, tusiache kumushukuru Mungu ya hii siku alitupatia, na<br />
kumuomba abariki usingizi wetu na kuondoa kila tendo mbaya la Shetani.<br />
2) Maombi ni mazungumuzo ya mutu na Mungu kweli. Wakati tunazungumuza<br />
na watu wakubwa, tunasimama na heshima na woga mbele yao, heshima gani inafai<br />
kusimama nayo mbele ya Mungu mwenyezi na Mwokozi wetu, wakati tunataka<br />
kuzungumuza naye?<br />
Basi, inafai kusimama na heshima mbele yake; kutayarisha roho zetu juu ya<br />
kuanza sala na kusikia ya kama tunasimama mbele ya Bwana, Muumba ya dunia yote na<br />
tunazungumuza naye.