19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

69<br />

ODE 9<br />

Irmosi<br />

Sisi tunakushukuru, Muzazi-Mungu kweli, tuliookolewa kwa njia yako,<br />

tukikutukuza pamoja na Malaika.<br />

Mutakatifu kamili, ee Muzazi Mungu, utuokoe.<br />

Bikira usikatae, mutetemuko wa machozi, ukichukua mimba ya Kristu,<br />

aliyepanguza machozi toka kila sura.<br />

Mutakatifu kamili, ee Muzazi-Mungu, utuokoe.<br />

Ujaze moyo wangu, kwa furaha ee Bikira, ukipokea utimilifu wafuraha,<br />

ukazimisha sikitiko ya zambi.<br />

Mutakatifu kamili, ee Muzazi-Mungu, utuokoe.<br />

Kivuko na Mulinzi, wa wanaokukimbilia, uwe Bikira na ukuta wa imara.<br />

makimbilio na kivuli na shangwe.<br />

Utukufu kwa Baba na Mwana na Roho Mtakatifu.<br />

Bikira utuangaze, kwa nuru yako kwetu, ukisambaza giza ya ujinga,<br />

tunaokuheshimu sawa Muzazi-Mungu.<br />

Sasa na siku zote, hata milele na milele, Amina.<br />

Nikizarauliwa, kwa pahali ya mateso, na ugonjwa, Ewe Bikira, uniponyeshe,<br />

unigeuze, toka magonjwa kwa afya.<br />

MATUKUZO (Megalinaria)<br />

Ni wajibu kweli, kukuita, ee Muzazi-Mungu, mwenyi heri daima na usiye na doa<br />

tena Mama wa Mungu wetu. Uliye wa damani kuwashinda wa Keruvim, uliye na<br />

utukufu, kuwapita bila kiasi wa Serafim, uliye ukimuzaa Mungu Neno, umebaki bila<br />

kukuharibu, uliye Muzazi-Mungu kweli, tunakutukuza wewe.<br />

Uliye na urefu kuwashinda na mbinguni, uliye na usafi kupita bila mwangaza,<br />

wajua uliye ukitukomboa toka mafingo, unayekuwa Bibi Malkia ya dunia,<br />

tunakuheshimu kwa nyimbo.<br />

Kwa sababu ya zambi zangu mingi, mwili na nafsi yangu yanapata ugonjwa.<br />

Ninakimbilia kwako, Mujaliwa na neema, unisaidie matumaini, ya wasiotumainia.<br />

Bibi Malkia na Mama wa Mukombozi, pokea maombi, ya watumishi wako<br />

wasiostahili, ili upatanishe kwa Muzaliwa kwako. Bibi Malkia wa dunia, uwe<br />

mupatanishi.<br />

Kwa nia tayari na kwa furaha, tunakuimbia sasa, ewe Musifiwa kamili, Muzazimungu<br />

sihi, pamoja na Mutangulizi, na watakatifu wote, kwa kutuhurumie.<br />

Bubu ni midomo ya watu, wasioheshimu na wasioabudu mufano wako, iliyo<br />

muheshimiwa, iliyosemwa Mwongozi, iliyochorua kwa Mutume, Luka Mutakatifu.<br />

Unisamehe mimi muzarauliwa, maana nisijue, makimbilio ingine ila wewe,<br />

nimejaliwa na zambi, unihurumie, ewe peke yako matumaini ya wakristu.<br />

TUKUZO KATIKA SIKU <strong>YA</strong> KWANZA<br />

Kujeni enyi waaminifu wote, tuwasifu nyota mbili, wakubwa nawaangaza, Mikaeli<br />

Mukubwa na Gavrieli Kimungu, Wajemadari wawili wa Mungu mwenyezi.<br />

TUKUZO KATIKA SIKU <strong>YA</strong> PILI

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!