Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
69<br />
ODE 9<br />
Irmosi<br />
Sisi tunakushukuru, Muzazi-Mungu kweli, tuliookolewa kwa njia yako,<br />
tukikutukuza pamoja na Malaika.<br />
Mutakatifu kamili, ee Muzazi Mungu, utuokoe.<br />
Bikira usikatae, mutetemuko wa machozi, ukichukua mimba ya Kristu,<br />
aliyepanguza machozi toka kila sura.<br />
Mutakatifu kamili, ee Muzazi-Mungu, utuokoe.<br />
Ujaze moyo wangu, kwa furaha ee Bikira, ukipokea utimilifu wafuraha,<br />
ukazimisha sikitiko ya zambi.<br />
Mutakatifu kamili, ee Muzazi-Mungu, utuokoe.<br />
Kivuko na Mulinzi, wa wanaokukimbilia, uwe Bikira na ukuta wa imara.<br />
makimbilio na kivuli na shangwe.<br />
Utukufu kwa Baba na Mwana na Roho Mtakatifu.<br />
Bikira utuangaze, kwa nuru yako kwetu, ukisambaza giza ya ujinga,<br />
tunaokuheshimu sawa Muzazi-Mungu.<br />
Sasa na siku zote, hata milele na milele, Amina.<br />
Nikizarauliwa, kwa pahali ya mateso, na ugonjwa, Ewe Bikira, uniponyeshe,<br />
unigeuze, toka magonjwa kwa afya.<br />
MATUKUZO (Megalinaria)<br />
Ni wajibu kweli, kukuita, ee Muzazi-Mungu, mwenyi heri daima na usiye na doa<br />
tena Mama wa Mungu wetu. Uliye wa damani kuwashinda wa Keruvim, uliye na<br />
utukufu, kuwapita bila kiasi wa Serafim, uliye ukimuzaa Mungu Neno, umebaki bila<br />
kukuharibu, uliye Muzazi-Mungu kweli, tunakutukuza wewe.<br />
Uliye na urefu kuwashinda na mbinguni, uliye na usafi kupita bila mwangaza,<br />
wajua uliye ukitukomboa toka mafingo, unayekuwa Bibi Malkia ya dunia,<br />
tunakuheshimu kwa nyimbo.<br />
Kwa sababu ya zambi zangu mingi, mwili na nafsi yangu yanapata ugonjwa.<br />
Ninakimbilia kwako, Mujaliwa na neema, unisaidie matumaini, ya wasiotumainia.<br />
Bibi Malkia na Mama wa Mukombozi, pokea maombi, ya watumishi wako<br />
wasiostahili, ili upatanishe kwa Muzaliwa kwako. Bibi Malkia wa dunia, uwe<br />
mupatanishi.<br />
Kwa nia tayari na kwa furaha, tunakuimbia sasa, ewe Musifiwa kamili, Muzazimungu<br />
sihi, pamoja na Mutangulizi, na watakatifu wote, kwa kutuhurumie.<br />
Bubu ni midomo ya watu, wasioheshimu na wasioabudu mufano wako, iliyo<br />
muheshimiwa, iliyosemwa Mwongozi, iliyochorua kwa Mutume, Luka Mutakatifu.<br />
Unisamehe mimi muzarauliwa, maana nisijue, makimbilio ingine ila wewe,<br />
nimejaliwa na zambi, unihurumie, ewe peke yako matumaini ya wakristu.<br />
TUKUZO KATIKA SIKU <strong>YA</strong> KWANZA<br />
Kujeni enyi waaminifu wote, tuwasifu nyota mbili, wakubwa nawaangaza, Mikaeli<br />
Mukubwa na Gavrieli Kimungu, Wajemadari wawili wa Mungu mwenyezi.<br />
TUKUZO KATIKA SIKU <strong>YA</strong> PILI