19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

87<br />

Bwana, kama hatukukuwe na watakatifu sawa waombezi, na wema wako<br />

wenye kurehemu, tutasubutu je kukuimba, Mkombozi anayebarikiwa pasipo kupumzika<br />

na wamalaika. Wewe unajuwa mioyo, usamehe Roho zetu.<br />

Sasa na siku zote, hata milele na milele. Amina. THEOTOKION<br />

Makosa yangu ni mengi, Mama Mzazi Mungu; nakimbilia kwako, wewe safi,<br />

naomba usalama. Angalia roho yangu yenyi ugonjwa, umuombe Mwana wako na Mungu<br />

wetu anihurumie kwa kosa nililotenda, wewe peke yako mbarikiwa.<br />

Mama Mtakatifu wa Mungu, usiniache katika maisha yangu, usinitoe ku shime ya<br />

kinadamu, lakini wewe mwenyewe unilinde na unihurumie.<br />

Naweka kitumaini kwako, Mama Mzazi wa Mungu, unilinde.<br />

Bwana, hurumia (Mara makumi Ine).<br />

Ewe Kristu Mungu unayesujudiwa, na kutukuzwa wakati wote na katika kila saa<br />

mbinguni na duniani, uliye mwadilifu, mrahimu tele, mfazili sana unayependa wenye<br />

haki, tena kuwahurumia wenye zambi; unayewaita wote kuona wokovu, ukiwaahidi vitu<br />

vema vilivyokuja; wewe, ee Bwana, hata katika saa hii uyapokee maombi yetu, na<br />

kuyashurutisha maisha yetu njiani pa amri, zako uzitakase roho zetu, uyasafishe miili<br />

zetu, uyatengeneze mafikira zetu, usinyoshe nia zetu; ukatuokoe na kila shida, ubaya, na<br />

teso, utulindie kwa Malaika wako, ili sisi tukiwa na utunzi na uongozi wao, tufike katika<br />

umoja wa imani na kuujulisha utukufu wako usiofifika. Kwa kuwa unahimidiwa milele<br />

na milele. Amina.<br />

Bwana hurumia (Mara tatu).<br />

Utukufu kwa Baba.. . Sasa na siku zote.. . Uliye watamani.. .<br />

Kisha tutapiga magoti mara tatu na tutasema hii Sala ya Mtakatifu Efrem.<br />

Bwana, ondosha mbali na mimi nia ya uvivu, ya kupoteza, ya mamlaka na ya<br />

masauti bure.<br />

(Metania Mkubwa).<br />

Umupe mtumishi wako roho ya kadiri, ya unyenyekevu, ya uvumilivu na ya<br />

mapendo<br />

(Metania Mkubwa).<br />

Ndiyo, Bwana na Mfalme, unipe nione makosa yangu, nisiamue ndugu yangu,<br />

kwani unabarikiwa milele na milele. Amina. (Metania Mkubwa).<br />

Trisagion: Mungu Mutakatifu.. . Utatu Mtakatifu.. . Baba yetu.. .<br />

Bwana hurumia, Bwana hurumia, Bwana hurumia, na utusaidie na wokovu sisi<br />

Bikira Maria.<br />

<strong>SALA</strong> KWA BIKIRA MARIA MZAZI MUNGU MTAKATIFU KAMILI.<br />

Ewe Bibi Malkia; uliye bila doa, bila waa, bila uchafu, safi kamili Bikira Bibi<br />

Mungu, uliyemwunganisha Mungu Mwana, na wanadamu kwa uzazi wako wa ajabu, na<br />

kuuchanganisha uumba wetu, uliokuwa ondoshwa, nao walio mbinguni, uliye peke yako<br />

matumaini ya wakufa moyo, na msaada wa washawishwa, uliye tayari kuwalinda wote<br />

wanakukimbilia wewe; wewe makimbilio ya wa Kristu wote, usinikiri mimi mtu mwenye<br />

zambi, mtu wa waa; niliofanya kufaa hata si kitu kwa mafikiri, na maneno, na matendo<br />

yangu ya aibu, tena kuwa mtumwa hiari wa anasa kihebu ya maisha kwa uzembe wangu.<br />

Lakini kwa kuwa wewe ni Mama wa Mungu Mpenda Wanadamu, unirehemu kwa

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!