19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

7<br />

Kwa maombezi ya Wapadri wetu Watakatifu, ee Bwana Yesu Kristu Mungu<br />

wetu, utuhurumie na utuokoe. Amina.<br />

Eksapsalmos ni kipande cha kwanza cha sala yetu ya kila siku asubui.<br />

Eksapsalmos iko na zaburi nzuri sana sita toka zaburi za Nabii na Mfalme Daudi.<br />

WaKristiani wengi weko na zwezo nzuri, wakati hawawezi kuingia asubui mu Misa<br />

juu ya kusikia sala yote asubui, wanasoma nyumbani mwao Sala ya asubui na hii<br />

Eksapsalmos.<br />

EKSAPSALMOS<br />

Utukufu kwa Mungu juu pia, na nchini amani, urazi kwa wanadamu (Mara tatu).<br />

Ee Bwana, uifungue midomo yangu, na kinywa changu kitazinena sifa zako<br />

(Mara mbili).<br />

ZABURI 3<br />

Bwana, watesi wangu wamezidi kwangu! Wao ni wengi wanaosimama juu yangu.<br />

Wao ni wengi wanaoniambia nafsi yangu, hana wokovu kwa Bwana. Lakini wewe, ee<br />

Bwana, ni ngabo yangu pande zote; Utukufu wangu, na mwenye kunyanyua kichwa<br />

changu, nimelia kwa Bwana na sauti yangu, naye amenijibu toka mulima wake<br />

mutakatifu. Nililala na kupata usingizi; nikaamka; kwa kuwa Bwana amenitegemeza.<br />

Sitaogopa elfu kumi za watu waliojipanga juu yangu, pande zote. Simama, ee Bwana;<br />

uniokoe, ee Mungu wangu; Maana umepiga kituguta cha adui zangu zote; umevunja<br />

meno ya waovu. Wokovu ni wa Bwana; Baraka yako iwe juu ya watu wako.<br />

Na tena:<br />

Nililala na kupata usingizi; nikaamka; kwa kuwa Bwana amenitegemeza.<br />

ZABURI 37 (38).<br />

Ee Bwana, usinihamakie katika gazabu yako; wala usiniazibu kwa ukali wa hasira<br />

yako. Kwa sababu mishale yako imenichoma, na mkono wako umenipata. Hakuna uzima<br />

katika mwili wangu kwa sababu ya gazabu yako; wala hakuna afya mifupani mwangu<br />

kwa sababu ya zambi yangu. Kwa sababu zambi zangu zimenifunikiza kichwa changu;<br />

kama muzigo kunishinda. Vidonda vyangu vinanuka, vimeoza, kwa sababu ya upumbafu<br />

wangu. Nimepindika na kuinama sana; muchana kutwa ninakwenda nikiomboleza. Kwa<br />

sababu viuno vyangu vinajaa homa; wala hakuna uzima katika mwili wangu. Mimi ni<br />

zaifu na nimepondwa sana; nimeugua kwa sababu ya masumbuko ya moyo wangu.<br />

Bwana, hamu yangu yote ni mbele yako; na kuugua kwangu hakufichwi mbele yako.<br />

Moyo wangu unapigapiga, nguvu zangu zimeniacha; Nayo nuru ya macho yangu<br />

imeniondokea. Wanaonipenda na rafiki zangu wanasimama mbali na pigo langu; na<br />

jamaa zangu wanasimama mbali. Wao vilevile wanaotafuta uzima wangu wananiwekea

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!