19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

tatu).<br />

18<br />

Mukazi moya Mangaribi. Sauti ya ine.<br />

Bwana atasikia wakati ninapomuita (Mara tatu).<br />

Mukazi mbili Mangaribi. Sauti ya kwanza.<br />

Hakika wema na rehema zitanifuata siku zote za maisha yangu (Mara tatu).<br />

Mukazi Tatu Mangaribi. Sauti ya tano.<br />

Uniokoe, ee Mungu, kwa jina lako na unihukumu kwa uwezo wako (Mara tatu).<br />

Mukazi ine Mangaribi. Sauti ya sita.<br />

Kusaidiwa kwangu kunatoka kwa Bwana aliyefanya mbingu na dunia (Mara<br />

Mukazi tano mangaribi. sauti ya saba.<br />

Mungu ni boma langu na rehema yangu atanitangulia (Mara tatu).<br />

Mu Posho Mangaribi. Sauti ya sita.<br />

Bwana anatawala, amevikwa utukufu (Mara tatu).<br />

Kisha Prokimenon tunasoma hii sala:<br />

Ee Bwana, utujalie mangaribi hii kutulinda na zambi, umehimidiwa u, ee Mwana<br />

na Mungu wa Baba zetu, jina lako limehimidiwa na limetukuzwa milele. Amina. Ee<br />

Bwana, huruma yako iwe nasi tunavyokutumainia wewe. Ee Bwana umehimidiwa u,<br />

unifundishe zilizo haki zako. Ee Mtakatifu, umehimidiwa u, uniangaze kwa zilizo haki<br />

zako. Ee Bwana, huruma yako ni ya milele usitutoangalie sisi, viumbe vya mikono yako.<br />

Sifa zakulaiki kukuimbia ni kwako, utukuufu ni wako, wa Baba na Mwana na Roho<br />

Mtakatifu, sasa na siku zote, hata milele na milele. Amina.<br />

Kisha tunaimba APOSTIKHA na ku mwanzo tunasoma hii kitwo:<br />

Kitwo ya kwanza:<br />

Nitanyanyua macho yangu kwako, ee mwenye kukaa mbinguni, tazama macho ya<br />

watumishi yanaangalia kwa mkono wa Bwana kama macho ya kijakazi kwa mkono wa<br />

muke wake, hivyo macho yetu yanavyoangalia kwa Bwana Mungu wetu hata<br />

akatuhurumie.<br />

Kitwo ya mbili: Utuhurumie, ee Bwana, utuhurumie, kwani tunajaa na<br />

kuzarauliwa. Nafsi yetu inajaa na kuzarau kwa wenye kukaa na salama tena na kuzarau<br />

kwa wenye kiburi.<br />

Utukufu kwa Baba, na kwa Mwana, na kwa Roho Mtakatifu, sasa na siku zote,<br />

hata milele na milele. Amina.<br />

Kisha Apostikha tunasoma hii sala ya Mtakatifu Simeoni (Luk. 2, 29)<br />

Sasa Bwana umuache mtumishi wako aende na amani, kama ulivyosema, kwa<br />

maana macho yangu yameona wokovu wako uliweka tayari mbele ya makabila yote,<br />

mwanga wa kwangazia mataifa na sifa ya kundi lako Israeli<br />

Amina.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!