You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
60<br />
Na pia Sala hii:<br />
Rabi, rafiki ya wanadamu, Bwana Yesu Kristu, Mungu wangu, vipaji vyako<br />
vitakatifu visiwe nami hukumu sababu ya maovu yangu: Lakini utakaso wa moyo na wa<br />
mwili na rahani ya uzima na ya ufalme wa milele. Ni vizuri kwangu kwa kumshika<br />
Mungu na kuweka tumaini la wokovu wangu katika Bwana.<br />
Na tena tunasoma hii:<br />
Ee Mwana wa Mungu, unipokee mimi leo ku Karamu yako. .. .<br />
Kila mara Bwana wetu Yesu Kristu anatustahiliha kupewa Mwili na Damu Yake,<br />
sisi tunapaswa kumushukuru.<br />
Ttunasoma Ibada ya Shukrani kwa Mungu.<br />
Somo la hii Ibada inafanyika mu Kanisa, ku mwisho wa Liturgia Takatifu, ao<br />
nyumbani mwetu, wakati tunarudi.<br />
SHUKRANI <strong>YA</strong> NEEMA BAADA <strong>YA</strong> KOMONYO KIMUNGU<br />
<strong>SALA</strong> 1<br />
Unapokamata vizuri komonyo, siri hizi zinaleta uzima. Unisifu na unishukuru,<br />
Mkuu, na sema kwa rafla rohoni mwako na uvuguto Kimungu, (utukufu kwako, ee<br />
Mungu); (Mara tatu).<br />
Ninakushukuru, ee Bwana Mungu wangu kwa sababu haukunifukuze mimi mtenda<br />
zambi, lakini ulinistahilisha mimi mwovu, kwa kushariki kusiri zako takatifu za mbingu,<br />
lakini, wewe Rabi, rafiki wa wanadamu, uliyekufa na kufufuka kwa ajili yetu na<br />
uliyetupa siri za uzima kwa mema na utakaso wa moyo na wa mwili; fanya ili ziponye<br />
roho na mwili wangu, zifukuze adui yeyote, yangazie macho na roho yangu, zilete<br />
salama moyoni mwangu, kitumaini yasio haya, mapendo ya kweli, hekima kubwa, utii<br />
wa amri zako, uzindisho wa neema ya Mungu ndani yangu na upatanisho wa ufalme<br />
wako. Nitakumbuka siku zote neema yako uliyeweka katika utakaso wako, halafu sitaishi<br />
tena mimi mwenyewe, lakini na wewe Bwana na mkarimu wangu. Nikipoishi katika<br />
kitumaini ya uzima wa milele, nitafika halafu katika mapumziko yasiyo mwisho,<br />
kutapokuwapo furaha yasio mpaka, ya wao wataostajabu uzuri wa uso wako kukamwa.<br />
Kwa sababu uko kweli kweli yeye ambako tunaokwenda kuvuta pumzi na furaha yasio<br />
alama ya wao wanaokupenda, ee Kristu Mungu: viumbe vyote vinakuimbia milele na<br />
milele. Amina.<br />
<strong>SALA</strong> 2 <strong>YA</strong> MTAKATIFU BAZILE MKUBWA<br />
Ee Rabi, Kristu Mungu Mfalme wa karini na muumba wa vitu vyote,<br />
ninakushukuru kwa wema wako wote uliyenipatia na kwa Komonyo ya siri zako takatifu,<br />
ninakuomba, ee Mungu wangu mwema na mpenda wanadamu, unilinde chini ya kivuli<br />
ya mabaya yako: Unifanyizie mpaka siku zangu za mwisho, nistahili kupokea mafumbo<br />
yako na ufahamu mwema kwa maondoleo ya zambi na ya uzima wa milele. Kwa sababu<br />
uko mkate wa uzima, chemchem takatifu, mgawanya wa mema na tunakutukuza pamoja<br />
na Baba na Roho Mtakatifu, sasa na siku zote, hata milele na milele. Amina.