19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

60<br />

Na pia Sala hii:<br />

Rabi, rafiki ya wanadamu, Bwana Yesu Kristu, Mungu wangu, vipaji vyako<br />

vitakatifu visiwe nami hukumu sababu ya maovu yangu: Lakini utakaso wa moyo na wa<br />

mwili na rahani ya uzima na ya ufalme wa milele. Ni vizuri kwangu kwa kumshika<br />

Mungu na kuweka tumaini la wokovu wangu katika Bwana.<br />

Na tena tunasoma hii:<br />

Ee Mwana wa Mungu, unipokee mimi leo ku Karamu yako. .. .<br />

Kila mara Bwana wetu Yesu Kristu anatustahiliha kupewa Mwili na Damu Yake,<br />

sisi tunapaswa kumushukuru.<br />

Ttunasoma Ibada ya Shukrani kwa Mungu.<br />

Somo la hii Ibada inafanyika mu Kanisa, ku mwisho wa Liturgia Takatifu, ao<br />

nyumbani mwetu, wakati tunarudi.<br />

SHUKRANI <strong>YA</strong> NEEMA BAADA <strong>YA</strong> KOMONYO KIMUNGU<br />

<strong>SALA</strong> 1<br />

Unapokamata vizuri komonyo, siri hizi zinaleta uzima. Unisifu na unishukuru,<br />

Mkuu, na sema kwa rafla rohoni mwako na uvuguto Kimungu, (utukufu kwako, ee<br />

Mungu); (Mara tatu).<br />

Ninakushukuru, ee Bwana Mungu wangu kwa sababu haukunifukuze mimi mtenda<br />

zambi, lakini ulinistahilisha mimi mwovu, kwa kushariki kusiri zako takatifu za mbingu,<br />

lakini, wewe Rabi, rafiki wa wanadamu, uliyekufa na kufufuka kwa ajili yetu na<br />

uliyetupa siri za uzima kwa mema na utakaso wa moyo na wa mwili; fanya ili ziponye<br />

roho na mwili wangu, zifukuze adui yeyote, yangazie macho na roho yangu, zilete<br />

salama moyoni mwangu, kitumaini yasio haya, mapendo ya kweli, hekima kubwa, utii<br />

wa amri zako, uzindisho wa neema ya Mungu ndani yangu na upatanisho wa ufalme<br />

wako. Nitakumbuka siku zote neema yako uliyeweka katika utakaso wako, halafu sitaishi<br />

tena mimi mwenyewe, lakini na wewe Bwana na mkarimu wangu. Nikipoishi katika<br />

kitumaini ya uzima wa milele, nitafika halafu katika mapumziko yasiyo mwisho,<br />

kutapokuwapo furaha yasio mpaka, ya wao wataostajabu uzuri wa uso wako kukamwa.<br />

Kwa sababu uko kweli kweli yeye ambako tunaokwenda kuvuta pumzi na furaha yasio<br />

alama ya wao wanaokupenda, ee Kristu Mungu: viumbe vyote vinakuimbia milele na<br />

milele. Amina.<br />

<strong>SALA</strong> 2 <strong>YA</strong> MTAKATIFU BAZILE MKUBWA<br />

Ee Rabi, Kristu Mungu Mfalme wa karini na muumba wa vitu vyote,<br />

ninakushukuru kwa wema wako wote uliyenipatia na kwa Komonyo ya siri zako takatifu,<br />

ninakuomba, ee Mungu wangu mwema na mpenda wanadamu, unilinde chini ya kivuli<br />

ya mabaya yako: Unifanyizie mpaka siku zangu za mwisho, nistahili kupokea mafumbo<br />

yako na ufahamu mwema kwa maondoleo ya zambi na ya uzima wa milele. Kwa sababu<br />

uko mkate wa uzima, chemchem takatifu, mgawanya wa mema na tunakutukuza pamoja<br />

na Baba na Roho Mtakatifu, sasa na siku zote, hata milele na milele. Amina.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!