19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

59<br />

ulishukuru mitume wako kwa chombo cha heshima, unifanye niwe makao mastahilivu<br />

ya kuja kwako. Wewe utakaokuja tena kuhukumu ulimwengu na uhaki wote, uniruhusu<br />

nami kuja mbele yako mwamzi na mwumba wangu. Kwa Baba yako na kwa Roho<br />

Mtakatifu, Mwema na Mpaji wa roho na uzima, sasa na siku zote, hata milele na milele.<br />

Amina.<br />

<strong>SALA</strong> 9<br />

<strong>YA</strong> YOANNE DAMASCENI<br />

Ninasimama mbele ya milango ya hekalu yako na mawazo mabaya yanaokataa<br />

kunitoka. Lakini wewe Kristu Mungu ulihakikisha mtoza ushuru aliyemhurumia<br />

mkanana moja aliyemfungulia mwivi milango ya mbinguni, unifungulie basi nami<br />

matunbo ya mapendo ya binadamu na unipokee nami ninakukaribia na kukugusa sawa<br />

yule mwanamke kahaba na mbawasiri, mmoja alipogusa kanzu yako: Na alipata sasa hivi<br />

kupona, na mwengine aliposhika miguu yako takatifu, aliondolewa zambi zake zote. Na<br />

vilevile nami mkosefu, wakati ninaposubutu kupokeya mwili wako kamili nisiteketezwe.<br />

Lakini unipokee sawa wale wawili na angazia makosa ya moyo wangu unaonguza<br />

uinamizi wa zambi kwa maombezi ya yule bila doa alikuzaa kwa nguvu ya mbinguni,<br />

kwa sababu uko mbarikiwa milele na milele.<br />

<strong>SALA</strong> 10 <strong>YA</strong> MTAKATIFU YOANNE KRISOSTOMO<br />

Nasadiki, ee Bwana, na naungama ya kama wewe kweli Kristu, Mwana wa Mungu<br />

mzima, ulikuja duniani kwa ajili ya kuokoa wenye zambi, ambao mimi ni wa kwanza.<br />

Nasadiki tena ya kama huu ni Mwili wako safi na hiyi ni Damu yako ya samani.<br />

Minakuomba: Unihurumie na unisamehe makosa yangu yakupenda na yasiyokupenda<br />

niliotenda kwa maneno, kwa matendo, kwa kujua ao bila kujua, tena niwe mstahilivu<br />

wakusharikia, bila hukumu, kubeba Mwili na Damu zako safi, juu ya maondoleo ya<br />

zambi zangu na sababu ya uzima wa milele. Amina.<br />

Wakati wa kukomunika ukipofika, wanasoma sala zifuatayo za Simeoni Mfasiri<br />

<strong>SALA</strong> 11 <strong>YA</strong> SIMEONI MFASIRI<br />

Angalia sasa najongea karibu ya Komonyo yako Takatifu, ee Mwumba wangu,<br />

usiniunguze ku ushariki huo. Sababu Wewe ni moto unaounguza wasiyostahili. Lakini<br />

unitakase ku aibu hiyi.<br />

Ee Mwana wa Mungu, unipokee mimi leo ku Karamu yako ya mwisho: Kwani<br />

sitafumbua siri zako kwa adui zako; sitakubusu sawa Yudasi, lakini sawa Munyanganyi,<br />

nakuungamia: Ee Bwana, unikumbuke katika ufalme wako.<br />

Akionapo Damu Kimungu, atetemeke, ee Mwanadamu, kwa sababu ni makala ya<br />

moto ilunguzayo wasiostahilivu. Mwili Kimungu unageuzwa kimungu na unalisha,<br />

unatakasa na unalisha mawazo namna isiosikilizwa<br />

Ee Kristu, kwa mapendo yako ulinipeleka ku furaha na kwa ulinzi wako ulinigeuza<br />

kuwa mtu mwengine: Choma zambi zangu kwa moto usiyo vyombo na kubali kunijaza<br />

na furaha zako, sababu nikiwa tele na furaha, nitasifu majio zako mawili, ee Wewe<br />

mjaliwa na wema.<br />

Nitaingia je, mimi msiye stahili, katika ukuu wa watakatifu wako? Nikisubutu<br />

kwingia katika nyumba ya arusi, nguo langu litanitoa, maana hayuko ya arusi na<br />

nikifwatane, malaika watanifukuza. Bwana, safisha basi mataka ya moyo wangu na<br />

uniokoe, wewe mpenda wanadamu.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!