19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

54<br />

milango ya milele; na mfalme wa utukufu ataingia. Nani aliye mfalme wa utukufu?<br />

Bwana mwenye nguvu na uwezo, Bwana mwenye uwezo vitani. Nyanyulisheni vichwa<br />

vyenu, ee ninyi malango, ndiyo, muvinyanyue, ninyi milango ya milele, na mfalme wa<br />

utukufu ataingia. Ni nani huyu mfalme wa utukufu? Bwana ya majeshi, yeye ni Mfalme<br />

wa utukufu. Sela.<br />

ZABURI 116, 10-19<br />

Ninaamini, kwa maana nitasema: Niliteswa sana: Nikasema katika haraka yangu:<br />

Watu wote ni wawongo. Nitamupa Bwana nini kwa ukarimu wake wote alionitendea?<br />

Nitapokea kikombe cha wokovu, na kuitia jina la Bwana. Nitalipa Bwana naziri zangu,<br />

ndiyo, mbele ya watu wake wote. Ni ya damani machoni mwa Bwana mauti ya<br />

watakatifu wake. Ee Bwana, kweli mimi ni mtumishi wako: Mimi ni mtumishi wako,<br />

mwana wa kijakazi chako; umefungua vifungo vyangu. Nitakutolea zabihu ya kushukuru,<br />

na kuita jina la Bwana. Nitalipa naziri zangu kwa Bwana, ndiyo, mbele ya watu wake<br />

wote; katika viwanja vya nyumba ya Bwana, katikati yako, ee Yerusalema. Musifu<br />

Bwana.<br />

Utukufu. . . Sasa.. . Alliluya (mara tatu). Utukufu kwako, ee Mungu. Bwana<br />

hurumia (mara tatu)<br />

Kiisha anza kuimba nyimbo zifuatavyo: Sauti ya sita<br />

Zarau wovu wangu, ee Mungu wewe uliyezaliwa kwa Bikira, takasa roho yangu,<br />

ulifanye hekalu ya mwili na damu yako kuwa takatifu, kwa hasira yako usinitupe mbali<br />

ya uso wako, wewe mwenyi huruma usiyokadirikana kisilani mbele ya uso wako, wewe<br />

uliyekuwa na huruma yasiyo kipimo.<br />

Utukufu kwa Baba na kwa Mwana na kwa Roho Mtakatifu.<br />

Nitasubutu je, mimi mwovu, kujongea mafumbo yako Takatifu? Nikijaribu<br />

kujongea pamoja na wenye kustahili nguo yangu itanitoa maana haiko ya arusi. Na<br />

nitavuta mbegu ya hukumu kwa moyoni mwangu mtenda zambi nyingi. Ee Bwana,<br />

takasa roho yangu yenyi kuchafuka na uniponye kwani wewe ni mwema na Mpenda<br />

wanadamu.<br />

Sasa na siku zote, hata milele na milele. Amina. THEOTOKION<br />

Ee Mama wa Mungu, zambi zangu zinapita wingiu; ninakimbilia kwako Mtakatifu<br />

kwa kutafuta wokovu. Angalia moyo wangu wenye kushikwa na ugonjwa na uniombee<br />

kwa mwana wako, Mungu wetu, anisamehe mabaya yote niliofanya kwako, ewe<br />

Mbarikiwa.<br />

Paka siku kubwa ya kazi Ine Takatifu wanaongeza kusoma: Sauti ya Mnane.<br />

Mitume watukufu waliangazwa, wakati walioshwa miguu ku karamu ya mwisho,<br />

kwa ile wakati Yudasi kafiri, kwa tamaa yake mbaya, akaingia gizani na akakutoa<br />

wewe mwamuzi wa kweli, kwa mwamuzi waovu. Ee mnyanganyi, tazama ni kwa sababu<br />

ya hii amejitundika: Epuka tamaa iliyomuongoza kutendee Rabo wake maovu ya hii<br />

namna. Ee Bwana mwema wa wote, utukufu kwako.<br />

Bwana hurumia (Mara 40)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!