19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

3<br />

9) Tuache kufanya kazi nyingine za mwili. Saa nzuri ni usiku, kwani kuwa<br />

ukimya, hakuna makelele.<br />

Tena inafai kuchagua fasi tanataka kuomba. Fasi ya ukimya yasipo makelele ni<br />

ya lazima sana juu ya kuweza kuomba.<br />

Katika nyumba yetu inafaa kuchagua chumba moja ambamo tutaweka ikona yote.<br />

Kama tutaomba ni mzuri kuwakisha mshumaa na kuchoma ubani; hii yote inatusaidia<br />

katika sala yetu.<br />

10)Sala ni ufundi. Na inapaswa kukombana bila kuchoka sababu ya kuizoea;<br />

kufunza namna gani tutaweza kuomba kweli.<br />

Tusisahabu hii kazi ya sala yetu.<br />

Aipaswe kuwambia mwili wetu: «Leo sisikie mzuri, sitaomba».<br />

Tukitaka kuzoea hii kazi ya sala inafaa kutayarisha wakati wetu wakusali.. Inafai<br />

kufanya nguvu i8li tuiombe ile saa tulichagua.<br />

Kama hatuweke wakati wa kusali, kwa wepesi tutakuwa wazaifu..<br />

Haifai hii maneno wanatwaambia Mapadri wetu Watakatifu ya fanyike kwetu:<br />

Kila mara mutu mumoja akitaka kuomba, Shetani anamugombanisha na anamuzuiza.<br />

Kwa hivi kazi ya kuomba inapaswa kuendelea mpaka mwisho wa maisha wetu.<br />

MASHAURI <strong>YA</strong> KILA MWAMINIFU<br />

1. Hii Kitabu wa sala kimetayarishwa sawa kitabu cha roho sababu ya kusaidia kila<br />

mwanminifu mwenye kutembea mwendo yake ya kwanza katika uzima wake wa roho.<br />

2. Kazi ya hii kitabu ni kuitumia nyumbani mwetu, sababu ya ili sala tunafanya<br />

sisi wenyewe hapana mu Kanisa. Kwa hivi na sisi tulikamata maneno yale-yale na<br />

wimbo ule-ule padri anasema na kuimba.<br />

3. Tunaweza kwanza kila ibada ya hii Kitabu na hii sala: Kwa Jina la Baba. na la<br />

Mwana, na la Roho Mtakatifu». Wakristu wengine wanaanza hivi: Kwa maombezi ya<br />

Mapadri wetu Watakatifu, ee Bwana Yesu Kristu Mungu wetu, utuhurumie na utuokoe.<br />

Amina. Na hii namna ya mbili Siku Kuu, kwa sababu ni hivi wanafanya Watawa ku<br />

Monasteri yao.<br />

4. Wakati tunaandika neno: «Trisayion», inapaswa kujua ya kama hapana paka<br />

Mungu Mutakatifu (mara tatu) lakini tena ma sala zingine, nikusema: Utatu Mutakatifu..<br />

Bwana hurumia.. . Baba yetu.. .<br />

5. Wakati wa Pentikostari tuna Desturi ingine. Hatuseme: Mfalme wa mbinguni.. .<br />

. ku mwanzo wa sala kutoka Siku ya Paska mpaka mu Juma ya Pentikosti.<br />

Pahali pa: «Mungu Mutakatifu.. . « ile tunasoma ile tunasoma ku mwanzo ya kila<br />

Ibada, wakati ya Pentikostari tunaanza na hii: Kristu alifufuka.. . (mara tatu). Lakini<br />

kama hii mwimbo: Mungu Mutakatifu.. . inapatikana katikati ya Ibada moja tutaisema<br />

yote muzima. Ku mwisho wa wakati ya Pentikostari hatuseme: Kwa maombezi.. . lakini<br />

tunasema: «Kristu alifufuka.. . ».<br />

Kutoka Siku ya Ufufuo mpaka Siku Kuu ya kupanda Yesu Kristu mbinguni<br />

hatuseme: Njooni tumwinamie.. . (mara tatu) ile iko mbele ya Zaburi ya Esperinos (Sala<br />

ya Mangaribi) na mbele ya Zaburi 50(51) Ibada ya Apodipnon Kidogo.<br />

Sala ya asubui ni mwanzo wa kila siku. Haifai kusahau kuomba kila asubui.<br />

Kama tuko na wakati mingi tunaweza kusoma sala yetu yote, kama hatuna na<br />

wakati tutasoma sala mufupi; Lakini tutasoma hata sehemu ya hii sala.<br />

Maombi ya asubui nii mwanzo wa kila siku, wa kila kazi yetu.<br />

Haifai kusahau kuomba kila asubui.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!