You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
3<br />
9) Tuache kufanya kazi nyingine za mwili. Saa nzuri ni usiku, kwani kuwa<br />
ukimya, hakuna makelele.<br />
Tena inafai kuchagua fasi tanataka kuomba. Fasi ya ukimya yasipo makelele ni<br />
ya lazima sana juu ya kuweza kuomba.<br />
Katika nyumba yetu inafaa kuchagua chumba moja ambamo tutaweka ikona yote.<br />
Kama tutaomba ni mzuri kuwakisha mshumaa na kuchoma ubani; hii yote inatusaidia<br />
katika sala yetu.<br />
10)Sala ni ufundi. Na inapaswa kukombana bila kuchoka sababu ya kuizoea;<br />
kufunza namna gani tutaweza kuomba kweli.<br />
Tusisahabu hii kazi ya sala yetu.<br />
Aipaswe kuwambia mwili wetu: «Leo sisikie mzuri, sitaomba».<br />
Tukitaka kuzoea hii kazi ya sala inafaa kutayarisha wakati wetu wakusali.. Inafai<br />
kufanya nguvu i8li tuiombe ile saa tulichagua.<br />
Kama hatuweke wakati wa kusali, kwa wepesi tutakuwa wazaifu..<br />
Haifai hii maneno wanatwaambia Mapadri wetu Watakatifu ya fanyike kwetu:<br />
Kila mara mutu mumoja akitaka kuomba, Shetani anamugombanisha na anamuzuiza.<br />
Kwa hivi kazi ya kuomba inapaswa kuendelea mpaka mwisho wa maisha wetu.<br />
MASHAURI <strong>YA</strong> KILA MWAMINIFU<br />
1. Hii Kitabu wa sala kimetayarishwa sawa kitabu cha roho sababu ya kusaidia kila<br />
mwanminifu mwenye kutembea mwendo yake ya kwanza katika uzima wake wa roho.<br />
2. Kazi ya hii kitabu ni kuitumia nyumbani mwetu, sababu ya ili sala tunafanya<br />
sisi wenyewe hapana mu Kanisa. Kwa hivi na sisi tulikamata maneno yale-yale na<br />
wimbo ule-ule padri anasema na kuimba.<br />
3. Tunaweza kwanza kila ibada ya hii Kitabu na hii sala: Kwa Jina la Baba. na la<br />
Mwana, na la Roho Mtakatifu». Wakristu wengine wanaanza hivi: Kwa maombezi ya<br />
Mapadri wetu Watakatifu, ee Bwana Yesu Kristu Mungu wetu, utuhurumie na utuokoe.<br />
Amina. Na hii namna ya mbili Siku Kuu, kwa sababu ni hivi wanafanya Watawa ku<br />
Monasteri yao.<br />
4. Wakati tunaandika neno: «Trisayion», inapaswa kujua ya kama hapana paka<br />
Mungu Mutakatifu (mara tatu) lakini tena ma sala zingine, nikusema: Utatu Mutakatifu..<br />
Bwana hurumia.. . Baba yetu.. .<br />
5. Wakati wa Pentikostari tuna Desturi ingine. Hatuseme: Mfalme wa mbinguni.. .<br />
. ku mwanzo wa sala kutoka Siku ya Paska mpaka mu Juma ya Pentikosti.<br />
Pahali pa: «Mungu Mutakatifu.. . « ile tunasoma ile tunasoma ku mwanzo ya kila<br />
Ibada, wakati ya Pentikostari tunaanza na hii: Kristu alifufuka.. . (mara tatu). Lakini<br />
kama hii mwimbo: Mungu Mutakatifu.. . inapatikana katikati ya Ibada moja tutaisema<br />
yote muzima. Ku mwisho wa wakati ya Pentikostari hatuseme: Kwa maombezi.. . lakini<br />
tunasema: «Kristu alifufuka.. . ».<br />
Kutoka Siku ya Ufufuo mpaka Siku Kuu ya kupanda Yesu Kristu mbinguni<br />
hatuseme: Njooni tumwinamie.. . (mara tatu) ile iko mbele ya Zaburi ya Esperinos (Sala<br />
ya Mangaribi) na mbele ya Zaburi 50(51) Ibada ya Apodipnon Kidogo.<br />
Sala ya asubui ni mwanzo wa kila siku. Haifai kusahau kuomba kila asubui.<br />
Kama tuko na wakati mingi tunaweza kusoma sala yetu yote, kama hatuna na<br />
wakati tutasoma sala mufupi; Lakini tutasoma hata sehemu ya hii sala.<br />
Maombi ya asubui nii mwanzo wa kila siku, wa kila kazi yetu.<br />
Haifai kusahau kuomba kila asubui.