19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

WAKATI GANI NA NAMNA<br />

93<br />

CHAKULA<br />

GANI INAPASWA KUFUNGA<br />

Uzima ya Ukristu ni ya mateso na mashindano ya kupata uhuru juu ya kutoka<br />

katika minyororo ya zambi na ufalme wa mateso yetu; ni mashindano kwa<br />

kufikiamneema ya Bwana Yesu kwa utakaso na uzima kimungu. Kwa kutimiza hii<br />

mashindano kitu cha kwanza ni Kufunga (Kwarezima). Kugunga na amri ya Mungu ni<br />

desturi ya tangu zamani kat6ika kanisa yetu, ni bunduki kweli ya hii uzima ya Kikristu.<br />

Kama tunafunga, matunda tutavuna ni haya:<br />

1. Kuzuia mashindano ya Shetani.<br />

2. Kuzuia tamaa mbaya za mwili.<br />

3. TUtakasa roho yetu toka tabia mbalimbali mbaya.<br />

4. Kuepuka mawazo mbaya ya mwili.<br />

Kusali vizuri.<br />

Kupata msaada wa kupokea fazila za Kristu. Kwani kufunga iwe faida kubwa sana<br />

kwa uzima wa roho yetu. kanisa yetu iliweka vizuri nyakati gani sisi waorthodoksi<br />

tunapaswa kufunga. Hapa tutaonyesha nyakati zote kartika mwaka zile tunaweza<br />

kufunga.<br />

1. Mu kazi tatu na mu Kazi tano.<br />

Tangu wakati wa Mitume, katika siku hizi mbili tunakumbuka mateso takatifu ya<br />

Bwana Yesu. Tunakumbuka ya siku hizi mbili ni kula chakula bila mafuta. Kama siku<br />

hizi mbili ni Siku Kuu kubwa, tutakula chakula yote. Kama ni makumbusho ya Mtakatifu<br />

Mkubwa tutakula na mafuta. Kama ni shangilio ya Siku Kuu ya Mzazi-Mungu ao ya<br />

Mtakatgifu Yoane Mbatizaji tunaweza kula mafuta na samaki.<br />

Lakini kwa siku zingine za juma tunaweza kula chakula chake tunataka, nikusema<br />

kama hakuna kifungo ya Kanisa.<br />

Mu Posho na mu Juma hakuna kufunga ya nguvu, nikusema yasipo mafuta. Katika<br />

mwaka mzima paka mu Posho moja inakatazwa kula mafuta, ni mu Posho Mkubwa, siku<br />

moja mbele ya Ufufuo wa Bwana Yesu Kristu.<br />

2. Kwarezima Mkubwa, mbele ya Ufufuo wa Kristu<br />

Hii ni Kwarezima mkubwa tena ya nguvu kuliko ingine yote. Inaanza mu Kazi<br />

moja Safi, maana kisha siku ya yenye ya Jivini (Tirofagi) na inaisha siku ya yenye ya<br />

paska. Mari ya Kanisa yetu ni kuacha kula mafuita siku zote za muda wa hii Kwarezima,<br />

ila tu mu Posho na siku ya yenye ya kila juma. Lakini, mu Kazi moja, kazi mbili na mu<br />

Kazi ine watu wengine wanakula chakula na mafuta. Hii inawezekana kwa wale weko<br />

wagonjwa, hawana nguvu mwilini mwao. Hii inafanyika paka na baraka ya padri wa<br />

roho.<br />

Kwa hii wakati wa Kwarezima Mkubwa tunakula:<br />

Samaki siku Kuu ya Habari Njema ya Mzazi-Mungu (25 Mwezi ya tatu) na siku ya<br />

Matawi.<br />

Mafuta siku Kuu ya Mashahidi Watakatifu Wakumi ine ( 9 Mwezi ya tatu) na siku<br />

Kuu ya Baraza ya malaika Gabrieli (26 Mwezi ya tatu).<br />

3. Kwarezima ya Kuzaliwa Kwake Bwana yesu Kristu.<br />

Kwarezima ingine mkubwa ni ile ya kuzaliwa kwake Bwana Yesu Kristu. Inaanza<br />

tarehe 15 Oktoba mpaka 24 Desemba. katika hii Kwarezima tunakula samaki kila siku,

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!