You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
WAKATI GANI NA NAMNA<br />
93<br />
CHAKULA<br />
GANI INAPASWA KUFUNGA<br />
Uzima ya Ukristu ni ya mateso na mashindano ya kupata uhuru juu ya kutoka<br />
katika minyororo ya zambi na ufalme wa mateso yetu; ni mashindano kwa<br />
kufikiamneema ya Bwana Yesu kwa utakaso na uzima kimungu. Kwa kutimiza hii<br />
mashindano kitu cha kwanza ni Kufunga (Kwarezima). Kugunga na amri ya Mungu ni<br />
desturi ya tangu zamani kat6ika kanisa yetu, ni bunduki kweli ya hii uzima ya Kikristu.<br />
Kama tunafunga, matunda tutavuna ni haya:<br />
1. Kuzuia mashindano ya Shetani.<br />
2. Kuzuia tamaa mbaya za mwili.<br />
3. TUtakasa roho yetu toka tabia mbalimbali mbaya.<br />
4. Kuepuka mawazo mbaya ya mwili.<br />
Kusali vizuri.<br />
Kupata msaada wa kupokea fazila za Kristu. Kwani kufunga iwe faida kubwa sana<br />
kwa uzima wa roho yetu. kanisa yetu iliweka vizuri nyakati gani sisi waorthodoksi<br />
tunapaswa kufunga. Hapa tutaonyesha nyakati zote kartika mwaka zile tunaweza<br />
kufunga.<br />
1. Mu kazi tatu na mu Kazi tano.<br />
Tangu wakati wa Mitume, katika siku hizi mbili tunakumbuka mateso takatifu ya<br />
Bwana Yesu. Tunakumbuka ya siku hizi mbili ni kula chakula bila mafuta. Kama siku<br />
hizi mbili ni Siku Kuu kubwa, tutakula chakula yote. Kama ni makumbusho ya Mtakatifu<br />
Mkubwa tutakula na mafuta. Kama ni shangilio ya Siku Kuu ya Mzazi-Mungu ao ya<br />
Mtakatgifu Yoane Mbatizaji tunaweza kula mafuta na samaki.<br />
Lakini kwa siku zingine za juma tunaweza kula chakula chake tunataka, nikusema<br />
kama hakuna kifungo ya Kanisa.<br />
Mu Posho na mu Juma hakuna kufunga ya nguvu, nikusema yasipo mafuta. Katika<br />
mwaka mzima paka mu Posho moja inakatazwa kula mafuta, ni mu Posho Mkubwa, siku<br />
moja mbele ya Ufufuo wa Bwana Yesu Kristu.<br />
2. Kwarezima Mkubwa, mbele ya Ufufuo wa Kristu<br />
Hii ni Kwarezima mkubwa tena ya nguvu kuliko ingine yote. Inaanza mu Kazi<br />
moja Safi, maana kisha siku ya yenye ya Jivini (Tirofagi) na inaisha siku ya yenye ya<br />
paska. Mari ya Kanisa yetu ni kuacha kula mafuita siku zote za muda wa hii Kwarezima,<br />
ila tu mu Posho na siku ya yenye ya kila juma. Lakini, mu Kazi moja, kazi mbili na mu<br />
Kazi ine watu wengine wanakula chakula na mafuta. Hii inawezekana kwa wale weko<br />
wagonjwa, hawana nguvu mwilini mwao. Hii inafanyika paka na baraka ya padri wa<br />
roho.<br />
Kwa hii wakati wa Kwarezima Mkubwa tunakula:<br />
Samaki siku Kuu ya Habari Njema ya Mzazi-Mungu (25 Mwezi ya tatu) na siku ya<br />
Matawi.<br />
Mafuta siku Kuu ya Mashahidi Watakatifu Wakumi ine ( 9 Mwezi ya tatu) na siku<br />
Kuu ya Baraza ya malaika Gabrieli (26 Mwezi ya tatu).<br />
3. Kwarezima ya Kuzaliwa Kwake Bwana yesu Kristu.<br />
Kwarezima ingine mkubwa ni ile ya kuzaliwa kwake Bwana Yesu Kristu. Inaanza<br />
tarehe 15 Oktoba mpaka 24 Desemba. katika hii Kwarezima tunakula samaki kila siku,