19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

23<br />

vema vilivyokuja; wewe, ee Bwana, hata katika saa hii uyapokee maombi yetu, na<br />

kuyashurtisha maisha yetu njiani pa amri, uuzitakase roho zetu, uyasafishe miili yetu,<br />

uyatengeneze mafikira zetu, uzinyoshe nia zetu; ukatuokoe na kila shida, ubaya, na teso,<br />

utulindie kwa Malaika wako, ili sisi tukiwa na utunzi na uongozi wao, tufike katika<br />

umoja wa imani na kuujulisha utukufu wako usiofikika. Kwa kuwa unahimidiwa milele<br />

na milele. Amina.<br />

Bwana hurumia (Mara tatu).<br />

Utukufu kwa Baba. .. Sasa na siku zote. .. Uliye wa thamani kuwashinda. .. .<br />

Bwana hurumia (Mara tatu) , Mutakatifu kamili, ee Mzazi-Mungu utuokoe.<br />

<strong>SALA</strong> KWA BIKIRA MARIA MZAZI MUNGU MTAKATIFU<br />

KAMILI<br />

Ewe Bibi Malkia; uliye bila doa, bila waa, bila uchafu, safi kamili Bikira Bibi<br />

Mungu, uliyemwunganisha Mungu Mwana, na wanadamu kwa uzazi wako wa ajabu, na<br />

kuuchanganisha uumba wetu, uliokuwa ondoshwa, nao walio mbinguni, uliye peke yako<br />

matumaini ya wakufa moyo, na msaada wa washawishwa, uliye tayari kuwalinda wote<br />

wanakukimbilia wewe; wewe makimbilio ya Wakristu wote, usinikiri mimi mtu mwenye<br />

zambi, mtu wa waa; niliofanya kufaa hata si kitu kwa mafikiri, na maneno, na matendo<br />

yangu ya aibu, tena kuwa mtumwa hiari wa anasa kihebu ya maisha kwa uzembe wangu.<br />

Lakini kwa kuwa wewe ni Mama wa Mungu Mpenda Wanadamu, unirehemu kwa<br />

upendo wanadamu wako mimi mtu mukosaji, na mpotevu, na kuipokea ombi langu<br />

linalokutolewa na midomo michafu yangu, na mtoto wako, na Rabi wetu. Na kwa ujasiri<br />

wako kama Mama wako unipatanishe, ili kuniikunjua rehema yako ya kupenda<br />

wanadamu ya wema wake, na akiyasamehe makosa yangu yasiyohesabiwa, anirudishe<br />

katika utubu na kunionyesha mshika mstahiliwa, wa amri yako, uwe daima karibu nami,<br />

ewe Mama mrahimu, mwenye upole, na mpenda uwema, katika maisha haya mhifazi na<br />

msaidizi wa moto, kuyazuia marukio ya madui, na kuniongoza njiani ya wokovu. Tena<br />

katika saa ile ya kufariki duniani, kuitunza roho yangu ya kizilini na kuzifukuza mbali<br />

yake zile nyuso za giza za mashetani maovu. Hata katika siku ile ya hukumu<br />

iliyokuongofya, kuniokoa na azabu ile ya milele, na kunijalia ku uriti utukufu<br />

usiokuelewa wa Mwana wako, na Mungu wetu. Uwe kuniufike, ewe Mzazi Mungu,<br />

Mtakatifu kushinda Bibi Malkia wangu, kwa utetezi na hifazi wako, nikiwa na neema, na<br />

upenda wanadamu wa Mwana wako wa pekee yeye Bwana, na Mungu, na Mwokozi<br />

wetu anaye na haki, utukufu wote, heshima na usujudu, pamoja na Baba yake asiye na<br />

mwanzo, pamoja na Roho Mtakatifu Kamili, Mwema, Mwumba hai, sasa na siku zote,<br />

hata milele na milele. Amina.<br />

<strong>SALA</strong> KWA BWANA WETU YESU KRISTU<br />

Na utupe, ee Rabi, saa hii tukienda kulala, mapumziko ya mwili, na ya roho tena<br />

utulindie na ule usingizi wa giza ya zambi, na ya kila ubaya ungine wa giza, na wa usiku.<br />

Zuia mashawishi kuturukia, zimisha mishale ya yule mwovu, yaliyo na moto, yanatupwa<br />

kwetu kwa hila. Punguza vitu vibaya vya mwili wetu, ukiangaza kila nia yetu ya nchini<br />

na kidunia. Tena kizi yetu, ee Mungu akili ya kukesha, mafikira sawa moyo wangalifu,<br />

usingizi wa kisahala, safi na bila mwogofyo wa kishetani. Hata kutuamusha wakati wa

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!