You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
23<br />
vema vilivyokuja; wewe, ee Bwana, hata katika saa hii uyapokee maombi yetu, na<br />
kuyashurtisha maisha yetu njiani pa amri, uuzitakase roho zetu, uyasafishe miili yetu,<br />
uyatengeneze mafikira zetu, uzinyoshe nia zetu; ukatuokoe na kila shida, ubaya, na teso,<br />
utulindie kwa Malaika wako, ili sisi tukiwa na utunzi na uongozi wao, tufike katika<br />
umoja wa imani na kuujulisha utukufu wako usiofikika. Kwa kuwa unahimidiwa milele<br />
na milele. Amina.<br />
Bwana hurumia (Mara tatu).<br />
Utukufu kwa Baba. .. Sasa na siku zote. .. Uliye wa thamani kuwashinda. .. .<br />
Bwana hurumia (Mara tatu) , Mutakatifu kamili, ee Mzazi-Mungu utuokoe.<br />
<strong>SALA</strong> KWA BIKIRA MARIA MZAZI MUNGU MTAKATIFU<br />
KAMILI<br />
Ewe Bibi Malkia; uliye bila doa, bila waa, bila uchafu, safi kamili Bikira Bibi<br />
Mungu, uliyemwunganisha Mungu Mwana, na wanadamu kwa uzazi wako wa ajabu, na<br />
kuuchanganisha uumba wetu, uliokuwa ondoshwa, nao walio mbinguni, uliye peke yako<br />
matumaini ya wakufa moyo, na msaada wa washawishwa, uliye tayari kuwalinda wote<br />
wanakukimbilia wewe; wewe makimbilio ya Wakristu wote, usinikiri mimi mtu mwenye<br />
zambi, mtu wa waa; niliofanya kufaa hata si kitu kwa mafikiri, na maneno, na matendo<br />
yangu ya aibu, tena kuwa mtumwa hiari wa anasa kihebu ya maisha kwa uzembe wangu.<br />
Lakini kwa kuwa wewe ni Mama wa Mungu Mpenda Wanadamu, unirehemu kwa<br />
upendo wanadamu wako mimi mtu mukosaji, na mpotevu, na kuipokea ombi langu<br />
linalokutolewa na midomo michafu yangu, na mtoto wako, na Rabi wetu. Na kwa ujasiri<br />
wako kama Mama wako unipatanishe, ili kuniikunjua rehema yako ya kupenda<br />
wanadamu ya wema wake, na akiyasamehe makosa yangu yasiyohesabiwa, anirudishe<br />
katika utubu na kunionyesha mshika mstahiliwa, wa amri yako, uwe daima karibu nami,<br />
ewe Mama mrahimu, mwenye upole, na mpenda uwema, katika maisha haya mhifazi na<br />
msaidizi wa moto, kuyazuia marukio ya madui, na kuniongoza njiani ya wokovu. Tena<br />
katika saa ile ya kufariki duniani, kuitunza roho yangu ya kizilini na kuzifukuza mbali<br />
yake zile nyuso za giza za mashetani maovu. Hata katika siku ile ya hukumu<br />
iliyokuongofya, kuniokoa na azabu ile ya milele, na kunijalia ku uriti utukufu<br />
usiokuelewa wa Mwana wako, na Mungu wetu. Uwe kuniufike, ewe Mzazi Mungu,<br />
Mtakatifu kushinda Bibi Malkia wangu, kwa utetezi na hifazi wako, nikiwa na neema, na<br />
upenda wanadamu wa Mwana wako wa pekee yeye Bwana, na Mungu, na Mwokozi<br />
wetu anaye na haki, utukufu wote, heshima na usujudu, pamoja na Baba yake asiye na<br />
mwanzo, pamoja na Roho Mtakatifu Kamili, Mwema, Mwumba hai, sasa na siku zote,<br />
hata milele na milele. Amina.<br />
<strong>SALA</strong> KWA BWANA WETU YESU KRISTU<br />
Na utupe, ee Rabi, saa hii tukienda kulala, mapumziko ya mwili, na ya roho tena<br />
utulindie na ule usingizi wa giza ya zambi, na ya kila ubaya ungine wa giza, na wa usiku.<br />
Zuia mashawishi kuturukia, zimisha mishale ya yule mwovu, yaliyo na moto, yanatupwa<br />
kwetu kwa hila. Punguza vitu vibaya vya mwili wetu, ukiangaza kila nia yetu ya nchini<br />
na kidunia. Tena kizi yetu, ee Mungu akili ya kukesha, mafikira sawa moyo wangalifu,<br />
usingizi wa kisahala, safi na bila mwogofyo wa kishetani. Hata kutuamusha wakati wa