19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

53<br />

Ee, Bibi-Arusi wetu Mungu alichukuwa mwili kwa damu yako<br />

Takatifu. Kwa hii vizazi vinakuimba; na watu mengi wenye kusikia maana wanakusifu<br />

sababu wameona waziwazi ya kama huyu alichukua mwili kwako ni Bwana wa vitu<br />

vyote.<br />

Kisha ya mashairi 9, rudi tena ku ukurasa 6 usome:<br />

Inastahili na haki. .. , Mungu Mtakatifu. .. Utukufu kwa Baba. .. Sasa na siku zote.<br />

.. Utatu Mtakatifu. .. Utukufu kwa Baba.. . Sasa na siku zote Bwana hurumia (mara<br />

tatu) Baba yetu uliye mbinguni.. . Na Sala zingine zinazofwata mpaka mwisho wa<br />

ukurasa 11.<br />

ASUBUI SIKU <strong>YA</strong> KOMONYO TAKATIFU<br />

Kisha Sala ya asubui sema:<br />

Mungu Mutakatifu, mweza Mutakatifu, msiye kufa Mutakatifu, utuhurumie (Mara<br />

tatu).<br />

Utukufu kwa Baba. .. Sasa na siku zote.. .<br />

Utatu Mutakatifu. .. Bwana hurumia (Mara tatu). Utukufu kwa Baba. .. Sasa na<br />

siku zote. ..<br />

Baba yetu uliye mbinguni. .. Bwana hurumie (Mara 12)<br />

Utukufu kwa Baba. .. Sasa na siku zote. ..<br />

Njooni tumwinamie na tumsujudu Mungu Mfalme wetu.<br />

Njooni tumwinamie na tumsujudu Kristu Yeye Mungu Mfalme wetu.<br />

Njooni tumwinamie na tumsujudu Yeye Kristu, aliye Mfalme na Mungu wetu.<br />

ZABURI 23<br />

Bwana ni mchungaji wangu; sitapungukiwa na kitu. Ananilalisha katika malisho<br />

ya majani mabichi; ananiongoza kando ya maji matulivu. Anarudisha nafsi yangu;<br />

ananiongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake. Ndiyo, hata nikipita kati ya bonde<br />

la kivuli cha mauti, sitaogopa mabaya; kwa maana wewe ni pamoja nami; Gongo lako na<br />

fimbo yako zinanifariji. Unanitengenezea meza mbele ya adui zangu; Umenipakalia<br />

mafuta kichwani; kikombe changu kinafurika. Hakika wema na rehema zitanifuata siku<br />

zote za maisha yangu; na nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.<br />

ZABURI 24<br />

Inchi na kujaa kwake ni mali ya Bwana; Dunia, nao wanaokaa ndani yake. Kwa<br />

maana ameweka misingi yake juu ya bahari, na kuisimamisha juu ya garika. Nani<br />

atakayepanda mulimani mwa Bwana? Na nani atakayesimama katika pahali pake<br />

patakatifu? Mtu aliye na mikono safi, na moyo mweupe; asiyenyanyua nafsi yake kwa<br />

uwongo, wala hakuapa kwa hila. Yeye atapokea baraka kwa Bwana, na haki kwa Mungu<br />

wa wokovu wake. Hiki ni kizazi chao wanaomutafuta, wanaotafuta uso wako, ee Mungu<br />

wa Yakobo. Sela. Nyanyueni vichwa vyetu, ee ninyi malango; na munyanyuliwe, ninyi

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!