19.03.2015 Views

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

06KITABU YA SALA

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

66<br />

Bibi-Arusi ya Mungu, sambaza kungu ya makosa yangu, kwa mwangaza<br />

wa nuru yako, uliyezaa Nuru kimungu, kilichokuwa tangu milele.<br />

Sasa na siku zote, hata milele na milele. Amina.<br />

Safi ponyesha, ugonjwa wa tamaa yangu, ukinistahilisha kupata tunzo lako, na<br />

unipe afya, kwa upatanisho wako.<br />

ODE 6<br />

Irmosi<br />

Ninamwanga, mashitaki yangu mbele ya Bwana, ninamwonyesha taabu yangu,<br />

maana nafsi yangu ilijazwa na ubaya, na uzima wangu unakaribia Hadeze, na ninakusihi<br />

kama Yuna: Mungu wangu, unitoshe toka uharibifu.<br />

Mutakatifu kamili, ee Muzazi-Mungu utuokoe.<br />

Bikira, sihi Bwana na Mwana wako, aliyeokoa hali yangu iliyokamatwa, kwa<br />

mauti na uharibifu, akijitoa kwa mauti, kusudi aniponyeshe, toka uovu wa adui.<br />

Mutakatifu kamili, ee Muzazi-Mungu, utuokoe.<br />

Ninakujua, sawa mulinzi wa uzima, na muchunga wa imara ee Bikira, ukisambaza<br />

wingi wa majaribu, na ukifukuza nguvu ya shetani. Na kusihi daima uniponyeshe toka<br />

uharibifu wa tamaa yangu.<br />

Utukufu kwa Baba na kwa Mwana na kwa Roho Mtakatifu.<br />

Tulikupata, kama ukuta wa kimbilio, na wokovu timilifu wa nafsi yetu, na tulizo<br />

kwa taabu ee Binti, na tunashangilia kwa nuru yako daima. Bibi Malkia sasa utuokoe,<br />

toka mateso na hatari.<br />

Sasa na siku zote, hata milele na milele. Amina.<br />

Ninalala, sawa mugonjwa kitandani, na hakuna tunzo mwilini mwangu. Lakini<br />

ewe ulichukua mimba ya Mungu, na Mwokozi wa dunia na muponya magonjwa.<br />

Ninakusihi ewe Mwema, unitoshe toka magonjwa.<br />

Muzazi Mungu okoa, watumishi wako kwa hatari, maana kisha Mungu wote<br />

tunakukimbilia, sawa mulinzi na ukuta usiyobomolewa.<br />

Bikira bila uchafu, uliyezaa Neno kwa namna isiyosemwa, katika siku ya mwisho,<br />

umusihi, kwani wewe uko na uhodari ya umama.<br />

KONTAKION Sauti ya Mbili.<br />

Ee Mulinzi usiyepatisha wakristu haya, na mupatanishi wa Muumba usiyeweza<br />

kubadilika, usizarau sauti ya kusihi ya wenye-zambi. Lakini fika kama mwema, kwa<br />

kutusaidia sisi, tunaokuita na imani: Ujiharikishe kwa upatanisho, na ukimbie kwa<br />

kutuomba, ewe Muzazi-Mungu unayelinda, wanaokuheshimu daima.<br />

Kisha tunaimba Antifonon ya kwanza ya Daraja (Anavathmi)<br />

Sauti ya Ine<br />

Toka ujana wangu, tamaa mbaya mingi inanigombanisha. Lakini ewe Mwokozi<br />

wangu, unilinde na uniokoe (Mara mbili)<br />

Enyi muliochukia Sayuni, mupate haya toka Bwana. Kwani kama majani mbele ya<br />

moto, mutakuwa wakikauka (Mara mbili).

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!