08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

15<br />

Binti wa kiongozi Bingwa wa Kihindu (Hindu Pundit) – anaukubali<br />

<strong>Uislamu</strong> na kusaidia <strong>Uislamu</strong> kwa maelfu ya mapesa.<br />

Nilikutana na mwanamke mjini New York aliyetaka kutengeneza CDs zetu<br />

kuhusiana na “<strong>Uislamu</strong> ni nini?” Baada ya kupewa ruhusa yake miaka kadhaa<br />

iliyopita, nimesoma kuwa ameshatengeneza na kusambaza zaidi ya CDs laki<br />

sita kwa wasio Waislamu ndani ya Marekani. Allah amlipe thawabu na ampe<br />

nguvu katika juhudi zake, aamiin.<br />

Mamia – Maelfu – Bado yanakuja<br />

Tangu kuingia kwangu katika <strong>Uislamu</strong> na kuwa kasisi wa Waislamu ndani ya<br />

nchi na dunia nzima, nimeshakabiliana na watu wengi mmoja mmoja, ambao<br />

walikuwa ni viongozi, walimu na wanazuoni wa dini nyingine waliousoma<br />

<strong>Uislamu</strong> na wakauingia. Wamekuja kutoka katika dini za Kihindu, Kiyahudi,<br />

Kikatoliki, Kiprotestanti, Mashahidi wa Yehova, na Waothodoksi wa Kigiriki<br />

na Kirusi, wakibti kutokea Misri, makanisa yasiyo na madhehebu na hata<br />

wanasayansi ambao walikuwa wanamkana Mungu.<br />

Mchanganyiko huo daima unaonekana ni ule ule; watu ambao kiuaminifu<br />

wanatafuta ukweli na wanataka kuweka kando tofauti za kihisia na upendeleo<br />

wao na kuanza kumuomba Mungu awaongoze katika maisha yao.<br />

Kwa hiyo, hadi sasa umeshapata utangulizi wa kisa cha kuingia kwangu<br />

<strong>Uislamu</strong> na kuwa Mwislamu. Kuna mengi katika internet kuhusu kisa hiki na<br />

kuna picha nyingi vilevile. Tafadhali tenga muda na uniandikie email na<br />

uturuhusu tujumuike pamoja katika kweli tupu inayoegemea katika ushahidi<br />

ili tufahamu asili yetu, malengo yetu na makusudiyo katika maisha haya na ya<br />

baadaye.<br />

Je, nitoe pendekezo kwa mtafutaji wa ukweli? Chukua hatua tisa<br />

zifuatazo ili utakase moyo.<br />

1. – Safisha – fikra zako, moyo wako, na nafsi – ondosha hisia zote za<br />

upendeleo.<br />

2. – Mshukuru Mungu – kwa kile ulichokuwa nacho – kila wakati kila<br />

siku.<br />

3. – Soma – tafsiri nzuri ya maana za Quran Tukufu katika lugha<br />

uifahamuyo vizuri.<br />

(www.islamtomorrow.com/downloads/noblequran.exe)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!