08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

72<br />

kuficha bunduki aina ya AK – 47. Kwa hiyo, nilienda duka la vitabu vya<br />

Kiarabu.<br />

Wakaniuliza, “Tukusaidie nini?”<br />

“Nataka Quran.”<br />

“Sawa, hapa tunazo nakala za Quran.”<br />

Walikuwa na nakala nzuri sana – kwa dola therathini, dola arobaini.”<br />

“Tazama, nataka kusoma tu, sitaki kuwa mmoja wao, sawa?”<br />

“Sawa, tuna huo hapo mdogo dogo kwa dola tano wenye jarada la karatasi.”<br />

Nilirudi nyumbani, na kuanza kusoma Quran yangu kuanzia mwanzo, wa<br />

Suratul Fatihah. Na sikuweza kuyatoa macho yangu kutoka katika Quran.<br />

Oyaa, tazama hii. Inazungumzia juu ya Nuhu humu. Tunaye Nuhu katika<br />

Biblia yetu pia. Oyaa, Inazungumzia Lutwi na Ibrahimu. Siamini. Kamwe<br />

sijalijua jina la shetani kuwa ni Ibilisi. Oyaa, vipi kuhusu hayo?<br />

Unapopata picha hiyo katika T.V yako na ikiwa na maelezo kidogo nawe<br />

unabonyeza swichi ya kusafisha picha. Hilo ni jambo la hakika linalotoke na<br />

Quran.<br />

Nilipitia kila kitu. Kwa hiyo, nilisema: sawa; nimeshafanya haya, sasa kitu<br />

gani utakachofanya baadaye? Vizuri, uende katika eneo lao la kukutania.<br />

Nilitazama kitabu cha kurasa za manjano (kitabu cha kuelezea mambo mbali<br />

mbali yanapopatikana) na mwishowe nilikipata kituo cha Kiislamu cha<br />

Calfornia kusini, katika Vermont. Niliwapigia simu nao wakasema, “Njoo<br />

Ijumaa.”<br />

Sasa tayari nilianza kuchanganyikiwa, kwa sababu, sasa ninajua nitaanza<br />

kukabiliwa na Habibu na bunduki yake ya AK-47.<br />

Nataka watu wafahamu, Wakristo wa Marekani wapoje katika ujio wa<br />

<strong>Uislamu</strong>. Nafanya mambo ya kitoto kuhusiana na AK- 47, lakini sijui kama<br />

watu hao wana masime chini ya makoti yao, unajua? Kwa hiyo, nilienda hadi<br />

mbele, na nina hakika vya kutosha, kuwa kulikuwa na huyu ndugu mwenye<br />

(six-foot-three, 240-paundi) ndevu na kila kitu, na nilikuwa ni mwenye<br />

heshima.<br />

Nilitembea na kusema: “Samahani bwana.”<br />

[Lahaja ya Kiarabu] “Rudi nyuma!”

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!