08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

75<br />

“Ndiyo, hao hao.”<br />

“Hilo, lilitufanya tusilale siku za Jumapili?”<br />

“Ndiyo, kijana huyu alikuwa mmoja wao. Na sasa ni mmoja wetu.”<br />

Hatimaye mtu mmoja alinijia na kusema [kwa lahaja za Kipakistani] “Oh<br />

ndugu, mazungumzo yako yalikuwa mazuri sana. Lakini unajua wewe, katika<br />

madhehebu ya Kishafii…”<br />

Kisha kitu pekee nilichoweza kukifanya ni kuwageukia na kusema, “Ahaa,<br />

wandugu, Samahanini sana, natumai ningejua hayo, lakini sijui chochote juu<br />

ya <strong>Uislamu</strong> ispokuwa kile kilichopo katika Quran na Sunnah. 9<br />

Mmoja wao aliduwaa na kusema; “Ha –ha! Maskini ndugu, hajui lolote.<br />

Anajua Quran peke yake.”<br />

Vizuri, hayo ndiyo yale ninayoyajua. Na hilo limekuwa ni kinga niipendayo<br />

sana. Nadhani yote hayo yapo mikononi mwa Allah.”<br />

http://www.newmuslims.tk<br />

chanzo ni: habari za Kiislamu, San Francisco, CA 94141-0186<br />

9 Sunna ni maelezo yanayohusishwa na Mtume Muhammad (S.A.W), sawa yale aliyoyatenda, kuyasema au<br />

kuyakubali.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!