Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
75<br />
“Ndiyo, hao hao.”<br />
“Hilo, lilitufanya tusilale siku za Jumapili?”<br />
“Ndiyo, kijana huyu alikuwa mmoja wao. Na sasa ni mmoja wetu.”<br />
Hatimaye mtu mmoja alinijia na kusema [kwa lahaja za Kipakistani] “Oh<br />
ndugu, mazungumzo yako yalikuwa mazuri sana. Lakini unajua wewe, katika<br />
madhehebu ya Kishafii…”<br />
Kisha kitu pekee nilichoweza kukifanya ni kuwageukia na kusema, “Ahaa,<br />
wandugu, Samahanini sana, natumai ningejua hayo, lakini sijui chochote juu<br />
ya <strong>Uislamu</strong> ispokuwa kile kilichopo katika Quran na Sunnah. 9<br />
Mmoja wao aliduwaa na kusema; “Ha –ha! Maskini ndugu, hajui lolote.<br />
Anajua Quran peke yake.”<br />
Vizuri, hayo ndiyo yale ninayoyajua. Na hilo limekuwa ni kinga niipendayo<br />
sana. Nadhani yote hayo yapo mikononi mwa Allah.”<br />
http://www.newmuslims.tk<br />
chanzo ni: habari za Kiislamu, San Francisco, CA 94141-0186<br />
9 Sunna ni maelezo yanayohusishwa na Mtume Muhammad (S.A.W), sawa yale aliyoyatenda, kuyasema au<br />
kuyakubali.