08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

29<br />

Mwanzo Mpya<br />

Haikuchukua muda mrefu baada ya kuwasili Saudi Arabia nikaona<br />

mabadiliko ya haraka katika mfumo wa maisha ya Waislamu. Walikuwa<br />

wanatofautiana na wafuasi wa Elijah Muhammad na mchungaji Louios<br />

Farrakhan kwa upande wa kuwa wote walikuwa ni wazalendo, rangi moja na<br />

lugha moja. Nami, kwa haraka haraka nilieleza shauku yangu ya kusoma zaidi<br />

kuhusu dini hii ya kipekee yenye kushangaza. Nilishangazwa na maisha ya<br />

Mtume Muhammad na nilitaka kuyafahamu zaidi. Niliazima vitabu kutoka<br />

kwa mmoja wa jamaa aliyekuwa mchangamfu katika kuwalingania watu<br />

waingie <strong>Uislamu</strong>. Nilipewa vitabu vyote nilivyokuwa navitaka. Nilikisoma<br />

kila kitabu. Kisha nikapewa Quran Tukufu na nikaisoma yote yote kwa mara<br />

kadhaa katika kipindi cha miezi minne. Kilichonivutia zaidi ni kuwa, wale<br />

jamaa hawakuwa ni wenye kunigandamiza kwa elimu zao. Kama ndugu<br />

yeyote hakujua jibu la swali aliloulizwa, aliniambia kwa wepesi kabisa, kuwa<br />

hawezi kulijibu na ataliangalia kwa mtu anayeliweza. Na siku inayofuata<br />

daima ataniletea jibu. Nikaona jinsi ya unyenyekevu ulivyofanya kazi kubwa<br />

katika maisha ya watu hao wa ajabu wa mashariki ya kati.<br />

Nilishangazwa kuwaona wanawake wakijifunika kuanzia nyuso zao hadi<br />

miguuni. Sijaona dini yeyote ya makasisi ikiwa hivyo. Hakuna mtu<br />

aliyeshindana kwa ajili ya kupata cheo cha kidini. Yote hayo yalikuwa ni<br />

mazuri ajabu, lakini vipi nitaziendesha fikra za kuacha mafundisho ambayo<br />

nimeshayafuata tangu nikiwa mdogo? Je, kuna nini kuhusiana na Biblia?<br />

Nilijuwa kuwa kuna baadhi ya ukweli ndani yake hata hivyo,<br />

imeshabadilishwa na kurejewa kwa mara nyingi. Kisha nilipewa mkanda wa<br />

video wa mahojiano kati ya sheikh Ahmadi Deedat na Reverend Jimmy<br />

Swaggart. Baada ya kutazama mjadala huo kwa haraka haraka nikawa<br />

Mwislamu.<br />

Unaweza kusikiliza majadiliano hayo katika website<br />

sitehtt:// www.islam.org/audiyo/ra622_4.ram

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!