08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

67<br />

Naogopa sana kifo! Kwa hiyo, mama yangu alinigeukia: “Tazama<br />

kitakachotokea kama hutobatizwa, na hutofanya matakwa ya Mungu? Dunia<br />

itatumeza, au moja ya mawe hayo makubwa mno litakupiga juu ya kichwa na<br />

litakuangusha, na hautoishi tena. Nami nitalazimika kutengeneza mtoto<br />

mwingine.”<br />

Sikutaka kuchukua nafasi ya kugongwa na moja ya mawe hayo ya mvua<br />

yaliyo makubwa. Kwa hiyo, nikabatizwa. Bila shaka mashahidi wa Yehova<br />

hawaamini kunyunyiza maji. Wao wanakuzamisha kabisa kabisa,<br />

wanakuacha ndani ya maji hayo kwa sekunde moja, kisha wanakutoa.<br />

Nilifanya hivyo nikiwa na miaka 13, Septemba 7, 1963 mjini Pasadena,<br />

Calfornia, katika birika la Rose Bowl. Ilikuwa ni mkutano wa kimataifa<br />

mkubwa sana. Tulikuwa watu 100,000 laki moja. tuliendesha magari kutokea<br />

Lubbock, Texas.<br />

Hatimaye nilianza kutoa maneno makubwa – dakika kumi mbele ya mkutano.<br />

Na kundi la wahudumu wa sinema walinipendekeza nitoe muhadhara wa saa<br />

moja ambao ulifanyika Jumapili walialikwa watu wengi. Wao kikawaida<br />

huwa wanayahifadhi mahubiri hayo kwa ajili ya wazee wa makutano.<br />

[Kwa sauti ya mamlaka:] “Kwa hakika ni ndogo, Lakini anaweza kukamata<br />

jambo hilo. Yeye ni kijana wa Kikristo mzuri. Hana maovu, na ni mtiifu kwa<br />

wazazi wake na anaonekana ana elimu bora na kubwa sana ya Biblia.”<br />

Kwa hiyo, nikiwa na miaka kumi na sita nilianza kutoa muhadhara wa saa<br />

moja mbele ya makutano yote. Kwanza kabisa niliandikwa katika kikundi<br />

kilichopo Sweetwater, Texas, na Kaosha, hatimaye, mjini Brownfield, Texas,<br />

nilipopata makutano yangu ya kwanza. Katika umri wa miaka ishirini,<br />

nilikuwa ni kile wakiitacho mchungaji chipukizi (mtangulizi).<br />

Mashahidi wa Yehova wana mpango wa mafunzo wa kisasa sana, wana aina<br />

mfumo wa haki. Unalazimika kutenga masaa kumi hadi kumi na mbili kwa<br />

mwezi ya kuhubiri nyumba kwa nyumba. Ni kama muuza biashara. IBM<br />

haifai chochote kwa vijana hao.<br />

Kwa hiyo, nilipokuwa mchungaji mtangazaji, nilitenga muda wangu mwingi<br />

kufanya utumishi wa nyumba kwa nyumba. Nilikuwa nalazimika kufanya<br />

hivyo kiasi cha masaa mia moja kwa mwezi, na nililazimika kuwa na masomo

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!