08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

9<br />

kukaa msikitini kwa muda fulani. Nilienda kwa baba na kumuomba<br />

tumwalike Mohammed aje kuishi nasi katika nyumba yetu kubwa iliyopo<br />

kijijini. Baada ya yote, anaweza kushirikiana nasi kazi na kulipia baadhi ya<br />

gharama na atakuwepo wakati tutakapokuwa tunaenda safari zetu. Baba<br />

alikubali na Mohammed akahamia.<br />

Bila ya shaka nilikuwa bado ninapata nafasi ya kuwatembelea rafiki zangu<br />

wahubiri na wachungaji waishio Texas. Mmoja wao alikuwa anaishi Texas<br />

karibu na mpaka wa Mexico na mwingine aliishi karibu na mpaka wa<br />

Oklahoma. Muhubiri mmoja alipendelea salaba la mbao kubwa sana ambalo<br />

lilikuwa kubwa kuliko gari ndogo. Alikuwa anaubeba juu ya mabega yake na<br />

kuuburuza. Kitako chake ardhini na kupita nao mtaani au barabarani huku<br />

akihanikiza miale miwili iliyoundwa kwa umbo la msalaba. Watu<br />

walisimamisha magari yao na kumwendea na kumuuliza kulikoni; naye<br />

angewapa vijitabu na vijikaratasi juu ya Ukristo.<br />

Siku moja rafiki yangu mwenye msalaba alipatwa na mshtuko wa moyo na<br />

kulazimika aende hospitali ya Veterans ambako alikaa kwa muda mrefu.<br />

Nilikuwa namtembelea hapo hospitalini kwa mara kadhaa kwa wiki na<br />

nilikuwa namchukuwa Mohammed pamoja nami, nikiwa na matarajio ya<br />

kuwa sote tutashiriki mada ya imani na dini. Rafiki yangu mwenye msalaba<br />

hakupandishwa mori, na ilikuwa ni wazi kuwa hakutaka kujua chochote<br />

kuhusu <strong>Uislamu</strong>. Kisha siku moja yule mtu ambaye alikuwa anashirikiana na<br />

rafiki yangu alikuja huku akiendesha kiti chake cha magurudumu na kuingia<br />

chumbani. Nilimwendea na kumuuliza jina lake na akasema kuwa hilo si<br />

muhimu na nilipomuuliza ametokea wapi alisema kuwa ametokea sayari ya<br />

Jupita. Nilifikiria kile alichokisema na kisha nilianza kustaajabu je, kama<br />

ningekuwa katika wodi ya mshtuko wa moyo au katika wodi ya wagonjwa wa<br />

akili ingekuwaje.<br />

Nilijua kuwa yule mtu alikuwa ni mpweke na amefadhaika na anahitaji mtu<br />

katika maisha yake. Kwa hiyo, nilianza kumthibitishia kuhusu Bwana.<br />

Nilimsomea kwa sauti kitabu cha Jonah katika Agano la Kale. Na fikra<br />

ilikuwa ni kuwa kwa hakika hatuwezi kukimbia matatizo yetu kwa kuwa siku<br />

zote tunajua tulichokifanya na cha ziada, Mungu pia daima anajua ambacho<br />

tumekifanya.<br />

Padri wa Kikatoliki

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!