08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

82<br />

Dr. Miller anaendelea: Je, waweza kuona namna aya ambazo zinazungumzia<br />

juu ya uadui kati ya Waislamu na Wayahudi zinaanzisha changamoto kwa<br />

akili ya mwanadamu? “Hakika utawakuta walio maadui zaidi kuliko watu<br />

(wengine) kwa Waislamu ni Mayahudi na wale mushirikina (wasiokuwa na<br />

Kitabu), na utawaona walio karibu kwa urafiki na Waislamu ni wale<br />

wanaosema: “Sisi ni Wakristo.” (Hayo) ni kwa sababu wako miongoni mwao<br />

wanavyuoni na wamchao Mungu, na kwa sababu wao (Wakristo)<br />

hawatakabari; (wakijua haki huifuata). Na wanaposikia yaliyoteremshwa<br />

kwa Mtume (na yakawatulilikia kuwa ni kweli), utaona macho yao<br />

yanamiminika machozi kwa sababu ya haki waliyoitambua; wanasema:<br />

“Mola wetu! Tumeamini, basi tuandike pamoja na wanaoshuhudia (ukweli<br />

huu).” (Na wakilaumiwa kwa kusilimu kwao husema): “Na kwa nini<br />

tusimwamini Mwenyezi Mungu na haki iliyotufikia, na hali tunatumai Mola<br />

wetu atuingize (Peponi) pamoja na watu wema?” (Qurani 5:82-84).<br />

Aya hizi zilitumiwa na: Dr. Miller pia alipokuwa Mkristo lakini alipoujua<br />

ukweli, aliamini na kuingia <strong>Uislamu</strong> na akawa ni muhubiri wa Kiislamu.<br />

Mungu alitie nguvu.<br />

Dr. Miller anasema juu ya mtindo wa kipekee wa Quran kuwa yeye anauona<br />

ni wa kupendeza sana: hakuna shaka kuwa kuna kitu cha pekee na cha<br />

kushangaza katika Qurani ambacho hakijatajwa sehemu yeyote ile, kwani<br />

Quran inakupa maelezo maalumu na inakuambia kuwa ulikuwa huyajui hapo<br />

kabla. Kwa mfano: Hizi ni habari za ghaibu Tunazokufunulia; nawe hukuwa<br />

nao walipokuwa wakitupa kalamu zao ndani ya maji (kwa kura, wajue) nani<br />

wao atamlea Maryamu, na hakuwa nao walipokuwa wakishindana. (Quran<br />

3:44)<br />

Hizi ni katika khabari za siri Tunazokufunulia. Hukuwa ukizijua wewe, wala<br />

watu wako, kabla ya hii (Qurani kuteremshwa). Basi subiri; hakika mwisho<br />

(mwema) utawathubutikia wanaomcha Mungu.” (Quran 11:49).<br />

Hizi ni katika khabari za siri Tulizokufunulia. na hukuwa pamoja nao<br />

walipoazimia shauri lao, hali wakifanya vitimbi vibaya. (Quran 12:102).<br />

Dr. Miller anaendelea: “Vitabu vitakatifu vingine havitumii mtindo huu,<br />

vitabu vingine vyote vina maelezo ambayo yanakwambia maelezo hayo<br />

yametokea wapi. Kwa mfano, wakati Biblia Takatifu iliyopotoshwa<br />

inazungumzia juu ya kisa cha mataifa ya kale, inakusimulia kuwa mfalme

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!