08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

4<br />

Mungu, Yesu, Utume, dhambi na uwokovu. Lakini unajua tena, kipindi fulani<br />

nilikuwa katika boti moja na watu wengi walio katika boti hiyo sasa hivi.<br />

Kwa hakika nilikuwemo. Acha nieleze.<br />

Nimezaliwa katika familia ya Kikristo madhubuti sana katika Midwest.<br />

Familia yetu na wazee wake sio tu wamejenga makanisa na shule katika ardhi<br />

hii ya Midwest, pia walikuwa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kufika<br />

hapo. Nilipokuwa shule ya msingi, tulikuwa tunakaa Huston, Texas mwaka<br />

1949 (nikiwa ni mtu mzima). Kila siku tulikuwa tunaenda kanisani na<br />

nilibatizwa Pasadena, Texas nikiwa na umri wa miaka 12. Nikiwa kijana wa<br />

umri wa miaka kumi na kitu, nilipendelea kutembelea makanisa mengine ili<br />

nijifunze zaidi mafundisho na imani zao. Kanisa la Kibatisti, Methodisti,<br />

Episcopalians, Charismatic movement, Full Gospel, Agepe, Katoliki,<br />

Presbyterians, na mengine mengi. Nilikuwa nimeshapevuka vizuri na kiu ya<br />

(Injili) au kama tuiitavyo; “Habari njema.” Uchunguzi wangu juu ya dini<br />

haukuishia Ukristo, hata kidogo. Ulishirikisha, dini ya Kihindu, Kiyahudi,<br />

Kibudha, Metaphizikia, imani za wamarekani asilia. Na ilikuwa ni dini moja<br />

tu ambayo sijaitazama kwa makini, nayo ilikuwa ni “<strong>Uislamu</strong>” Kwa nini?<br />

Swali zuri.<br />

Mchungaji wa Muziki<br />

Kwa vyovyote vile, nilikuwa navutiwa sana na aina mbali mbali za muziki, na<br />

hasa hasa muziki wa Injili na Klasikia. Kwa kuwa familia yangu yote ilikuwa<br />

ni ya kidini na muziki ilioufuata ndiyo huo huo nilioufuata na nikaanza<br />

masomo yangu katika maeneo hayo mawili. Mambo yote hayo yamenifanya<br />

niwe katika nafasi mwafaka ya uchungaji wa muziki katika makanisa mengi<br />

ambayo nilikuwa mshiriki wake kwa miaka mingi. Nilianza kufundisha ala ya<br />

Kibodi mnamo mwaka 1960 na hadi kufikia 1963 nilikuwa namiliki studio<br />

yangu mwenyewe eneo la Laurel, Maryland, iitwayo ‘Estes Music Studiy.’<br />

Miradi ya Biashara mjini Texas, Oklahoma na Florida.<br />

Miaka therathini iliyofuata, mimi na baba, tulifanya kazi pamoja katika miradi<br />

mingi ya kibiashara. Tulikuwa na vipindi vya burudani, kuonyesha shoo na<br />

vivutio. Tulifungua maduka ya piano na vinanda katika maeneo yote kuanzia<br />

Texas na Oklahoma hadi Florida. Tulichuma mamilioni ya dola katika miaka<br />

hiyo, lakini hatukupata utulivu wa moyo ambao unaweza kuja kwa kupitia<br />

kuufahamu ukweli na kuupata mpango sahihi wa uwokovu tu. Nina hakika<br />

kuwa umeshajiuliza swali hili “Kwa nini Mungu ameniumba?” au “Mungu<br />

ananitaka nifanye nini?” au “Nani ndiye Mungu wa kweli, kwa vyovyote

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!