08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

53<br />

familia ya mume wangu, nilifahamika vibaya na watoto wangu wakubwa, na<br />

nilikuwa napelelezwa na serikali yangu mwenyewe. Bila ya kuwa na imani<br />

ambayo inamuwezesha mtu kusimama kidete dhidi ya nguvu za shetani<br />

nisingeweza kuhimili mambo yote hayo. Mimi ninamshukuru sana Allah kwa<br />

kuwa mimi ni Mwislamu na naomba niishi na kufa nikiwa ni Mwislamu.<br />

“Sema: “hakika Sala yangu, na ibada zangu (zote nyingine) na uzima wangu,<br />

na kufa kwangu; (zote) ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Muumba wa<br />

walimwengu wote. (Likinisibu jambo limenisibu kwa kutaka Mwenyezi Mungu<br />

si kwa kutaka viumbe vyake. Na yote ninayoyafanya nayafanya kwa ajili<br />

Yake). Hana mshirika. Na hayo ndiyo niliyoamrishwa, na mimi ni wa kwanza<br />

wa waliojisalimisha (kwa Mwenyezi Mungu).” Quran 8 6:162-163<br />

Sista Khadija Watson anafanyakazi ya ualimu wa wanawake katika moja ya<br />

vituo vya Da`wah (kuwaita watu waingie <strong>Uislamu</strong>) kilichopo Jeddah, Falme<br />

ya Kiarabu ya Saudia - Arabia.<br />

8 Tafsiri za aya za Quran kwa kiswahili zimenukuliwa kutoka QURANI TAKATIFU ya marehemu Sheikh<br />

Abdullah Saleh Al-Farsy

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!