08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

19<br />

akatangaza kuwa <strong>Uislamu</strong> ndiyo njia ya uwokovu kwake, mama yangu mzazi<br />

na watu wengine katika familia waliendelea kukasirishwa na kuingia kwetu<br />

katika <strong>Uislamu</strong> hapo mwanzoni. Mwishoni mambo yakawa ya kawaida na<br />

tuliishi kwa ukaribu, ingawa wao bado wanajihusisha na Ukristo.<br />

Allah anaahidi kuwatia majaribuni wale wote wanaotangaza imani yao juu<br />

yake, kwa kuwapa aina nyingi za mambo magumu magumu, na familia ni<br />

moja ya mambo hayo yaliyotajwa kuwa ni jaribio ndani ya Quran.<br />

Nanawaombea Allah awaongoze wafuate kitu kilicho bora kabisa duniani na<br />

Ahera. Lakini juu ya Allah, kama anawataka wawe katika utiifu kwake<br />

(<strong>Uislamu</strong> maana yake ni, utiifu kwa Allah) au kama hataki kuwa hivyo.<br />

4- “Vipi kuhusu usharika wako? Wamesema nini?<br />

Jibu: Kamwe sijawahi kuwa na kanisa langu mwenyewe. Nilikuwa ni<br />

mchungaji wa muziki kanisa la Mungu (Anderson, Indiana branch) mjini<br />

Texas na nilikuwa natoa mahubiri yangu kwa wafanyabiashara na kwa<br />

makutano yasiyo ya kawaida. Wote wanaonijua kwa sehemu kubwa hawana<br />

kizuizi na baadhi yao wameshaingia katika <strong>Uislamu</strong>, lakini kuna wachache<br />

ambao walihisi kuchanganyikiwa sana na wakanitukana, kwa “kumkana<br />

Yesu, amani iwe juu yake.” Bila kujali kile nilichojaribu kukisema au<br />

kukitenda, hawa watu maalumu walio wachache hawasikilizi wala hawataki<br />

chochote kinachohusu <strong>Uislamu</strong>.<br />

5- Je, umeshapata matatizo mengi kwa kubadili dini?<br />

Jibu: Bila ya shaka, kila mtu atakaye kuuzingatia <strong>Uislamu</strong> siku hizi, kama<br />

ilivyokuwa mida iliyopita, lazima atambue kuwa kutakuwa na matatizo ya<br />

majaribio maalumu katika njia yake hiyo. Wafuasi wa Yesu, amani iwe juu<br />

yake, walikosolewa na kuteswa sana hadi walifikia kuuliwa (soma kile<br />

alichokisema Paulo kwamba alikuwa anakifanya kwa wanafunzi wa Yesu<br />

ndani ya Biblia; kitabu cha Matendo ya Mitume). Wote waliomfuata<br />

Muhammad, amani iwe juu yake, waliteswa mikononi mwa watu wa<br />

makabila yao wenyewe, ndiyo kuwa, walikuwa wameshaazimia kumwabudu<br />

Mungu Muweza peke yake, bila ya mshirika na kutii matakwa yake.<br />

Tatizo kubwa kwa wasiokuwa Waislamu ni, ukosefu wao wa elimu na<br />

ufahamu juu ya nini ndiyo <strong>Uislamu</strong> wa kweli na akina nani wanaozingatiwa

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!