Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
60<br />
Pia ninapenda sana sheria ya kusamehe katika <strong>Uislamu</strong> na mafungamano ya<br />
moja kwa moja kati ya Mungu na mja wake.<br />
“Sema, “Enyi waja wangu mliojidhulumu nafsi zenu! Msikate tamaa na<br />
rehema ya Mwenyezi Mungu; bila shaka Mwenyezi Mungu husamehe dhambi<br />
zote; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe (na) Mwingi wa kurehemu. “Na<br />
rejeeni kwa Mola wenu na mnyenyekee Kwake kabla ya kukujieni adhabu<br />
kisha hamtanusuriwa.” (Quran 39:53-54)<br />
Chanzo: Habari za Kiislamu, San Francisco, (A 94141 – 0186)