08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

60<br />

Pia ninapenda sana sheria ya kusamehe katika <strong>Uislamu</strong> na mafungamano ya<br />

moja kwa moja kati ya Mungu na mja wake.<br />

“Sema, “Enyi waja wangu mliojidhulumu nafsi zenu! Msikate tamaa na<br />

rehema ya Mwenyezi Mungu; bila shaka Mwenyezi Mungu husamehe dhambi<br />

zote; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe (na) Mwingi wa kurehemu. “Na<br />

rejeeni kwa Mola wenu na mnyenyekee Kwake kabla ya kukujieni adhabu<br />

kisha hamtanusuriwa.” (Quran 39:53-54)<br />

Chanzo: Habari za Kiislamu, San Francisco, (A 94141 – 0186)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!