08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

63<br />

Mungu (tu) ndiye anayestahiki kukusudiwa (na viumbe Vyake vyote kwa<br />

kumwabudu na kumuomba na kumtegemea). Hakuzaa wala Hakuzaliwa.<br />

Wala hana anaefanana Naye hata mmoja.” Anakumbuka jambo hilo. Na hiyo<br />

ilikuwa pale mbegu za <strong>Uislamu</strong>, hazijulikani kwake na zilikuwa ni mara ya<br />

kwanza kuonekana. Na ilikuwa ni hapo alipogundua kuwa Qurani ndicho<br />

Kitabu cha pekee kisichovurugwa na wanadamu tangu kilipoteremshwa. “Na<br />

katika kuhitimisha uchunguzi wangu wa uzamili nilisema hivyo. Sikujua<br />

kama watanipa stashahada yangu ya uzamili au hawanipi – huo ndiyo<br />

uliokuwa ukweli, na nilikuwa nautaka ukweli.”<br />

Alipokuwa katika hali hiyo ya kiakili alimwita profesa wake ampendaye sana:<br />

bwana Van Burger. “Nilifunga mlango, na kumwangalia machoni na<br />

kumuuliza “katika dini zote duniani ni ipi ya ukweli?” Akajibu ni <strong>Uislamu</strong>.<br />

“Kwa nini wewe si Mwislamu? Niliuliza tena. Akaniambia: “Mosi,<br />

nawachukui Waarabu, pili, Je, unaviona vitu vya anasa vyote hivi<br />

niliovyonavyo? Je, unadhani itakuwaje kama nitavitupa vitu vyote hivi kwa<br />

ajili ya <strong>Uislamu</strong>?” Nilipofikiri kuhusu majibu yake, pia nilifikiria nafsi yangu<br />

mwenyewe.” Anakumbuka Mwaipopo. Kazi yake, gari zake, vyote hivyo<br />

katika taswira yake. Hapana, hatoingia <strong>Uislamu</strong>, na kwa mwaka mmoja<br />

madhubuti, aliliweka jambo hilo nje ya akili yake. Lakini baadaye ndoto<br />

zilikuwa zikimjia kwa kumsumbua, Aya za Quran ziliendelea kumtokea, watu<br />

waliovalia nguo nyeupe waliendelea kumjia. “Hasa hasa siku za Ijumaa; hadi<br />

alipofikiria kuwa hawezi kuvumilia tena jambo hilo.<br />

Kwa hiyo, mnamo tarehe 22 Desemba, aliingia <strong>Uislamu</strong> kirasmi. Ndoto hizo<br />

zilizomwongoza - Je, hazikuwa za “kishirikina” kama ilivyo kwa tabia za<br />

Kiafrika? “Hapana, siamini kuwa ndoto zote ni mbaya. Kwani kuna zile<br />

ambazo zinakuongoza katika mwelekeo sahihi, na kuna nyingine hazifanyi<br />

hivyo, na za kwangu, kwa upekee kabisa zimeniongoza katika mwelekeo<br />

sahihi, kuufikia <strong>Uislamu</strong>,” ametueleza.<br />

Kwa hiyo, kanisa lilimnyang`anya nyumba na gari. Mkewe hakuweza<br />

kuvumilia hayo, akafungasha virago vyake, akachukua watoto wake na<br />

kuondoka, licha ya Mwaipopo kumuhakikishia kuwa halazimishwi awe<br />

Mwislamu. Mwaipopo alipoenda kwa wazazi wake nao pia, walikuwa<br />

wameshasikia habari zake. “Baba yangu aliniambia niukane <strong>Uislamu</strong> na<br />

mama yangu, yeye alisema: “Hataki kusikia upuuzi wowote kutoka kwangu;”<br />

alikumbushia Mwaipopo. Naye alikuwa kivyake vyake! Aliulizwa vipi<br />

anajihisi hivi sasa kwa upande wa wazazi wake, anasema kuwa

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!