08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

36<br />

kutoka kanisa la muungano wa Wamethodosti. Baada ya kumaliza chuo cha<br />

Havard mwaka 1971, nilijiandikisha shule ya Utakatifu ya Havard, na hapo<br />

nilipata stashahada ya uzamili juu ya theolojia mwaka 1974, baada ya<br />

kusimikwa kikamilifu katika ushemasi wa muungano wa makanisa ya<br />

Methodisti mwaka 1972, na kwa kuwa, hapo kabla nilipata udhamini wa<br />

masomo wa Stewart Scholarship kutoka muungano wa makanisa ya<br />

Methodisti ikiwa ni kama nyongeza ya udhamini wangu wa Havard Divinity<br />

School. Nikiwa katika elimu ya seminari, pia nilimaliza masomo ya nje ya<br />

vipindi vya miaka miwili ya ukasisi wa mahospitalini katika hospitali ya Peter<br />

Bent Brigham mjini Boston. Baada ya kumaliza masomo katika shule ya<br />

utakatifu ya Havard, niliutumia wakati wa kiangazi nikiwa ni mchungaji wa<br />

makanisa mawili ya Methodisti katika viunga vya Kansas, ambako<br />

mahudhurio yalipanda juu kwa kiwango ambacho hakijawahi kuonekana<br />

katika makanisa yote hayo kwa miaka kadhaa.<br />

Kwa nje ilionyesha kuwa, nilikuwa mchungaji kijana mwenye kutunza ahadi<br />

sana ambaye amepokea elimu bora zaidi, kuvutia kundi kubwa la watu katika<br />

ibada ya Jumapili asubuhi, na kulikuwa na mafanikio katika kila kituo<br />

kwenye njia ya utumishi. Hata hivyo, kwa ndani ilionyesha, nilikuwa<br />

napambana vita vya daima kudumisha msimamo wangu binafsi katika uso wa<br />

majukumu ya utumishi. Vita hivi vilikuwa mbali sana na vile<br />

vinavyotazamiwa vya kupambana na baadhi ya wainjilisti wa hivi karibuni<br />

katika majaribio yasiofanikiwa ya kuendeleza utu wa kiroho na kingono.<br />

Hivyo, ilikuwa ni vita tofauti sana na vile nilivyopambana na mapadri<br />

Pedophilic waliotamba katika vichwa vya habari vya zama za sasa. Hata<br />

hivyo, mihangaiko yangu ya kudumisha uadilifu wa utu wangu huenda ikawa<br />

ni jambo la kawaida kukabiliwa na wanachama wa utumishi wenye elimu<br />

bora sana.<br />

Kuna aina fulani ya kejeli katika ukweli kwamba wale wanaodhaniwa kuwa<br />

ni watumishi bora kabisa wanaochaguliwa kwa elimu bora kabisa ya<br />

seminari, kwa mfano: wale wanaopewa ofa katika muda ule wa shule ya<br />

Theolojia ya Harvard. Kejeli ni kuwa, kwa kupewa elimu hiyo, wanaseminari<br />

wanawekewa wazi historia nyingi ya ukweli kama inavyojulikana: 1)-<br />

maelezo ya kanisa la mwanzo, na vipi lilijengwa kwa siasa ya nchi kama<br />

inavyoathiriwa na mambo ya kijografia. 2)- masomo “asilia” ya maandiko<br />

mbali mbali ya Kibiblia, mengi yao yakiwa katika makindano makali na yale<br />

yanayosomwa na Wakristo wengi wanapobeba Biblia zao, ingawa kidogo,<br />

baadhi ya maelezo hayo hayajaharibiwa na kutiwa katika tafsiri mpya na bora

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!