08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

MAKASISI WAINGIA UISLAMU<br />

Kwa Jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu<br />

92<br />

“Hakika utawakuta walio maadui zaidi kuliko watu (wengine) kwa<br />

Waislamu ni Mayahudi na wale mushirikina (wasiokuwa na Kitabu), na<br />

utawaona walio karibu kwa urafiki na Waislamu ni wale wanaosema: “Sisi ni<br />

Wakristo.” (Hayo) ni kwa sababu wako miongoni mwao wanavyuoni na<br />

wamchao Mungu, na kwa sababu wao (Wakristo) hawatakabari; (wakijua<br />

haki huifuata). Na wanaposikia yaliyoteremshwa kwa Mtume (na<br />

yakawatulilikia kuwa ni kweli), utaona macho yao yanamiminika machozi<br />

kwa sababu ya haki waliyoitambua; wanasema: “Mola wetu! Tumeamini,<br />

basi tuandike pamoja na wanaoshuhudia (ukweli huu).” (Na wakilaumiwa<br />

kwa kusilimu kwao husema): “Na kwa nini tusimwamini Mwenyezi Mungu na<br />

haki iliyotufikia, na hali tunatumai Mola wetu atuingize (Peponi) pamoja na<br />

watu wema?”<br />

[QURANI TAKATIFU, Surah Al-Maidah 5:82-84]

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!