Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
MAKASISI WAINGIA UISLAMU<br />
Kwa Jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu<br />
92<br />
“Hakika utawakuta walio maadui zaidi kuliko watu (wengine) kwa<br />
Waislamu ni Mayahudi na wale mushirikina (wasiokuwa na Kitabu), na<br />
utawaona walio karibu kwa urafiki na Waislamu ni wale wanaosema: “Sisi ni<br />
Wakristo.” (Hayo) ni kwa sababu wako miongoni mwao wanavyuoni na<br />
wamchao Mungu, na kwa sababu wao (Wakristo) hawatakabari; (wakijua<br />
haki huifuata). Na wanaposikia yaliyoteremshwa kwa Mtume (na<br />
yakawatulilikia kuwa ni kweli), utaona macho yao yanamiminika machozi<br />
kwa sababu ya haki waliyoitambua; wanasema: “Mola wetu! Tumeamini,<br />
basi tuandike pamoja na wanaoshuhudia (ukweli huu).” (Na wakilaumiwa<br />
kwa kusilimu kwao husema): “Na kwa nini tusimwamini Mwenyezi Mungu na<br />
haki iliyotufikia, na hali tunatumai Mola wetu atuingize (Peponi) pamoja na<br />
watu wema?”<br />
[QURANI TAKATIFU, Surah Al-Maidah 5:82-84]