08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

77<br />

Abdulrahmani, anatokea kijiji cha Rathnapura Sri-lanka. Alikuwa anafanya<br />

huduma zake kama padri katika kanisa la Katumayaka. Ana salio la miaka<br />

kumi katika kufundisha upadri. Aliandika barua kwenda kwa mama yake<br />

akimfahamisha <strong>Uislamu</strong>. Baada ya kusoma kwa miezi kadhaa naye alifuata<br />

njia ya mwanawe na kuingia <strong>Uislamu</strong>. Dada pekee wa Abdulrahmani<br />

anafanyakazi Ugiriki. Baba yake na dada yake bado ni Wakristo.<br />

Abdulrahmani aliacha kazi yake inayoheshimika sana ya upadri kwa ajili ya<br />

ukweli. Naye kwa furaha kabisa ametoa muhanga mapato yake ya mali kwa<br />

furaha ya kiroho. Kwa sasa anafanyakazi ya ukufunzi katika tume ya<br />

kutangaza <strong>Uislamu</strong> nchini Kuwaiti.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!