08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

68<br />

saba ya Biblia. Nilianza kuwahubiria makutano mengine. Nilikubaliwa katika<br />

shule ya Brooklyn, New York, ni shule ya tabaka bora sana waimilikayo<br />

Mashahidi wa Yehova “the Crème de la crème, ni ya kwanza kwa kuwa na<br />

asilimia kubwa. Lakini sikuenda.<br />

Vitu vichache ambavyo kwa sasa haviniingii akilini. Kwa mfano, mfumo wa<br />

sehemu ya haki. Jambo hilo linaonekana kama vile kila mara nilipotaka<br />

kupinda kona nakujikuta katika nafasi nyingine ya majukumu, nililazimika<br />

vitu hivyo vya kisekyula ili kuuthibitisha uungu wangu. Hiyo ni kwa kuwa<br />

kama utafikia malengo ya sehemu yako ya haki ya mwezi huu, Mungu<br />

anakupenda. Na kama hutafikia sehemu yako ya haki katika mwezi unaofuata<br />

Mungu hakupendi. Jambo hilo halikuniingia akilini kabisa kabisa. Mwezi<br />

mmoja ananipenda na mwezi mwengine hanipendi?<br />

Kitu kingine nilichoanza kukiona ni mtazamo wa njia ya chini. Mashahidi wa<br />

Yehova ni watu pekee watakaookolewa katika mpango mpya wa Mungu,<br />

hakuna mtu mwingine atakayeokoka, kwa sababu, watu hao wanatekeleza<br />

dini ya uongo. Sawa, nilifikiria: mama Tereza wa Kikatoliki. Huyo ni adui<br />

yetu wa kutisha. Kwa hiyo, nilisema ngoja kidogo mama Tereza ametoa<br />

maisha yake yote akifanya vitu alivyosema Yesu: kuwalea masikini,<br />

wagonjwa na mayatima. Lakini hatopata huruma za Mungu kwa sababu ni<br />

Mkatoliki?<br />

Tulikuwa tunalikosoa kanisa la Kikatoliki kwa sababu Wakatoliki wana mtu<br />

ambaye ni padri, wanamwendea na kuungama dhambi zao kwake. Na tuna<br />

msemo “Usiende kwa mtu kuungama dhambi zako! Dhambi zako ni dhidi ya<br />

Mungu!” Ndiyo sisi tulienda kwa baraza la wazee. Unaungama dhambi zako<br />

kwao, na wao wanakuwekea mkono, na walisema [mzee ni kama oporeta wa<br />

simu:] “Jizuie kwa dakika moja hivi … unafikiri nini, bwana? Hapana? …<br />

sawa, samahani tumejaribu vya kutosha lakini wewe bado hujatibika vya<br />

kutosha. Dhambi zako ni kubwa mno, kwa hiyo, ima upoteze ufuasi wako<br />

kanisani au upelekwe majaribuni.”<br />

Ikiwa dhambi ni dhidi ya Mungu, Je, sikupaswa nimwelekee Mungu moja<br />

kwa moja na kumuomba msamaha?<br />

Uhenda msumari uliogongelewa jeneza ulikuwa ni ule ule niliouna kuwa wao<br />

waliianza kuisoma Biblia kidogo tu. Mashahidi wa Yehova wana vitabu vya<br />

kila kitu ambavyo vimetayarishwa na mnara wa wachunguzi wa Biblia na<br />

jumuia ya vitabu vya dini watu pekee katika sayari nzima ya dunia

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!