You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
70<br />
na ni mcheza sinema. Daima nilikuwa nahisi kuwa, kama vile nimezaliwa<br />
kwa ajili ya kitu fulani. Sikujua kama kitapatikana, dawa ya kutibu kansa au<br />
nitakuwa mcheza sinema. Niliendelea kusali na jambo hilo lilizuiwa kwa<br />
muda mchache.<br />
Kwa hiyo, nilienda katika kanisa Katoliki lilokaribu na nyumba yangu, na<br />
nilijaribu kufanya jambo hilo. Nakumbuka siku ya Jumatano ya majivu hayo<br />
ya msalaba katika paji la uso wangu. Nilikuwa najaribu kitu chochote<br />
nilichokiweza. Nilienda kwa miezi miwili au mitatu, na sikuweza kufanya<br />
hayo tena, awe mtu. Ilikuwa ni: Simama. Kaa.<br />
Sawa, toa ulimi wako<br />
Ungepata mazoezi mengi. Nadhani nilipoteza uzito kiasi cha paundi tano.<br />
Lakini hilo lilikuwa ni juu ya jambo hilo. Kwa hiyo, kwa sasa nimepotea zaidi<br />
kuliko nilivyokuwa.<br />
Lakini jambo hilo halikupita akilini mwangu kuwa hakuna Muumba. Nina<br />
namba ya simu yako lakini siku zote namba hiyo inatumiwa na watu wengine.<br />
Nilipiga picha za sinema. Filamu iitwayo Azimio Baya. Tangazo la biashara<br />
ya simu mjini Chicago. Tangazo la biashara la Exxon. Matangazo mawili ya<br />
benki. Wakati huo huo ninafanya kazi za ujenzi sehemu nyingine.<br />
Tumefanyakazi katika duka kubwa. Na huu ni msimu wa mapunziko, na wao<br />
wameweka hivi vibanda vya ziada njia za ukumbini. Katika kibanda<br />
kimojawapo kulikuwa na msichana mmoja, nasi tulilazimika kupita mbele<br />
yake. Nilimwambia: “Habari za asubuhi, vipi hali yako?” Kama dada huyo<br />
alisema kitu, kitu hicho kilikuwa ni “mambo.” Ni hilo hilo tu alilolisema.<br />
Mwishowe nilimwambia: “Bibie, husemi lolote. Nilitaka kukuomba radhi<br />
kama nimesema mabaya.” Naye akaniambia: “Hapana, unajua, mimi ni<br />
Mwislamu.” “Wewe ni nani?” Mimi ni Mwislamu, na wanawake wa<br />
Kiislamu, hatuongei na wanaume ispokuwa tuwe na kitu maalumu cha<br />
kuongelea; vinginevyo hatuna kitu cha kufanya na wanaume.” Ohhhh yeye<br />
akasema, “Ndiyo, tunatekeleza dini ya Kiislamu.”<br />
<strong>Uislamu</strong> – vipi uanatamka herufi zake?”<br />
“I-s-l-a-m.”