08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

70<br />

na ni mcheza sinema. Daima nilikuwa nahisi kuwa, kama vile nimezaliwa<br />

kwa ajili ya kitu fulani. Sikujua kama kitapatikana, dawa ya kutibu kansa au<br />

nitakuwa mcheza sinema. Niliendelea kusali na jambo hilo lilizuiwa kwa<br />

muda mchache.<br />

Kwa hiyo, nilienda katika kanisa Katoliki lilokaribu na nyumba yangu, na<br />

nilijaribu kufanya jambo hilo. Nakumbuka siku ya Jumatano ya majivu hayo<br />

ya msalaba katika paji la uso wangu. Nilikuwa najaribu kitu chochote<br />

nilichokiweza. Nilienda kwa miezi miwili au mitatu, na sikuweza kufanya<br />

hayo tena, awe mtu. Ilikuwa ni: Simama. Kaa.<br />

Sawa, toa ulimi wako<br />

Ungepata mazoezi mengi. Nadhani nilipoteza uzito kiasi cha paundi tano.<br />

Lakini hilo lilikuwa ni juu ya jambo hilo. Kwa hiyo, kwa sasa nimepotea zaidi<br />

kuliko nilivyokuwa.<br />

Lakini jambo hilo halikupita akilini mwangu kuwa hakuna Muumba. Nina<br />

namba ya simu yako lakini siku zote namba hiyo inatumiwa na watu wengine.<br />

Nilipiga picha za sinema. Filamu iitwayo Azimio Baya. Tangazo la biashara<br />

ya simu mjini Chicago. Tangazo la biashara la Exxon. Matangazo mawili ya<br />

benki. Wakati huo huo ninafanya kazi za ujenzi sehemu nyingine.<br />

Tumefanyakazi katika duka kubwa. Na huu ni msimu wa mapunziko, na wao<br />

wameweka hivi vibanda vya ziada njia za ukumbini. Katika kibanda<br />

kimojawapo kulikuwa na msichana mmoja, nasi tulilazimika kupita mbele<br />

yake. Nilimwambia: “Habari za asubuhi, vipi hali yako?” Kama dada huyo<br />

alisema kitu, kitu hicho kilikuwa ni “mambo.” Ni hilo hilo tu alilolisema.<br />

Mwishowe nilimwambia: “Bibie, husemi lolote. Nilitaka kukuomba radhi<br />

kama nimesema mabaya.” Naye akaniambia: “Hapana, unajua, mimi ni<br />

Mwislamu.” “Wewe ni nani?” Mimi ni Mwislamu, na wanawake wa<br />

Kiislamu, hatuongei na wanaume ispokuwa tuwe na kitu maalumu cha<br />

kuongelea; vinginevyo hatuna kitu cha kufanya na wanaume.” Ohhhh yeye<br />

akasema, “Ndiyo, tunatekeleza dini ya Kiislamu.”<br />

<strong>Uislamu</strong> – vipi uanatamka herufi zake?”<br />

“I-s-l-a-m.”

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!