08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

50<br />

4 - SISTA KHADIJA “SUE” WATSON ALIYEKUWA<br />

MCHUNGAJI, MMISHIONARI, NA PROFESA ANA<br />

STASHAHADA YA UZAMILI YA MASWALA YA THEOLOJIA<br />

(NI MMAREKANI MWENYE ASILI YA KIFILIPINO)<br />

“Nini kimekutokea?” Kila siku hicho ndicho kitendo rejeshi cha kwanza,<br />

ambacho nilikabiliana nacho. Wakati wanafunzi wenzangu wa zamani,<br />

marafiki na wachungaji wenzangu waliponiona baada ya kuingia <strong>Uislamu</strong>.<br />

Nadhani sikuweza kuwalaumu kwa kuwa mimi mwenyewe nilikuwa sipendi<br />

kabisa mtu abadili dini. Zamani, nilikuwa Profesa, mchungaji, mwasisi wa<br />

kanisa na mmishionari. Kama kuna mtu yeyote aliyekuwa na msimamo mkali<br />

kabisa, basi nilikuwa ni mimi.<br />

Baada ya kuhitimu stashahada ya uzamili ya theolojia kutoka katika seminari<br />

ya watu wenye vipaji na uwezo maalumu miezi mitano hapo kabla. Ilikuwa ni<br />

baada ya wakati huo nilipokutana na bibi mmoja ambaye aliwahi kufanya<br />

kazi nchini Saudi Arabia na ameshasilimu. Bila ya shaka nilimuuliza juu ya<br />

namna wanavyotendewa wanawake katika <strong>Uislamu</strong>. Nilishutushwa na jibu<br />

lake, kwani halikuwa ni lile niliolitarajia kwa hiyo, niliendelea kuuliza<br />

maswali mengine yanayohusiana na Allah na Muhammad amani iwe juu yake<br />

(S.A.W) 5 . Naye akanifahamisha kuwa atanipeleka katika kituo cha Kiislamu<br />

sehemu ambayo wataweza kujibu maswali yangu.<br />

Baada ya kusali- yaani kumuomba Yesu anikinge dhidi ya Shetani na pepo<br />

wabaya, ikionyesha kuwa kile tulichofundishwa kuhusu <strong>Uislamu</strong> kuwa ni dini<br />

ya mapepo na mashetani. Kwa kuwa nimeshafundishwa uinjilisti nilikuwa<br />

nimeshtushwa kabisa kabisa na ujaji wa Waislamu, kwani ulikuwa ni wa moja<br />

kwa moja na usio na mizengwe. Hakuna vitisho, hakuna bughudha, hakuna<br />

kutawaliwa kisaikolojia, hakuna kuvutwa bila ya kujihisi! Hakuna lolote<br />

katika hayo, “Acha tukupatie mafunzo ya Quran nyumbani mwako”, iwe ni<br />

kama mwenzi wa mafunzo ya Biblia. Sikuweza kuamini jambo hilo! Walinipa<br />

baadhi ya vitabu na wakaniambia kama nitakuwa na maswali wao wapo<br />

ofisini, tayari kuyajibu maswali hayo. Usiku huo nilisoma vitabu vyote<br />

walivyonipatia. Na hiyo ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kusoma kitabu juu<br />

ya <strong>Uislamu</strong> kilichoandikwa na Mwislamu, tumeshajifunza na kusoma vitabu<br />

juu ya <strong>Uislamu</strong> vilivyoandikwa na Wakristo tu! Siku iliyofuata nilitumia<br />

masaa matatu pale ofisini kwao nikiuliza maswali. Tukio hilo liliendelea kila<br />

5 Ni kifupi cha maneno ya Kiarabu na maana yake ni rehema na amani ziwe juu yake.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!