You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
86<br />
yao wenyewe kama wanaume, na wasitegemee misheni za kigeni na<br />
kadhalika.<br />
Misheni kubwa tano za kujivunia – za Kimarekani, Kifaransa, Kijerumani, na<br />
Kirusi – wakiwa na wenziwao, Magazeti yanayoungwa mkono na jamii za<br />
dini tajiri, Mabalozi wadogo na Mabalozi. Walikuwa wanajitahidi<br />
kuwabadilisha zaidi ya Waassyro – Chaldean laki moja wotoke kutoka katika<br />
uasi wa kidini wa Nestorian na wawe katika kundi mojawapo miongoni mwa<br />
makundi matano hayo ya uasi. Lakini misheni ya Kirusi punde ilizishinda<br />
misheni nyingine, na ilikuwa misheni hiyo ambayo mnamo mwaka 1915<br />
iliwasukuma au iliwalazimisha Waassyrian pia, makabila ya milimani ya<br />
Kurdistani, ambao baadaye walihamia uwanda wa Salmas na Urmia, kusaidia<br />
kuinua silaha dhidi ya Serikali yao inayoheshimika. Matokeo yalikuwa ni<br />
kuwa nusu ya watu hao waliangamia vitani na waliobakia walifukuzwa<br />
kutoka katika ardhi zao za asili.<br />
Swali kuu ni: Je, Ukristo, ukiwa na uma wake wote, maumbile na rangi zake<br />
zote, na huku ukiwa na mambo ya bandia yaliyo madhubuti na maandiko<br />
yaliyoharibiwa, Je, hiyo ilikuwa ni dini ya kweli ya Mungu? Wakati wa<br />
kiangazi mwaka 1900 alistaafu na kuelekea katika nyumba yake ndogo<br />
iliyopo katikati ya shamba la mizabibu karibu na chemchem ya sherehe ya<br />
Chali-Boulaqhi mjini Digala, na hapo kwa kipindi cha mwezi mmoja alitumia<br />
muda wake kwa kusali na kutafakari, akisoma na kumaliza maandiko<br />
matakatifu katika maandiko yake asilia. Mgogoro uliishia kwa kustaafu<br />
kikawaida kulikopelekwa hadi kwa Maaskofu wa Unite wa Urmia, na hapo<br />
kwa uwazi alimweleza Mar (Mgr.) Touma Audu sababu ya kujitoa katika kazi<br />
zake za kikasisi. Majaribio yote yaliyofanywa na mamlaka ya makasisi ili<br />
aondoe uamuzi wake yalikuwa bila ya faida. Kulikuwa hakuna uadui wa<br />
kibinafsi au mabishano kati ya Fther Benjamini na vigogo wake; yote hiyo<br />
ilikuwa ni swala la dhamiri.<br />
Aliajiriwa Tarbiz kwa kazi ya ukaguzi katika shirika la huduma za posta na<br />
forodha la Pershia chini ya utaalamu wa Belgian. Kisha alichukuliwa katika<br />
huduma ya Mtukufu mwana wa mfalme Alihammad Ali Mirsa kwa kazi ya<br />
ualimu na ukalimani. Na ilikuwa ni mwaka 1903 ambapo kwa mara nyingine<br />
alitembelea Uingereza na huko alijiunga na jamii ya Wakristo wasioamini<br />
utatu. Na mwaka 1904 alipelekwa na Uingereza ikishirikiana na Umoja wa<br />
Wakristo wageni wasioamini utatu, kuendeleza kazi za elimu na kuelimisha<br />
miongoni mwa watu wa nchi yake. Akiwa njiani kuelekea Pershia alitembelea