08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

86<br />

yao wenyewe kama wanaume, na wasitegemee misheni za kigeni na<br />

kadhalika.<br />

Misheni kubwa tano za kujivunia – za Kimarekani, Kifaransa, Kijerumani, na<br />

Kirusi – wakiwa na wenziwao, Magazeti yanayoungwa mkono na jamii za<br />

dini tajiri, Mabalozi wadogo na Mabalozi. Walikuwa wanajitahidi<br />

kuwabadilisha zaidi ya Waassyro – Chaldean laki moja wotoke kutoka katika<br />

uasi wa kidini wa Nestorian na wawe katika kundi mojawapo miongoni mwa<br />

makundi matano hayo ya uasi. Lakini misheni ya Kirusi punde ilizishinda<br />

misheni nyingine, na ilikuwa misheni hiyo ambayo mnamo mwaka 1915<br />

iliwasukuma au iliwalazimisha Waassyrian pia, makabila ya milimani ya<br />

Kurdistani, ambao baadaye walihamia uwanda wa Salmas na Urmia, kusaidia<br />

kuinua silaha dhidi ya Serikali yao inayoheshimika. Matokeo yalikuwa ni<br />

kuwa nusu ya watu hao waliangamia vitani na waliobakia walifukuzwa<br />

kutoka katika ardhi zao za asili.<br />

Swali kuu ni: Je, Ukristo, ukiwa na uma wake wote, maumbile na rangi zake<br />

zote, na huku ukiwa na mambo ya bandia yaliyo madhubuti na maandiko<br />

yaliyoharibiwa, Je, hiyo ilikuwa ni dini ya kweli ya Mungu? Wakati wa<br />

kiangazi mwaka 1900 alistaafu na kuelekea katika nyumba yake ndogo<br />

iliyopo katikati ya shamba la mizabibu karibu na chemchem ya sherehe ya<br />

Chali-Boulaqhi mjini Digala, na hapo kwa kipindi cha mwezi mmoja alitumia<br />

muda wake kwa kusali na kutafakari, akisoma na kumaliza maandiko<br />

matakatifu katika maandiko yake asilia. Mgogoro uliishia kwa kustaafu<br />

kikawaida kulikopelekwa hadi kwa Maaskofu wa Unite wa Urmia, na hapo<br />

kwa uwazi alimweleza Mar (Mgr.) Touma Audu sababu ya kujitoa katika kazi<br />

zake za kikasisi. Majaribio yote yaliyofanywa na mamlaka ya makasisi ili<br />

aondoe uamuzi wake yalikuwa bila ya faida. Kulikuwa hakuna uadui wa<br />

kibinafsi au mabishano kati ya Fther Benjamini na vigogo wake; yote hiyo<br />

ilikuwa ni swala la dhamiri.<br />

Aliajiriwa Tarbiz kwa kazi ya ukaguzi katika shirika la huduma za posta na<br />

forodha la Pershia chini ya utaalamu wa Belgian. Kisha alichukuliwa katika<br />

huduma ya Mtukufu mwana wa mfalme Alihammad Ali Mirsa kwa kazi ya<br />

ualimu na ukalimani. Na ilikuwa ni mwaka 1903 ambapo kwa mara nyingine<br />

alitembelea Uingereza na huko alijiunga na jamii ya Wakristo wasioamini<br />

utatu. Na mwaka 1904 alipelekwa na Uingereza ikishirikiana na Umoja wa<br />

Wakristo wageni wasioamini utatu, kuendeleza kazi za elimu na kuelimisha<br />

miongoni mwa watu wa nchi yake. Akiwa njiani kuelekea Pershia alitembelea

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!