08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

39<br />

Baada ya miezi kumi na sita, kukutana na Jamal kuliongezeka kidogo kidogo<br />

na kuwa mara kwa mara, hadi ikawa mara moja kila wiki mbili na kufikia kila<br />

wiki. Katika safari hizo, Jamal kamwe hajanihubiria kuhusu <strong>Uislamu</strong>, kamwe<br />

hajaniuliza kuhusu imani ya dini yangu au ninachokikinai, na kamwe<br />

hajapendekeza kwa mdomo kuwa niwe Mwislamu. Hata hivyo, nilianza<br />

kujifunza mengi. Kwanza kabisa, kulikuwa na mfano wa matendo ya daima<br />

kutoka kwa Jamal wa kunionyesha vipindi vya sala zake za kila siku. Pili<br />

kulikuwa na mfano wa kimwenendo wa namna Jamal alivyokuwa<br />

akiyaendesha maisha yake ya kila siku kwa unyofu wa hali ya juu na tabia ya<br />

maadili, anafanya yote mawili hayo katika ulimwengu wake wa kibiashara na<br />

katika ulimwengu wake wa kijamii. Tatu, kulikuwa na mfano wa<br />

kimwenendo juu ya namna Jmal anavyohusiana na watoto wake wawili. Kwa<br />

mke wangu, mke wa Jamal alitoa mifano hiyo hiyo. Nne, daima kulikuwa na<br />

wigo wa kunisaidia nifahamu historia ya farasi wa Uarabuni wa Mashariki ya<br />

Kati, Jamal alianza kushirikiana nami: 1) visa vya Warabu na historia ya<br />

<strong>Uislamu</strong>; 2) hadithi za Mtume Muhammad, rehema ziwe juu yake; na 3) aya<br />

za Quran na mijadala yake inayozingatia muktadha na ifanyayo kituo juu ya<br />

baadhi ya mitazamo ya Kiislamu, lakini daima alikuwa anaiwasilisha kwa<br />

istilahi za kunisaidia kifikra ili nifahamu muktadha wa <strong>Uislamu</strong> katika<br />

historia ya farasi wa Uarabuni. Kamwe sijaambiwa kuwa “hivi ndivyo vitu<br />

vilivyo”, nilikuwa naambiwa “hivi ndivyo Waislamu wanavyoamini” tu. Kwa<br />

kuwa sikuwa “nahubiriwa,” na kwa kuwa Jamal kamwe hajataka imani<br />

yangu, sikuhitaji kujisumbua na kujaribu kutetea upande wangu. Mambo yote<br />

yalifanyika kiakili, na si kama mbadilishaji dini.<br />

Kidogo kidogo, Jamal alianza, kututambulisha kwa familia za Waarabu<br />

wengine katika jamii ya Waislamu wa mtaani. Kulikuwa na Wa’eli na familia<br />

yake, Khalidi na familia yake, na wengine wachache kwa unyofu, niliona mtu<br />

mmoja na familia ambazo zilikuwa zinaishi maisha yao kwa maadili ya hali<br />

ya juu, yaliyo sawa sawa kuliko jamii ya Kimarekani ambayo kwayo sisi sote<br />

tulikuwa ndani yake. Huenda kulikuwa na jambo katika matendo ya <strong>Uislamu</strong><br />

niliyokuwa nayakosa wakati nilipokuwa mwanachuo na katika siku za<br />

seminari.<br />

Hadi Desemba, 1992, nilianza kujiuliza baadhi ya maswali makali juu ya<br />

wapi nilipokuwepo na nilikuwa ninafanya nini. Maswali hayo yalichochewa<br />

na nadhari zifuatazo. 1) Baada ya kozi ya awali ya miezi kumi na sita, maisha<br />

yetu ya kijamii yalianza kukua katika kutilia maanani wigo wa Waarabu wa

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!