08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

85<br />

Akirekodi juu ya uthibitisho wa Torati.” Ana tafsiri nyingi za Eva, Maria<br />

katika lugha tofauti tofauti, zimechapishwa kwa vielelezo vya Misheni ya<br />

Kikatoliki. Alipokuwa njiani Constantinople kuelekea Pershia mwaka 1895,<br />

alitawanya mlolongo mrefu wa makala za Kingereza na Kifaransa katika<br />

magazeti ya kila siku, yaliyochapishwa sehemu hiyo chini ya jina la The<br />

Levant Herald, kwa Makanisa ya mashariki mwaka 1895 alijiunga na misheni<br />

ya Lazarist ya Kifaransa katika eneo la Urmia, na kwa mara ya kwanza<br />

alichapisha katika historia ya misheni ndani ya jarida la muda maalumu kwa<br />

lugha ya wenyeji Syriac iitwayo Qala-la Shara, yaani “Sauti ya Ukweli.”<br />

Mwaka 1897 alikuwa ni mwakilishi kwa taasisi mbili. Uniate-Caldean<br />

Archbishops ya Urmia na Salmas to espresent-le-Monial nchin Ufaransa chini<br />

ya uongozi wa Cardunal Perrand. Jambo hili bila ya shaka lilikuwa, kwa<br />

mwaliko rasmi. Nyaraka ziliosomwa mbele ya baraza la wazee na “Baba<br />

Benjamin” zilichapishwa katika kumbukumbu za kihistoria za Baraza la<br />

wazee la kalamu ya Bwana, liitwalo “Le Pelirin” kwa mwaka huo. Katka<br />

waraka huo padri wa Cadean (hiyo ilikuwa ni amani yake rasmi) akisikitikia<br />

mfumo wa elimu wa Kikatoliki miongoni mwa Nestorians, na alitabiri<br />

kukaribia kutokea kwa mapadri wa Kirusi katika mji wa Urmia.<br />

Mnamo mwaka 1898 baba Benjamin alirudi tena Pershia, katika kijiji chake<br />

asilia, Digala, kiasi cha maili moja kutokea mjini, alifungua shule ya bure.<br />

Mwaka uliofuatia alipelekwa na mamlaka ya makasisi kuchukua uongozi wa<br />

dayosisi ya Salmas, pale migogoro mikali na kashfa kati ya Unitiate wa<br />

Askofu, Khudabash, na mapadri wa Lazzarist ilipozidi kwa muda mrefu<br />

amekuwa anaogopea mfarakano. Katika siku ya mwaka mpya 1900, padri<br />

Benjamin alihubiri mahubiri yake ya mwisho na ya kukumbukwa sana kwa<br />

makutano, wakiwemo, Waaramenia wengi wasio Wakatoliki na watu wengine<br />

kutoka kanisa kuu la Mt.George. Khorovabad, Salmas. Maudhui ya mahubiri<br />

yalikuwa ni “Karne mpya na watu wapya.” Alikumbushia ukweli kwamba<br />

Wamishieni Wanestorian, kabla ya kudhihiri kwa <strong>Uislamu</strong>, wamehubiri Injili<br />

katika Asia yote; wanazo taasisi mbali mbali nchini India (hasa hasa) katika<br />

mji wa Malbar Coast). Tartary, China na Mongolia; na kuwa wametafsiri<br />

Injili kwa Kituruki, Kiughurs na lugha nyinginezo; Wakatoliki, Wamarekani<br />

na misheni za Kianglikana, ingawa wamefanya vizuri kidogo kwa taifa<br />

Waassyro (Haldean) katika Elimu ya utangulizi, wameligawa taifa hilo dogo<br />

na kuwa Pershia, Kurdistani na Mesopotamia, na kulitumbukiza katika uadui<br />

wa aina mbali mbali na madhehebu; na kwa hiyo, juhudi zao zilikuwa ni<br />

zenye kujaaliwa kuleta mporomoko wa mwisho kabisa. Kwa hiyo,<br />

aliwashauri watu asilia wajitoe muhanga ili wasimame kidete juu ya miguu

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!