You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
85<br />
Akirekodi juu ya uthibitisho wa Torati.” Ana tafsiri nyingi za Eva, Maria<br />
katika lugha tofauti tofauti, zimechapishwa kwa vielelezo vya Misheni ya<br />
Kikatoliki. Alipokuwa njiani Constantinople kuelekea Pershia mwaka 1895,<br />
alitawanya mlolongo mrefu wa makala za Kingereza na Kifaransa katika<br />
magazeti ya kila siku, yaliyochapishwa sehemu hiyo chini ya jina la The<br />
Levant Herald, kwa Makanisa ya mashariki mwaka 1895 alijiunga na misheni<br />
ya Lazarist ya Kifaransa katika eneo la Urmia, na kwa mara ya kwanza<br />
alichapisha katika historia ya misheni ndani ya jarida la muda maalumu kwa<br />
lugha ya wenyeji Syriac iitwayo Qala-la Shara, yaani “Sauti ya Ukweli.”<br />
Mwaka 1897 alikuwa ni mwakilishi kwa taasisi mbili. Uniate-Caldean<br />
Archbishops ya Urmia na Salmas to espresent-le-Monial nchin Ufaransa chini<br />
ya uongozi wa Cardunal Perrand. Jambo hili bila ya shaka lilikuwa, kwa<br />
mwaliko rasmi. Nyaraka ziliosomwa mbele ya baraza la wazee na “Baba<br />
Benjamin” zilichapishwa katika kumbukumbu za kihistoria za Baraza la<br />
wazee la kalamu ya Bwana, liitwalo “Le Pelirin” kwa mwaka huo. Katka<br />
waraka huo padri wa Cadean (hiyo ilikuwa ni amani yake rasmi) akisikitikia<br />
mfumo wa elimu wa Kikatoliki miongoni mwa Nestorians, na alitabiri<br />
kukaribia kutokea kwa mapadri wa Kirusi katika mji wa Urmia.<br />
Mnamo mwaka 1898 baba Benjamin alirudi tena Pershia, katika kijiji chake<br />
asilia, Digala, kiasi cha maili moja kutokea mjini, alifungua shule ya bure.<br />
Mwaka uliofuatia alipelekwa na mamlaka ya makasisi kuchukua uongozi wa<br />
dayosisi ya Salmas, pale migogoro mikali na kashfa kati ya Unitiate wa<br />
Askofu, Khudabash, na mapadri wa Lazzarist ilipozidi kwa muda mrefu<br />
amekuwa anaogopea mfarakano. Katika siku ya mwaka mpya 1900, padri<br />
Benjamin alihubiri mahubiri yake ya mwisho na ya kukumbukwa sana kwa<br />
makutano, wakiwemo, Waaramenia wengi wasio Wakatoliki na watu wengine<br />
kutoka kanisa kuu la Mt.George. Khorovabad, Salmas. Maudhui ya mahubiri<br />
yalikuwa ni “Karne mpya na watu wapya.” Alikumbushia ukweli kwamba<br />
Wamishieni Wanestorian, kabla ya kudhihiri kwa <strong>Uislamu</strong>, wamehubiri Injili<br />
katika Asia yote; wanazo taasisi mbali mbali nchini India (hasa hasa) katika<br />
mji wa Malbar Coast). Tartary, China na Mongolia; na kuwa wametafsiri<br />
Injili kwa Kituruki, Kiughurs na lugha nyinginezo; Wakatoliki, Wamarekani<br />
na misheni za Kianglikana, ingawa wamefanya vizuri kidogo kwa taifa<br />
Waassyro (Haldean) katika Elimu ya utangulizi, wameligawa taifa hilo dogo<br />
na kuwa Pershia, Kurdistani na Mesopotamia, na kulitumbukiza katika uadui<br />
wa aina mbali mbali na madhehebu; na kwa hiyo, juhudi zao zilikuwa ni<br />
zenye kujaaliwa kuleta mporomoko wa mwisho kabisa. Kwa hiyo,<br />
aliwashauri watu asilia wajitoe muhanga ili wasimame kidete juu ya miguu