08.06.2013 Views

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

Makasisi Waingia Uislamu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

56<br />

“Nasi tulipousikia uwongofu tuliuamini; basi anayemwamini Mola wake<br />

hataogopa kupunjwa wala kutwikwa (kubebeshwa) dhambi (za mtu<br />

mwengine).” (Qurani 72:13)<br />

Nilihisi faraja ya kina usiku huo na niliporudi nyumbani niliupitisha usiku<br />

wote nikiwa peke yangu katika maktaba yangu nikisoma Qurani. Mke wangu<br />

alitaka nimjulishe lengo la kukesha kwangu usiku kucha na nilimweleza<br />

aniache peke yangu. Nilisimama kusoma kwa muda mrefu nikifikiria na<br />

kutafakari juu ya aya; “Lau kama Tungaliiteremsha hii Quran juu ya mlima,<br />

ungaliuona ukinyenyekea (na) kupasuka kwa sababu ya hofu ya Mwenyezi<br />

Mungu. Na hii ni mifano Tunawapigia (Tunawaeleza) watu ili wafikiri.”<br />

(Qurani 59:21) na “Hakika utawakuta walio maadui zaidi kuliko watu<br />

(wengine) kwa Waislamu ni Mayahudi na wale mushirikina (wasiokuwa na<br />

Kitabu), na utawaona walio karibu kwa urafiki na Waislamu ni wale<br />

wanaosema: “Sisi ni Wakristo.” (Hayo) ni kwa sababu wako miongoni mwao<br />

wanavyuoni na wamchao Mungu, na kwa sababu wao (Wakristo)<br />

hawatakabari; (wakijua haki huifuata). Na wanaposikia yaliyoteremshwa<br />

kwa Mtume (na yakawatulilikia kuwa ni kweli), utaona macho yao<br />

yanamiminika machozi kwa sababu ya haki waliyoitambua; wanasema:<br />

“Mola wetu! Tumeamini, basi tuandike pamoja na wanaoshuhudia (ukweli<br />

huu).” (Na wakilaumiwa kwa kusilimu kwao husema): “Na kwa nini<br />

tusimwamini Mwenyezi Mungu na haki iliyotufikia, na hali tunatumai Mola<br />

wetu atuingize (Peponi) pamoja na watu wema?” (Qurani 5:82-84).<br />

Bwana Khalil kisha alinukuu nukuu ya tatu kutoka katika Quran Tukufu<br />

isemayo; “Ambao wanamfuata Mtume, Nabii aliye Ummy (asiyejua kusoma<br />

wala kuandika, na juu ya hivi atafundisha mafundisho hayo ya ajabu ya<br />

<strong>Uislamu</strong>), ambaye wanamuona ameandikwa kwao katika Taurati na Injili<br />

ambaye anawaamrisha mema na anawakataza yaliyo mabaya, na<br />

kuwahalalishia vizuri na kuwaharamishia vibaya, na kuwaondolea mizigo<br />

yao na minyororo iliyokuwa juu yao (yaani sharia ngumu za zamani na mila<br />

za kikafiri). Basi wale waliomwamini yeye na kumuhishimu na kumsaidia na<br />

kuifuata Nuru iliyoteremshwa pamoja naye (yaani Qurani) hao ndiyo wenye<br />

kufaulu. Sema (Ewe Nabii Muhammad): “Enyi watu; Hakika mimi ni Mtume<br />

wa Mwenyezi Mungu kwenu nyinyi nyote; (Mungu) ambaye anao ufalme wa<br />

mbingu na ardhi, hapana aabudiwaye (kwa haki) ila Yeye; Yeye ndiye<br />

Ahuishaye na ndiye Afishaye. Basi muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume<br />

Wake, aliye Nabii Ummy (asiyejua kusoma na wala kuandika) ambaye

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!